robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 762
- 1,236
Tayari hazihesabiki!!Zambia itakuwa safari ya ngapi kwani?
Kweli ndani ya miezi mitano tangu amechukua nchi, kajitaidi, ila naona za Dom to Dar zimekua nyingi mpaka 2025 , hamtaweza kuziesabuTayari hazihesabiki!!
Kujadili vitu ambavyo huna uwezo navyo na visivyo msaada kweti ndiyo chanzo cha umaskini wetu.Ndugu zangu kwa wale waliokuwepo humu kwa miaka mingi, kulikuwa na uzi uliokuwa unafuatilia safari za rais Kikwete na gharama za safari zake.
Natoa wito wa menejimenti ya JamiiForums kufuatilia ziara zote, gharama na faida tunazopata kama nchi.
Ahsanteni
Umerudi tapeli!!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bibi yule kwa kuzurura hajambo. Toka aapishwe ni mwendo wa kupishana na kunguru hewani.
Wananchi wanauliza vipi?? mbona mikoani na mashinani haendi kutizama wananchi wake wanaendeleaje?
Bibi huyu ndani ya miezi miwili tu ameshasafiri nje ya nchi zaidi ya mara ishirini. Ati anafungulia diplomasia!
Kutwa kuzurura angani na kulipisha wananchi tozo za ajabu ajabu!
Msafara mmoja unatumia zaidi ya milioni mia moja kwa masaa kadhaa tu! Jamanii hebu oneeni huruma fedha za wananchi!
Bibi Dagama hutufai! Ni heri ujiondokee hapo utupishe kusudi tupate Rais.
tapeli kivipi, nimeshawai kukutapeli au ndio umeanza kunichafua ndugu Nyundo.Umerudi tapeli!!!