Safi sana Rais Kagame; kama kawaida yako Umenusa 'Tego' la 'Geneva ya Afrika' na 'Ukachomoa' kwenda, hivyo imekula kwao

Safi sana Rais Kagame; kama kawaida yako Umenusa 'Tego' la 'Geneva ya Afrika' na 'Ukachomoa' kwenda, hivyo imekula kwao

Wanadhani hukugundua mpango wao na Rafiki yao unayempelekea Moto Kwake kuwa asije ili uje Wewe na wamsaidie kwa kutumia Mbinu ya Mrusi kisha yakukute huko huko Geneva ya Afrika au ukirejea Kwako Kigali.

Wamesahau kuwa Wewe ni zao tukuka la Marekani na Israel (Kiujasusi/ Kinjagu) na kwamba una Mtambo wa Mawasiliano hata wa kujua Van Dame na Rambo wao anafanya nini au yule Mwingine Mstaafu anakunywa Saa ngapi Dawa zake za Tezi Dume.

Yaani wamesahau kuwa hata huko Kwao (tena hadi Jikoni Kwao kabisa) una Watu wako very Loyal, Patriotic and Committed ambao 24/7 wanakupa Classified Information ya nini Wanachokilenga Kwako.

Ndiyo maana nakupenda sana Rais wangu Paul Kagame. Haya wahangaike sasa na Premier uliyemtuma Kukuwakilisha huku ukiendelea kumpelekea tu Moto huyo Mkata Viuno Afrika hadi 75% ya nchi yake na Rasilimali zake ziwe part and parcel za Republic of Rwanda.
Basi rejea kwenu huku ugenini unatafuta nn?
 
Naunga mkono kwa asimilia 101, Kagame ni namba ingine.

Ni pale alipotonywa kwamba atulie kwanza mpaka vumbi lituame ndipo atume salamu za pole, na kwamba nyuma ya lile tukio kulikuwa na tukio jingine "on standby" ndipo nilipoamini kuwa vijana wa Kigali ni kweli wapo hadi ndani kabisa huko kwenye makabati ya jikoni.

Hii ya kwamba vijana wa Kigali tunao hadi makabatini naiamini kabisa kwasababu kuna jamaa zangu wengi tu nilisoma nao ndanindani huko miaka hiyoooo na leo hii ni maofisa wakubwa wa ngazi za juu huko Kigali na wanalonga kiswahili chenye ufasaha.

NIlipogundua hii nilijiuliza masuali mengi lakini nikapata majibu hapohapo.

NIliwahi kusema huko nyuma kuwa PK na Mzee Kaguta ni watoto kabisa wa hayati mwalimu (kikazi) na tusiwachukulie poa.

Na hadi leo wanafahamu kila kitu kuhusu matukio yote nyeti yalokwishatokea.

Naomba niishie hapa.
Huwa napenda mno kukutana na Intelligent JF Member kama Wewe hivi Mkuu, ila bahati mbaya ni kwamba Mipumbavu ndiyo imejazana na haitaki Kuelimishwa.
 

Tujikumbushe kidogo PAKA alipompiga mkwara JK in 2013.

Mziki uliofuata kuna karnali wa JWTZ aliedhani wenzake awamjui kukimbilia Rwanda haraka sana kwa usalama wake bila ya kufuatwa na mtu yeyote; halafu kuna mziki uliopelekwa Rwanda kimya-kimya wahusika wanadai Kagame hakuwa akilala Ikulu kwa miezi sita anajificha.

Baada ya hapo neno Tanzania na raisi wake anapowaongelea ni kwa adabu na heshima; ajawahi thubutu tena kuropoka upuuzi kuhusu Tanzania.
 
Mmeshachelewa kwani wapo ( tupo ) huko Kwenu ( tena maeneo very Strategic and Sensitive ) kabla na hata baada ya 1994 Rwanda Genocide.

Udhaifu wenu wa Akili unatusaidia Kujipenyeza Kiurahisi na kuyajua mengi na pia Kujipanga vyema jinsi ya Kujilinda nanyi na Kuwakabili kama mkilianzisha nasi.

Na Nawaonya msije mkathubutu kwani hamtoamini pamoja na Udogo wetu wa Kijiografia na msisahau kuwa Rwanda ndiyo Israel ya East Africa Community.

Nimemaliza.
We jamaa ni mpuuzi sana itoshe kusema mental case
 
Mnavyomsaidia Rais wa Congo DR ( tena Kimedani ) pamoja na Kupenyeza Watu wenu wa Idara Kuisoma Rwanda Kijasusi ( Kinjagu ) mnadhani hatujui au hatupati Taarifa? Mnajiona Wajanja na mna Akili wakati ni Kinyume chake.
We mnyarwanda unaposti hapa ukiwa Ufaransa huko umejificha. Chomoza hapo murumonge au Kitaranya uone utakavyozolewa na wananjagu wa Nyerere asubuhi mapema.
 

Tujikumbushe kidogo PAKA alipompiga mkwara JK in 2013.

Mziki uliofuata kuna karnali wa JWTZ aliedhani wenzake awamjui kukimbilia Rwanda haraka sana kwa usalama wake bila ya kufuatwa na mtu yeyote; halafu kuna mziki uliopelekwa Rwanda kimya-kimya wahusika wanadai Kagame hakuwa akilala Ikulu kwa miezi sita anajificha na wala hakutokea kwenye media.

Baada ya hapo neno Tanzania na raisi wake anapowaongelea ni kwa adabu na heshima; ajawahi thubutu tena kuropoka upuuzi kuhusu Tanzania.
Nina uhakika kwa huu Uwongo wako Majuha ( Nuts ) Wenzako wengi tu hapa Watakuamini, ila tunaojua ya ndani isingetumika Busara na Heshima ya Malezi ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere leo hii Magogoni na Chamwino zingekuwa ni part and parcel za Republic of Rwanda.
 
Basi rejea kwenu huku ugenini unatafuta nn?
Namalizia kuwasoma ( hasa Ngome zenu Kuu ) ili mkituchokoza tu tujue tunaanzia wapi Kuwamaliza.

Nilikuwa Morogoro sasa nipo Dar es Salaam ( nacheza sana na maeneo ya Kunduchi, Mbweni, Kawe, Kigamboni, Gongo la Mboto na Temeke Mgulani ) na nitaenda Tabora, kisha Mara, nitarudi Arusha, nitatafuta uwezekano wa kukaa Jirani na Kihangaiko ( Msata ) Bagamoyo na nitajitahidi mno niende Nachingwea Mkoani Lindi na nitamalizia na Mikoa ya Kigoma na Kagera ( hasa maeneo ya Mipakani ) na najua nikifanikiwa kwa nikitakacho huko napeleka tu Ripoti kwa Mwamba wa Rwanda kuwa akae huku amepiga Nne na anakunywa zake Juice kwani Potential Areas zote za Kimedani ziko ndani ya Watumishi wake tukuka akina GENTAMYCINE na kwamba muda wowote tu akiitaka Tanzania aseme tu anaitaka lini kwakuwa Strategically ipo Kiganjani na ni Nyepesi mno Kimedani ukilinganisha na Mafunzo ya Wapambanaji wa Rwanda wanaoongozwa na Watu wenye Akili Kubwa na Waliobarikiwa Kabila la Watutsi.

Nimemaliza.
 
Huo muda tunautoa wapi sisi? Pale ukiwapa silaha wahutu kadhaa tu, kazi imeisha. Ka nchi hakana hata umoja unapigana nako ili iweje?
Kale tunawaachia Kigoma wapambane nako!

Na ndugu zangu Waha walivyo wabishi, ni siku mbili tu watakua kigali wanapiga selfie, wakati huku TZ tunaendelea na shughuli nyingine za ujenzi wa taifa!
Aisee hii ni easiest way[emoji2]

Unawapa silaha wale FDLR na wahutu kadhaa mule ndani.

Unakaa pembeni unakula popcorn
 
We jamaa ni mpuuzi sana itoshe kusema mental case
Na ninawatieni Ndimu ( Nawapanikisha ili Mkasirike ) kwa Makusudi ili mkasirike na muanze Kujitapa kwa kusema Intelligence and Defence Strong Points zenu ili mnirahisishie Jukumu Kuu nililokabidhiwa na Kuaminiwa nalo la Taifa la Rwanda.
 
Mmeshachelewa kwani wapo ( tupo ) huko Kwenu ( tena maeneo very Strategic and Sensitive ) kabla na hata baada ya 1994 Rwanda Genocide.

Udhaifu wenu wa Akili unatusaidia Kujipenyeza Kiurahisi na kuyajua mengi na pia Kujipanga vyema jinsi ya Kujilinda nanyi na Kuwakabili kama mkilianzisha nasi.

Na Nawaonya msije mkathubutu kwani hamtoamini pamoja na Udogo wetu wa Kijiografia na msisahau kuwa Rwanda ndiyo Israel ya East Africa Community.

Nimemaliza.
Lakini kama kweli member mmoja wa EAC analeta cheos kwa member state mwenzie kuna price atalipa tuu , kubwa tunahitaji security stability within EAC Member states haswa maisha ya wananchi .....
 
Lakini kama kweli member mmoja wa EAC analeta cheos kwa member state mwenzie kuna price atalipa tuu , kubwa tunahitaji security stability within EAC Member states haswa maisha ya wananchi .....
Mmechelewa. Mwambieni Mrembuaji Wenu Rambo aache kuisaidia Congo DR ( wakata Viuno ) na waambieni Rasilimali zao tunazichukua na Kuwapiga tutawapiga na wakicheza hata nchi yao nzima tunaichukua kwani 65% ya Wanajeshi wao ni damu ya Vijana wa Nyamulenge ( hasa akina Kadogoo ) walioingizwa ( penyezwa ) kwa Uwingi pale Hayati Laurent Desire Kabila ( Baba ) alipoingia na hasa Rais aliyetoka Joseph Kabila ( Mtoto ) alipokuwepo.
 
Nina uhakika kwa huu Uwongo wako Majuha ( Nuts ) Wenzako wengi tu hapa Watakuamini, ila tunaojua ya ndani isingetumika Busara na Heshima ya Malezi ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere leo hii Magogoni na Chamwino zingekuwa ni part and parcel za Republic of Rwanda.
Ukiona nchi inaweka kambi ya jeshi karibu na mipaka yako na wanafanyia mazoezi mpakani mwako; elewa kwamba hayo maandalizi ni kwa ajili yako siku ukijiingiza kwenye 18 zao.

Hakuna mmbabe duniani anaeweza kukubali nchi jirani ifanye mazoezi mpakani kwake, kama awezi mzuia in retaliation na yeye ata muwekea kambi karibu.

Tanzania huko kanda ya ziwa inajifaraghua iende mapori gani karibu mpakani na Rwanda, Congo, Burundi au Uganda; kufanya mazoezi yake na hakuna mwenye uthubutu wa kuuliza.

Endelea na ndoto zako za Ali Nacha wakati bila ya kurusha ata silaha tukizuia mafuta yao yanayo pitia bandari za Tanzania hawana shughuli.

Ungekuwa unajua usingeweza ropoka Rwanda inaweza itisha Tanzania nchi inayoilisha, inayotumia barabara zake na bandari kupeleka bidhaa muhimu kwao ambazo zikikosekana hakuna shughuli. In other words ugomvi na Tanzania wanahitajika mitigation strategy ya mambo yote hayo kwanza.

Come back to the real world sio kutuandikia mambo ya kipuuzi puuzi kila siku.
 
Ukiona nchi inaweka kambi ya jeshi karibu na mipaka yako na wanafanyia mazoezi mpakani mwako; elewa kwamba hayo maandalizi ni kwa ajili yako siku ukijiingiza kwenye 18 zao.

Hakuna mmbabe duniani anaeweza kukubali nchi jirani ifanye mazoezi mpakani kwake, kama awezi mzuia in retaliation na yeye ata muwekea kambi karibu.

Tanzania huko kanda ya ziwa inajifaraghua iende mapori gani karibu mpakani na Rwanda, Congo, Burundi au Uganda; kufanya mazoezi yake na hakuna mwenye uthubutu wa kuuliza.

Endelea na ndoto zako za Ali Nacha wakati bila ya kurusha ata silaha tukizuia mafuta yao yanayo pitia bandari za Tanzania hawana shughuli.

Ungekuwa unajua usingeweza ropoka Rwanda inaweza itisha Tanzania nchi inayoilisha, inayotumia barabara zake na bandari kupeleka bidhaa muhimu kwao ambazo zikikosekana hakuna shughuli. In other words ugomvi na Tanzania wanahitajika mitigation strategy ya mambo yote hayo kwanza.

Come back to the real world sio kutuandikia mambo ya kipuuzi puuzi kila siku.
Mkakati wangu wa Makusudi wa Kuwapanikisheni ( Kuwatieni Ndimu ) ili Mkasirike na Mteme Nyongo kwa Kuyasema yale ya ndani ninayoyataka kwa Kazi yangu Maalum Kwenu Tanzania na Watanzania unazidi tu Kufanikiwa kwa almost 98% hivi.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE bhana na ukiwa na Akili nyingi na Umeiva Kimbinu na Kimkakati ni raha sana hasa pale ukikutana na Wapuuzi na Washamba ambao hawana Upeo wa kujua kuwa Wanategwa na Wao wanaingia mazima katika huo Mtego na kuanza Kuropoka hadi kusema ya ndani.

Asante Mungu kwa kunipa IQ Kubwa.
 
Mkakati wangu wa Makusudi wa Kuwapanikisheni ( Kuwatieni Ndimu ) ili Mkasirike na Mteme Nyongo kwa Kuyasema yale ya ndani ninayoyataka kwa Kazi yangu Maalum Kwenu Tanzania na Watanzania unazidi tu Kufanikiwa kwa almost 98% hivi.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE bhana na ukiwa na Akili nyingi na Umeiva Kimbinu na Kimkakati ni raha sana hasa pale ukikutana na Wapuuzi na Washamba ambao hawana Upeo wa kujua kuwa Wanategwa na Wao wanaingia mazima katika huo Mtego na kuanza Kuropoka hadi kusema ya ndani.

Asante Mungu kwa kunipa IQ Kubwa.
Sasa huo ni mkakati wa siri au ni common knowledge tu ya military strategies in choking necessary supplies; kabla ya kichapo.

Au unadhani Rwanda awaelewi mazoezi yanayofanyika kwenye terrains za milima kama mazingira ya nchi yao; ni kwa ajili yao pia.

Ni hivi Tanzania is well prepared kupeleka kichapo kwenye hiyo nchi ambayo sawa na wilaya moja kubwa tu size ya Isimani Iringa, siku wakijipendekeza.

Alamsiki
 
Sasa huo ni mkakati wa siri au ni common knowledge tu ya military strategies in choking necessary supplies; kabla ya kichapo.

Au unadhani Rwanda awaelewi mazoezi yanayofanyika kwenye terrains za milima kama mazingira ya nchi yao; ni kwa ajili yao pia.

Ni hivi Tanzania is well prepared kupeleka kichapo kwenye hiyo nchi ambayo sawa na wilaya moja kubwa tu size Isimani Iringa, siku wakijipendekeza.

Alamsiki
Ufafanuzi wako ni wa Kipuuzi sana tu.
 
Mmeshachelewa kwani wapo ( tupo ) huko Kwenu ( tena maeneo very Strategic and Sensitive ) kabla na hata baada ya 1994 Rwanda Genocide.

Udhaifu wenu wa Akili unatusaidia Kujipenyeza Kiurahisi na kuyajua mengi na pia Kujipanga vyema jinsi ya Kujilinda nanyi na Kuwakabili kama mkilianzisha nasi.

Na Nawaonya msije mkathubutu kwani hamtoamini pamoja na Udogo wetu wa Kijiografia na msisahau kuwa Rwanda ndiyo Israel ya East Africa Community.

Nimemaliza.
Kweli msongo WA akili ni tatizo kunwa
 
Nina uhakika kwa huu Uwongo wako Majuha ( Nuts ) Wenzako wengi tu hapa Watakuamini, ila tunaojua ya ndani isingetumika Busara na Heshima ya Malezi ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere leo hii Magogoni na Chamwino zingekuwa ni part and parcel za Republic of Rwanda.
Punguza utahira wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namalizia kuwasoma ( hasa Ngome zenu Kuu ) ili mkituchokoza tu tujue tunaanzia wapi Kuwamaliza.

Nilikuwa Morogoro sasa nipo Dar es Salaam ( nacheza sana na maeneo ya Kunduchi, Mbweni, Kawe, Kigamboni, Gongo la Mboto na Temeke Mgulani ) na nitaenda Tabora, kisha Mara, nitarudi Arusha, nitatafuta uwezekano wa kukaa Jirani na Kihangaiko ( Msata ) Bagamoyo na nitajitahidi mno niende Nachingwea Mkoani Lindi na nitamalizia na Mikoa ya Kigoma na Kagera ( hasa maeneo ya Mipakani ) na najua nikifanikiwa kwa nikitakacho huko napeleka tu Ripoti kwa Mwamba wa Rwanda kuwa akae huku amepiga Nne na anakunywa zake Juice kwani Potential Areas zote za Kimedani ziko ndani ya Watumishi wake tukuka akina GENTAMYCINE na kwamba muda wowote tu akiitaka Tanzania aseme tu anaitaka lini kwakuwa Strategically ipo Kiganjani na ni Nyepesi mno Kimedani ukilinganisha na Mafunzo ya Wapambanaji wa Rwanda wanaoongozwa na Watu wenye Akili Kubwa na Waliobarikiwa Kabila la Watutsi.

Nimemaliza.
Hizo hadithi zako kawasimulie wajukuu zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom