Namalizia kuwasoma ( hasa Ngome zenu Kuu ) ili mkituchokoza tu tujue tunaanzia wapi Kuwamaliza.
Nilikuwa Morogoro sasa nipo Dar es Salaam ( nacheza sana na maeneo ya Kunduchi, Mbweni, Kawe, Kigamboni, Gongo la Mboto na Temeke Mgulani ) na nitaenda Tabora, kisha Mara, nitarudi Arusha, nitatafuta uwezekano wa kukaa Jirani na Kihangaiko ( Msata ) Bagamoyo na nitajitahidi mno niende Nachingwea Mkoani Lindi na nitamalizia na Mikoa ya Kigoma na Kagera ( hasa maeneo ya Mipakani ) na najua nikifanikiwa kwa nikitakacho huko napeleka tu Ripoti kwa Mwamba wa Rwanda kuwa akae huku amepiga Nne na anakunywa zake Juice kwani Potential Areas zote za Kimedani ziko ndani ya Watumishi wake tukuka akina GENTAMYCINE na kwamba muda wowote tu akiitaka Tanzania aseme tu anaitaka lini kwakuwa Strategically ipo Kiganjani na ni Nyepesi mno Kimedani ukilinganisha na Mafunzo ya Wapambanaji wa Rwanda wanaoongozwa na Watu wenye Akili Kubwa na Waliobarikiwa Kabila la Watutsi.
Nimemaliza.