wamepaboresha mno sasa hivi barabara nyingi ni lami tuNi kweli Arusha ni pazuri ila mimi kusema kweli palinikataa lile vumbi na baridi la pale! Hapana Dar ndo naona nikikaa nakaa vizuri!
Tz hakuna miji kuna vijiji urban planning tumeshindwa kabisaMji gani Tzn hii ukiacha sehemu ya Dom umepimwa?
ukienda makao mapya barabara zote zile sasa ni lami mkuu na zinawaka taa usikuUkiondoa hali nzuri ya hewa, Arusha ni jiji la ovyo kabisa. Nyumba za ovyo zipo hadi ndani ya CBD, barabara ni nyembamba na hazina hadhi. Barabara nyingi hazina lami nenda makao mapya uone vumbi la ugoro. Arusha ndani ya miaka 60 ya uhuru inafaa kuitwa squalor of Africa
Mkuu sio kweli ukisemacho... Morombo ipi unayosema ina lami hadi intel?Uko ngusero na morombo hadi intel sikuizi ni lami tu
wewe sijui unatoka wapi mkuu
factTz hakuna miji kuna vijiji urban planning tumeshindwa kabisa
Mkuu usifikiri watu wana inferioritycomplex hapana hata kidogo lakini ujue arusha kama haikuweza kuizidi mikoa mingine kama mwanza usitegemee leo hii arusha ikaizidi ka sababu kipindi cha nyuma jamii ya kanda ya ziwa ilikuwa nyuma kwenye sekta nyingi kama elimu na uenzi laini saizi mambo yako tofauti sana ukienda leo kiiini huko usukuma na kanda ya ziwa kwa uumla utakutana na nyumba kali sio za bati tu bali za msouth. Kwa hiyo construction industry kwa upande wa mwanza ni kubwa kuliko arusha ukitaka kujua angaliamji na senta za kanda ya ziwa zinavyobadilika kwa kasi kubwa.ngoja tu utaskia mtu anasema hapa Arusha mara wachagga
kuna kikundi flan aka gang sitaki kukitaja wana inferiority Complex ajabu wakiskia Arusha wanawashwa balaa π€£π€£
ngoja tuwasubiri
naomba kufahamu unaishi wapiMkuu sio kweli ukisemacho... Morombo ipi unayosema ina lami hadi intel?
ukiangalia population statistics kama nilivosema Arusha ilikua ya 9 hadi leo imekua ya 3Mkuu usifikiri watu wana inferioritycomplex hapama hata kidogo lakini ujue arusha kama haikuweza kuizidi mikoa mingine kama mwanza usitegemee leo hii arusha ikaizidi ka sababu kipindi cha nyuma jamii ya kanda ya ziwa ilikuwa nyuma kwenye sekta nyingi kama elimu na uenzi laini saizi mammbo yako tofauti sana ukienda leo kiiini huko usukuma na kanda ya ziwa kwa uumla utakutana na nyumba kali sio za bati tu bali za msouth. Kwa hiyo construction industry kwa upande wa mwanza ni kubwa kuliko arusha ukitaka kujua angali mji na senta za kanda ya ziwa zinavyobadilika kwa kasi kubwa.
Ni kweli ukisemacho... Ila kwa njia ya gari za morombo mpaka intel, lami inaishia boston car wash, icho kipande mpaka unapita mizani mpaka round bado ni vumbi tu, japo tayar kuna kibao cha ujenzi!naomba kufahamu unaishi wapi
ila Morombo gadi dampo hadi intel kote ni lami mpya nzuri na ina taa za barabarani hadi kuonganisha na barabara ya east Africa
Pole sana sabaya kama nakuonea wivu!Punguza kasiriko babu tafuta hela acha wivu wa kike!!!
Nimekuelewa ole sabaya!Acha roho za kimaskini mpuuzi wewe
Tetetete nikomeNimekuelewa ole sabaya!
Aisee hii ni kweli kabisa , urban planning ni zero kabisaTz hakuna miji kuna vijiji urban planning tumeshindwa kabisa
Barabara ya kilimahewa to nyasaka.Kwani Mwanza kuna lami gani za mitaani za kusafiri zaidi ya hizo dkk ukiacha barabara kuu ya Shy, Airport na Musoma?
Huyo unaemtaja ni team Mwendazake kama ww, wazee wa legacy πππPole sana sabaya kama nakuonea wivu!
Ni barabara ipi makao mapya ina vumbi mkuu? Mimi sijaiona hataUkiondoa hali nzuri ya hewa, Arusha ni jiji la ovyo kabisa. Nyumba za ovyo zipo hadi ndani ya CBD, barabara ni nyembamba na hazina hadhi. Barabara nyingi hazina lami nenda makao mapya uone vumbi la ugoro. Arusha ndani ya miaka 60 ya uhuru inafaa kuitwa squalor of Africa
Ni jiji chafu pamoja na kuwezeshwa na serikali pamoja na jumuiya ya Afrika mashari kutengeneza miundo mbinu ya kisasa lakini wapi.Ni miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.
Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, lakini licha ya upya wake.
Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania.
Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.
Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.
Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.
Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.
Bila kusahau leisure facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.
Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.
View attachment 2038839
View attachment 2038840
View attachment 2038841
View attachment 2038842
View attachment 2038843
.
View attachment 2039251
Hujakatazwa kusifia na wewe cha kwako.