Kama mtu unaogopa kuonekana kituko kwa kutunza afya yake basi kifo ni haki yake"Chukueni tahadhari na kufuata muongozo wa WHO kupitia wizara ya afya, Corona ipo na inaua"..
Unajua kaka, Mh.Rais amefanya hata mtu ukivaa barakoa kwa sasa uonekane kituko.?????
Kipindi hicho mkuu, sasa napitaga kusalimia jamaa zangu tuuMama D umekaa mitaa hiyo ya Akachube??
Kibwisabwisa bureriii,,,,,,,,,,,"Mfichaficha magonjwa, kilio kitamfichua" . Nyerere.
Utatoa takwimu pasipochukuliwa takwimu halisia? Just for observation tuendelee na maisha tuone kati ya phase 1 na hii phase II, ipi itatuliza sana baada ya kwanza kujitahidi kutumia njia mbali mbali na hii tuliyokaidi.
Mwenyezi Mungu atupitishe salama pamoja na ukaidi wetu wa kushindwa kutumia akili zetu vyema na maarifa aliyotujalia ili tufanye post-mortem wote.
Odhis...Walipoombwa kuzuia kabla haijaingia hawakukubali na ilipoiingia hawataki hata itamkwe !! Daahh
Utajiri wake ni kile alichokulaR.I.P kafa kaacha mihela yake
Kama huu ugonjwa hauna dawa Wala tiba utajikinga vipi na kufa?.
1.kuvaa mask kwani wanaokufa hawavai mask?.
2kutumia sanitizer kwani huko wanaokufa hawatumii sanitizer?.
3.kunawa mikono kwani huko wanaokufa hawanawi mikono?.
4.lock down hao wanaokaa lock down hawafi na coronaa?.
hizi njia zote zinatumika unijumlisha na chanjo zimesaidia nini kwenye kupambana na Corona je Maambukizi yanaongezeka au yanapungua?
NDO MAANA MIMI NASEMA NIPO UPANDE WA MAGUFULI.
NI MUNGU Pekee ndo anaweza kutuokoa
1-Mask kama chandarua unaweza kulala lakini ukapata malaria nje ya chandarua ila inasaidia kujilinda.Kama huu ugonjwa hauna dawa Wala tiba utajikinga vipi na kufa?.
1.kuvaa mask kwani wanaokufa hawavai mask?.
2kutumia sanitizer kwani huko wanaokufa hawatumii sanitizer?.
3.kunawa mikono kwani huko wanaokufa hawanawi mikono?.
4.lock down hao wanaokaa lock down hawafi na coronaa?.
hizi njia zote zinatumika unijumlisha na chanjo zimesaidia nini kwenye kupambana na Corona je Maambukizi yanaongezeka au yanapungua?
NDO MAANA MIMI NASEMA NIPO UPANDE WA MAGUFULI.
NI MUNGU Pekee ndo anaweza kutuokoa
Utatoa takwimu pasipochukuliwa takwimu halisia? Just for observation tuendelee na maisha tuone kati ya phase 1 na hii phase II, ipi itatuliza sana baada ya kwanza kujitahidi kutumia njia mbali mbali na hii tuliyokaidi.
Mwenyezi Mungu atupitishe salama pamoja na ukaidi wetu wa kushindwa kutumia akili zetu vyema na maarifa aliyotujalia ili tufanye post-mortem wote.
Leo Rais Dodoma anasema tumieni dawa ya asili inafanya kazi kwa asilimia 99% ya corona, tusiamini kila dawa inayotoka nje kwa maana nyingine Corona ipo kama kukiri juzi tu walisema hakuna corona kwetu. Sasa hii dawa inawezekana kweli sina ushahidi wa kukana ila tafiti zilifanywa kwa watu wangapi? data zikuwapi na wakati tulikuwa hatuna wagonjwa wa corona kwa mujibu wa serikali. Hawa wagonjwa katika mahospital je wanaweza kuthibitisha ndio dawa wanayopewa na ma Dr. Serikali ituweke wazi katika hili. Juzi wanasema vipi cjanjo haraka hivyo sasa sisi mbona dawa haraka sana tu.Kama mtu unaogopa kuonekana kituko kwa kutunza afya yake basi kifo ni haki yake
Sawa....1-Mask kama chandarua unaweza kulala lakini ukapata malaria nje ya chandarua ila inasaidia kujilinda.
2- Hakuna
Leo Rais Dodoma anasema tumieni dawa ya asili inafanya kazi kwa asilimia 99% ya corona, tusiamini kila dawa inayotoka nje kwa maana nyingine Corona ipo kama kukiri juzi tu walisema hakuna corona kwetu. Sasa hii dawa inawezekana kweli sina ushahidi wa kukana ila tafiti zilifanywa kwa watu wangapi? data zikuwapi na wakati tulikuwa hatuna wagonjwa wa corona kwa mujibu wa serikali. Hawa wagonjwa katika mahospital je wanaweza kuthibitisha ndio dawa wanayopewa na ma Dr. Serikali ituweke wazi katika hili. Juzi wanasema vipi cjanjo haraka hivyo sasa sisi mbona dawa haraka sana tu.
Kupigwa hapana si tulipewa bure ila tukajipiga gharama za safari.
Alichosema rais1-Mask kama chandarua unaweza kulala lakini ukapata malaria nje ya chandarua ila inasaidia kujilinda.
2- Hakuna
Leo Rais Dodoma anasema tumieni dawa ya asili inafanya kazi kwa asilimia 99% ya corona, tusiamini kila dawa inayotoka nje kwa maana nyingine Corona ipo kama kukiri juzi tu walisema hakuna corona kwetu. Sasa hii dawa inawezekana kweli sina ushahidi wa kukana ila tafiti zilifanywa kwa watu wangapi? data zikuwapi na wakati tulikuwa hatuna wagonjwa wa corona kwa mujibu wa serikali. Hawa wagonjwa katika mahospital je wanaweza kuthibitisha ndio dawa wanayopewa na ma Dr. Serikali ituweke wazi katika hili. Juzi wanasema vipi cjanjo haraka hivyo sasa sisi mbona dawa haraka sana tu.
1-Mask kama chandarua unaweza kulala lakini ukapata malaria nje ya chandarua ila inasaidia kujilinda.
2- Hakuna
Leo Rais Dodoma anasema tumieni dawa ya asili inafanya kazi kwa asilimia 99% ya corona, tusiamini kila dawa inayotoka nje kwa maana nyingine Corona ipo kama kukiri juzi tu walisema hakuna corona kwetu. Sasa hii dawa inawezekana kweli sina ushahidi wa kukana ila tafiti zilifanywa kwa watu wangapi? data zikuwapi na wakati tulikuwa hatuna wagonjwa wa corona kwa mujibu wa serikali. Hawa wagonjwa katika mahospital je wanaweza kuthibitisha ndio dawa wanayopewa na ma Dr. Serikali ituweke wazi katika hili. Juzi wanasema vipi cjanjo haraka hivyo sasa sisi mbona dawa haraka sana tu.
Kama kawaida binadamu kama halijampata. Kila mtu anaogopa kifo japo kuwa tunajuwa ni lazima utakufa tu. Hakuna shujaa katika kuumwa ugonjwa wowote lazima uchukuwe tahadhari na wala hakuna aliyesema ugonjwa huu wa maajabu ni kama kipindupindu hakuna mtu anadharau na ukidharau unakubeba tu. Corona kama magonjwa mengine tatizo lake hatujui tunagombana na nini wala adui hatumuoni. Hawa wengine sijui malaria, kipindupindu tunajuwa na tunamuona adui huyu bwana mkubwa Corona hatumuoni kimya kimya.INATAKIWA UJIONGEZE MWENYEWE.
corona ni ugonjwa kama magonjwa mengine.ACHA HOFU
Labda nikusaidie takwimu.
Je hizo njia za kujikinga na Corona zimesaidia nini?.
Ikiwa takwimu inazidi kupanda kila siku?View attachment 1694103
Duh tarehe 27/1 nilipiga naye supu mahali dah Mungu amlaze mahala pepema peponi!Aise nilipata habari hii pia
sema ikikuwa juu kwa juu
Ova
Hii Dunia kweli tunapita mwezi jana ni kutana naye maana tuna juana kiasi ni kapiga naye stori 2/3Lala salama jirani Said Akachube
Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba
Hii dunia tunapita tu binadam si lolote kabisaDuh tarehe 27/1 nilipiga naye supu mahali dah Mungu amlaze mahala pepema peponi!
Aisee basi sawa kipindi hicho sikosi hiyo mitaa pia,Kipindi hicho mkuu, sasa napitaga kusalimia jamaa zangu tuu
Pole kwa kupoteza rafiki, duniani sio petuHii Dunia kweli tunapita mwezi jana ni kutana naye maana tuna juana kiasi ni kapiga naye stori 2/3