Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama jibu sio KY, nalog off....[emoji13] [emoji13]unapaka mafuta gani ray unatelezaje?
usoniHuwa unayapaka sehem gani mwilini mwako....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Nimecopy google na sijui kama umewahi kuileta hukuWe jamaaa kwa kucopy na kupaste hujambo..hii thread niliileta huku unairudia tena???
Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
Njia za kuondoa msongo wa mawazo na uchovuNimecopy google na sijui kama umewahi kuileta huku
Sent from my GT-S7301 using JamiiForums mobile app
ok hamna shida mkuuNjia za kuondoa msongo wa mawazo na uchovu
Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
nini mkuu?umesahau mma.....
Umeona eeh [emoji3][emoji3][emoji3]ingia jf
sana tu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Umeona eeh [emoji3][emoji3][emoji3]
Stress ni kitu ambacho hakiepukiki kutokana na changamoto za maisha tunazopitia. Lakini cha msingi ni namna ya ku manage hizo stress japokuwa kuna baadhi vya vyakula huwa vinayumika kupunguza stress sababu vinakufanya upumzike vizuri. Jaribu kutumia biringamya kwa wingi wakati wa kulala na itakupunguzia kwa kiwango flani na jaribu kufanya mazoezi na kunywa maji kwa wingi.Naitaj kufaamu dawa zinazotumika kutuliza Stress, na upatikanaji wake kwa ujumla hapa Tz..
Kama unaufahamu na mambo hyo please nifaamishe na mm,
Sent using Jamii Forums mobile app