Sakata la Bandari: Sioni uwezekano wa Raisi Samia kupata asilimia 30 ya kura zote, na CCM kupata wabunge zaidi ya 100 mwaka 2025

Unatakiwa upendekeze km wa ccm, wa Chadema tuachie sisi.
 

Mbinu zitatumika[emoji12][emoji3166]
 
Popo ni mnyama au ndege?
 
Ujinga mwingine huo.....

Pamoja na kashfa za:-

-EPA

-KAGODA

-DEEP GREEN

-MEREMETA

-TANGOLD

-ESCROW

Bado CCM haijawahi "kupigika" kupata kura chini ya 50%.....

#Kidumu CCM[emoji120]

#Mama Kaja[emoji120]

#Mwenyezi Mungu utulindie Samia wetu aaaamin aaaamin [emoji120]
 
Shida sio ubovu wa CCM, Shida ni kuwa hatuna wapinzani wa kuwapa nchi, wananchi bado hawaamini CHADEMA, chadema hawana misingi imara kwenye matawi kusema watabeba majimbo mengi na kushinda nchi,
Naiona CCM ikishinda tena, sema kwa asilimia chache
 
Shida sio ubovu wa CCM, Shida ni kuwa hatuna wapinzani wa kuwapa nchi, wananchi bado hawaamini CHADEMA, chadema hawana misingi imara kwenye matawi kusema watabeba majimbo mengi na kushinda nchi,
Naiona CCM ikishinda tena, sema kwa asilimia chache
Hapo ingewekwa Tume huru,na katiba mpya,halafu mtanange uanze,itaonyesha dhahiri kama wananchi hawana imani na wapinzani au laa!
Bilashaka hata wewe ukipendekeza waziwazi kwenye vikao vya ngazi ya juu kabisa,kuhusu hayo mambo mawili niliyoandika hapo juu,utaona akina Nape,Makamba na wengineo watakavyokujia juu.
 
una ndoto za Ali Nacha.

In Shaa Allah, mama Samia anapiga zaidi ya 90%.
 
2025 is for CDM to loose.

Binafsi nimeongea na watu kadhaa wasio fuatilia siasa (wa dini zote) na kuwaelesha upotoshwaji unaofanywa na wanapinga bandari na kuwapa uelewa sahihi.

Pamoja na kuunga mkono huo uwekezaji baada ya kupata elimu; waislamu kumuonea huruma kwa mambo ya udini.

Lakini hitimisho la wote hao hawataki kumsikia huyo mama kabisa come 2025 ata ukitetea bandari wana issue za maisha yao na wote wanamkumbuka sana Magufuli (wengi ni wapambanaji wadogo wadogo na ndio watanzania wengi).

Shida ya CDM ni quality ya viongozi wao sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anaeweza mpigia Mbowe kura ya uraisi.
 
Kwahiyo wauza bandari ndio bora kwako. We utakuwa ni CCM tu ila unaona aibu kukiri hivyo.
 
Ccm haipo tangu zamani ,sema watz akili zilikua hazijatukaa sawa na kuwa wamoja sasa, nauna mwelekeo
 
Kwahiyo wauza bandari ndio bora kwako. We utakuwa ni CCM tu ila unaona aibu kukiri hivyo.
Kaka umeeleweka.. Hata CCM wenyewe ndani kwa ndani hawamtaki.. Na inatafutwa namna ya kumuweka kando.. Tatizo lipo kwa Rimoti na yule Baniani wa Nkinga..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…