Sakata la BANDARI ZETU na DPW linataka kuliingiza Taifa kwenye umwagaji wa damu!?

Damu gani hiyo inayotaka kumwagika?
 
Tuanze na wabunge majimboni. Tuwaambie waishie hukohuko walikopititisha ujinga wao. Hadi waelewe kuwa wamelikorogo. Wakaitishe bunge upya kurwkwbisha.

Tuanze sasa kuwapinga hawa wabunge mazezeta.

Kila mmoja na aseme sasa kwa sauti.
 
Hii inachekesha unachukua mawazo ya mwijaku, kitenge, steve nyerere na Baba levo, unaacha maneno ya prof. Issa Shivji, Prof.Tibaijuka, Sheikh Ponda, Zitto, Lissu, Fatma karume, Butiku, warioba, na TLS ( tanganyika law society)
Kina Mramba, Balali, Daniel Yona, Chenge na Mke wa Balali walikuwa sio wasomi? Prof Tibaijuka aliyesema 10m ni hela ya mboga baada ya kupokea mgawo wa kifisadi ana political legitimacy ya kuongelea ishu ya bandari? Hawa wasomi wetu ndo wengi wametuingiza kwenye majanga tuliyo nayo leo.
 
Unaamini kwenye bandari hawajatuingiza mkenge pia?
 
Unaamini kwenye bandari hawajatuingiza mkenge pia?
Nilichopinga hapo ni kuwapa sifa watu ambao nao ni wachafu tu kama hawa wanaotuhumiwa. Hii nchi itabadilishwa na watu ambao hawakutarajiwa ila sio hawa waliopo. Wengi wao sio kwamba wana uchungu ni vile tu mianya yao ya upigaji imezibwa. Jaji Warioba alishawahi kuwa waziri mkuu.. je kuna alama gani aliyoweka vichwani mwa watanzania kama Kina sokoine?
 
km wamegundua makosa waliyoyafanya ..unataka wachekelee makosa yale yale waliyoyafanya?
 
selikali ishasema itayafanyia kazi maoni ya watu. ila wanatokea watu wanaendelea kueneza chuki. mimi nasema watangulizwe tu. bora wachache wafe ili wengi wabaki salama ukizingatia wengine wanaochochea vurugu familia zao wana uraia wa marekani.
wewe ni mpumbavu
 
Nikukumbushe tu huo Mkataba ni kuhusu Bandari tu khalas
 
Huyo wakili anasema Tanganyika kwenye huu muungano Etii Imebakwa
 
Hi li la bandari nalo litapita kama yalivopita mengine mengi. Na hapa JF yatabaki mabandiko tu haya. Hakuna kitu kinaeza badilika huko.
 
Umemaanisha nini ?
✍️
Maana yangu ni kwamba. Ambavyo wameshapanga wao waliopo ktk mamlaka yatafanyika tu. Cc huk hata tupige kelele vip hakuna kitqchobadilika. Kwan mangap watu wanaongea na hakuna kinachotokea, sana sana tutaambiwa tukahamie Burundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…