Hercule Poirot
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,718
- 1,481
kuitwa mwizi ela wamekula wengine we umepewa kidogo alafu we ulikuwa na mamlaka inauma sana
Werema alitaka kujidhalilisha kwa kuvunja rekodi ya SUGU.
Wangeacha zipigwe mbili tatu kidogo heshima irudi
Kafulila alimwambia WEREMA MWIZI baada ya yeye kuambiwa TUMBILI. Azuiliwa na mawaziri asitimize shambulio hilo jana bungeni.
Source magazeti ya leo: Mwananchi, Nipashe, Tanzania Daima, Mtanzania...
Kafulila mpuuzi hana maadili, ndiyo maana alifukuzwa CDM.
Huwa najiuliza tu huyu muheshimiwa ilikuwaje mpaka akawa Jaji na baadae AG?
kati ya watu wachache nisiowaheshimu kiasi cha kushangaa na kusikitika kuwa wapo kati ya watanzania mil 45 ni huyu werema. ni mjinga -------- kiasi kwamba kuwa sehemu ya jamii yetu anatuambukiza upumbavu...huwa nashukuru mungu hajatokea kuwa mzazi wangu naamini ningeishamkataa live. hafai na ni kichefuchefu hili zee jinga.
Picha tafadhali
Hawa wote jamii moja!!! Leo huyu tumbili jioni mwenzake ngedere; keshokutwa tutasikia gengaheka...Wanasiasa wetu nadhani wana laana fulani....
Hivi kauli ya serikali ni ya kauli ya bunge pia.sasa mbona serikali imeongea shudu bunge imekausha,it means bunge hii ishu haiwahusu ndo maana ina waachie PCCB na CAG?