Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Una uhakika alidhalilishwa?.......
 
Mkuu
Ni watoto wangapi wana ujasiri kumshitaki mwali?

Unafikiri kwanini aliandika barua na kuwaachia wanafunzi wenzake kuwa wajihadhari na mwalimu Jimmy?

Yes kitendo cha kutokwenda kwao kinatia shaka lakini hatujui mazingira ya tukio yalimvuruga kisaikolojia kiasi gani?
 
Kutajwa kwa jimmy haitoi uhalali wa kutenda kosa..........kwahiyo kampenda baba joseeeeee
 
Boss boss.
Huyu ni mtoto wa kike tena mdogo, hili tukio kama kweli alibakwa, akaumia, huoni hasira na chuki inaweza kumpa hasira ya kufanya maamuzi yasiyo sahihi?

Hujawahi kukasirika ukafanya masmuzi mabovu?
Kwahiyo akampelekea baba Jose amalizie?......halafu ni kidato cha tano duuuh
 
Daah mkuu, umewahi kumuina baba Jose kwa picha?
Baba Jose ni mzuka, hakuna kitu kama hicho, ni script.. tu, wazazi wameongea wazi walioewa maelekezo waongee nini na waache nini, means ukeli ulifichwa kwa makusdi ndio maana wanataka haki itendeke
Naomba clip aliyeongea a ESTA na wazaz
 
Alikiri na alisema ni msamaria mwema kwake, na km maelezo ya mama wa genge ni tofauti, mbna yeye Esther haku kana??

Kwan huyo kupotea kwake kumechukua mda gani had kupatikana?
 
Huyo aliyemficha alikuwa ni nani na alimficha kwa misingi ipi mhanga wa ubakaji?
na kama alibakwa bwenini uongozi wa shule si upo? kwanini atoroke/kupotea maeneo ya shule na kuhifadhiwa na watu wengine nje ya shule bila kuripoti kwa polisi ama ngazi za serekali sehemu husika?. Kuna harufu ya kitu kisicho cha kawaida ndani ya hili jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…