cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Baba josee aletwee aje atoe maelezoo. Mwalimu wa watu muacheni khaah.Athibitishe kuwa hana hatia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba josee aletwee aje atoe maelezoo. Mwalimu wa watu muacheni khaah.Athibitishe kuwa hana hatia
Una uhakika alidhalilishwa?.......Ni saw huenda binti ana tabia mbaya, hii haimpi mwalimu uhalali wa kumdhalilisha.
Kazi ya mwalimu ni kubadili tabia.
Pili, maringira ya kulizima hili sakata liko wazi, mwenye shule analinda sifa ya shulw.
Kuhusu mahakama, huu ndio wito wa wazazi sasa wanataka ukwwli na haki vipatikane
MkuuJe wewe mtoa uzi unaamini aliyosema huyo mwanafunzi yana ukweli?.kama je aliamua kuacha shule je?.kama kweli aliingiliwa kimwili na huyo mwl.jimmy kwanini hakuripoti kwenye uongozi wa shule?.kama kweli shule ina ukuta alipotajwa getini je mlinzi alihojiwa?.mwisho kwanini hakurudi nyumbani kwao kwenda kutoa taarifa?.
Mbna alikubali Esther alikua kwa baba jose, na alisema ni msamaria mwema kwake? Hao wazazi walizuiwa kipii kuongea??Umemwona baba Jose popote?
Kwanini wazazi wadai walizuiwa kuongea ukweli kwa waliyoyaona?
Hapana haiingii akilini tena bweni la wasichana!!!!!!!Dogo anataka kumpa teacher shida, ila ni kweli unaweza baka shulen? Tena bwenini?
Hapoo sasaMmeamua kumdharilisha Mwalimu
Kwa umalaya wa Mtoto wenu.
Sina imani ushuhuda wa huyo Mwanafunzi
Mrudisheni Baba Jose Mke wake.
Kutajwa kwa jimmy haitoi uhalali wa kutenda kosa..........kwahiyo kampenda baba joseeeeeeMkuu umewahi kupatwa na jambo ukawachukia hadi wazazi wako?
Kama kuna ukweli kuwa alibakwa anaweza kujikuta anawachukia watu wote hadi wazazi waliompeleka shule.
Pili hatuoni kuwa Jimmy alitajwa tangu mwanzo alipoacha barua kabla hajatoroka?
Angemtaja Jimmy baada ya kupatikana hata mimi ningetilia shaka
Kitu ganii? Si atafutwe baba jose kwani??Sio jumba bovu, hapa kuna kitu kimejificha, tusubirie ukweli
Point .............kuntu kongoleEmbu tupunguze mayowe. Huyu mwanafunzi katumwa kuichafua hiyo shule..
Na waliofanya hivyo wana malengo ya kibiashara
Kwahiyo akampelekea baba Jose amalizie?......halafu ni kidato cha tano duuuhBoss boss.
Huyu ni mtoto wa kike tena mdogo, hili tukio kama kweli alibakwa, akaumia, huoni hasira na chuki inaweza kumpa hasira ya kufanya maamuzi yasiyo sahihi?
Hujawahi kukasirika ukafanya masmuzi mabovu?
Naomba clip aliyeongea a ESTA na wazazDaah mkuu, umewahi kumuina baba Jose kwa picha?
Baba Jose ni mzuka, hakuna kitu kama hicho, ni script.. tu, wazazi wameongea wazi walioewa maelekezo waongee nini na waache nini, means ukeli ulifichwa kwa makusdi ndio maana wanataka haki itendeke
Hhhhhhhhh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani baada ya kubakwa akaona aondoe chuki na hasira kwa baba Jose?! Very interesting
Alikiri na alisema ni msamaria mwema kwake, na km maelezo ya mama wa genge ni tofauti, mbna yeye Esther haku kana??Mmmh Coca tuliza kichwa vizuri.
Hakuna mahala iliandikwa popote kuwa alikaa kwa baba Jose mwezi mzima...labda uweke ushahidi hapa.
1. Baba Jose ametajwa na mama muuza genge alipokutwa Ester
2. Baba Jose haijulikani kuwa ni kweli alimla mtoto ama laah, mtoto hajakiri popote kuwa alikuwa kwa baba Jose
na kama alibakwa bwenini uongozi wa shule si upo? kwanini atoroke/kupotea maeneo ya shule na kuhifadhiwa na watu wengine nje ya shule bila kuripoti kwa polisi ama ngazi za serekali sehemu husika?. Kuna harufu ya kitu kisicho cha kawaida ndani ya hili jamboHuyo aliyemficha alikuwa ni nani na alimficha kwa misingi ipi mhanga wa ubakaji?