Hamia Burundi!Udini umeshika kasi awamu ya sita, mama hapendi kabisa ukristo anatamani usingekuwepo ila haiwezekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia Burundi!Udini umeshika kasi awamu ya sita, mama hapendi kabisa ukristo anatamani usingekuwepo ila haiwezekani.
Katika hili sitamsahau kamwe mwamba anko Magu kwa jinsi alivyo tujaza ujasiri na kuweza kukabiliana dhidi ya takataka za wazungu.
Mayai ni mwanzo wa maisha mapya baada ya Yesu kufufuka.kwani mayai yana maana gani japo kuwa walitakiwa waweke msalaba maana Yesu ni mkombozi wa Ulimwengu wote bila rangi au dini
Ilitakiwa iwekwe alama gani? Kama msalaba si upo tu siku zote hata kama sio za pasaka wala krismas?Naunga mkono hoja, hii ni kama dharau fulani hivi
Mayai hutumika kwenye sherehe ipi?Wangeweka msalaba, maana msalaba ni alalama ya ukombozi kwa wanadamu, Yesu alisulubiwa hapo akashushwa akazikwa kaburini na siku ya tatu akafufuka. Sasa hayo mayai ya nini ikiwa tu si alama ya tukio kama hili?
Kwani msalaba si upo tu siku zote sasa utakuwaje alama ya pasaka?Wangeweka msalaba, maana msalaba ni alalama ya ukombozi kwa wanadamu, Yesu alisulubiwa hapo akashushwa akazikwa kaburini na siku ya tatu akafufuka. Sasa hayo mayai ya nini ikiwa tu si alama ya tukio kama hili?
Kwani Yesu ni msalaba?Hebu tueleze hapa, hayo mayai ya nini? Is Jesus an egg? Or is he supposed to hatch from one of theme. I personally find this deeply offensive.
Hizi taasisi kuna vitengo vya mahusiano pamoja na IT ndo Huwa wanadesign vitu hivo na haina mahusiano na madai ya watu maana nina uzoefu na hivo vituHata unge disign wewe ungekula mkwanja wa maana!
Ova
Serikali inaingia kwenye kuhamasisha udhalilishaji wa kidini.Nimeona taasisi nyingi za umma zimetuma salamu za pasaka zikiambatana na picha za mayai yenye rangi mbalimbali.
I mean, what the f*ck is that? Kwa wakristo pasaka ni sherehe ya kufufuka kwa mwokozi wetu Yesu Kristo, mayai yanatoka wapi?
Au ndio dharau kwakua awamu hii ni wa upande ule??
I'm very disappointed with this, hizi habari za Santa na Easter eggs waachieni mabepari walio monetize sherehe za kikristo.
Kama hamuwezi kuweka picha zenye uhusiano na sherehe yenyewe ni bora mngeacha tu.
View attachment 2190638
View attachment 2190639
View attachment 2190640
View attachment 2190641
Aliteswa na kufa msalabani. Haya sasa niambie mayai yanatoka wapi?
Pasa zoteKuna umuhimu watumie pesa kutoa salamu?
nani kakwambia wanalipwa wewe? Hizo taasisi si wana vitengo vya Habari ndio wanao design hizo posters acha ushambaHapo unakuta wamempa aliyedesign salamu pesa ya maana tu
Roho wa Bwana akukomboe kutoka vifungo vya shetani.Pasaka ni siku ya kufufuka Yesu. Anything in that theme na sio mayai.
Naomba mstari wa Neno la Mungu kuthibitisha hiliWakristo wa mapema, walitambua nguvu ya yai kama ishara ya maisha mapya, waliunganisha mayai na maisha mapya yaliyopatikana katika Ufufuo wa Yesu Kristo wakati wa Pasaka.
Mayai ni ishara kamili ya Pasaka, na ishara ya maisha mapya katika Kristo. Fikiria mstari ufuatao maarufu wa Mtakatifu Paulo, “Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya; tazama, kila kitu kimekuwa kipya!" ( 2 Wakorintho 5:17 ).
Zaidi ya hayo, yai ni kielelezo cha Ufufuo wenyewe kifaranga akitoka kwenye ganda lake anawakilisha Yesu akitoka kaburini mwake siku ya Pasaka.
Copy & paste