Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,214
HakunaNaomba mstari wa Neno la Mungu kuthibitisha hili
Hii ni from Google
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakunaNaomba mstari wa Neno la Mungu kuthibitisha hili
Ila wewe jamaa una udini mnoo,kwani kwenye udini watoto wako wanalipiwa ada bure? Au kwa kuwa una ufinyo wa akili ?Udini umeshika kasi awamu ya sita, mama hapendi kabisa ukristo anatamani usingekuwepo ila haiwezekani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa alituokoa pakubwa.
Soon watoa mapovu watatubwatukia hapa halafu ukute na wao walikua full kujifukiza
Miaka hiyo kulikuwa na malalamiko jinsi bajeti za sikukuu zilivyo kubwa. Maputo, cards, mapambo mengine etc etc.nani kakwambia wanalipwa wewe? Hizo taasisi si wana vitengo vya Habari ndio wanao design hizo posters acha ushamba
Ni upumbavu wa hali ya juu!Nimeona taasisi nyingi za umma zimetuma salamu za pasaka zikiambatana na picha za mayai yenye rangi mbalimbali.
I mean, what the f*ck is that? Kwa wakristo pasaka ni sherehe ya kufufuka kwa mwokozi wetu Yesu Kristo, mayai yanatoka wapi?
Au ndio dharau kwakua awamu hii ni wa upande ule??
I'm very disappointed with this, hizi habari za Santa na Easter eggs waachieni mabepari walio monetize sherehe za kikristo.
Kama hamuwezi kuweka picha zenye uhusiano na sherehe yenyewe ni bora mngeacha tu.
View attachment 2190638
View attachment 2190639
View attachment 2190640
View attachment 2190641
Ya dhehebu gani, wakifuata andiko lipi la Biblia?Easter eggs ni nembo ya pasaka
Hii mada inazidi uelewa wako bora unyamaze utaheshimikaIla wewe jamaa una udini mnoo,kwani kwenye udini watoto wako wanalipiwa ada bure? Au kwa kuwa una ufinyo wa akili ?
Shida ni Chukizo la Uharibifu kusimama Madhabahuni.mbona unalalamika brother shida nini? mayai tu, kanisani huwa unaenda au kazi yako ni kukoloma tu.
Mdini wa kwanza ndo ww,hupend kabisa uislamu,nakushaur hamia RomaUdini umeshika kasi awamu ya sita, mama hapendi kabisa ukristo anatamani usingekuwepo ila haiwezekani.
ahhhh na wewe safari yako wapi.usije kutokea wewe ndio ukawa jehanam.maana wambongo tunawajuaShida ni Chukizo la Uharibifu kusimama Madhabahuni.
Safari njema Jehanamu mku .
Bundi haswaMdini wa kwanza ndo ww,hupend kabisa uislamu,nakushaur hamia Roma
wacha uchochezi wa kijinga.Udini umeshika kasi awamu ya sita, mama hapendi kabisa ukristo anatamani usingekuwepo ila haiwezekani.
Hayo ndiyo mafundisho ya "mtume" wakowacha uchochezi wa kijinga.
punguza chuki.
Fuata mafundisho ya Biblia kikamilifu utaacha chuki na uzandiki.
Mkuu swali lako ni zuri sana ujue waafrica tunateketea pasipokua na maarifa kwa maana tunaenda kufuata tuu walichokianzisha hawa watu weupe bila kujua lengo au chimbuko la haya mapokeo ni nini yawezekana ni mapokeo mazuri tuu ila tunapokea juujuu tuu mfano hao jamaa waliochora mayai wamecopy tuu kwa kuangalia logos za huko ng'ambo......Nimeona taasisi nyingi za umma zimetuma salamu za pasaka zikiambatana na picha za mayai yenye rangi mbalimbali.
I mean, what the f*ck is that? Kwa wakristo pasaka ni sherehe ya kufufuka kwa mwokozi wetu Yesu Kristo, mayai yanatoka wapi?
Au ndio dharau kwakua awamu hii ni wa upande ule??
I'm very disappointed with this, hizi habari za Santa na Easter eggs waachieni mabepari walio monetize sherehe za kikristo.
Kama hamuwezi kuweka picha zenye uhusiano na sherehe yenyewe ni bora mngeacha tu.
View attachment 2190638
View attachment 2190639
View attachment 2190640
View attachment 2190641
Labda alitupiwa mayai viza akiwa ametundikwa kwenye huo mti wa laana maana imeandikwa amelaaniwa kila aliyetundikwaAliteswa na kufa msalabani. Haya sasa niambie mayai yanatoka wapi?
Mama anahusikaje na mayai yenuUdini umeshika kasi awamu ya sita, mama hapendi kabisa ukristo anatamani usingekuwepo ila haiwezekani.