Salamu za pasaka kutoka katika taasisi za Serikali zinasikitisha

Mtoa mada wewe ni mkiristo wa mchongo na dini yako kumbe hujaisoma.mbona miaka yote wanaweka hayo mayai na sungura pia?? Ipo hivi miaka ya nyuma ya upagani kuna mfalme jina nimelisahau alikuwa na desturi ya kumuadhimisha mungu wa uzazi hivyo alitumia mayai kama ishara ya uzazi huo .lakin ukiristu ulipoingia hyo ya mungu wa uzazi ikawa modified na kuwekwa jambo lingine la kuashiria kuzaliwa upya kwa kristu na yai ndo ikawa ishara hiyo..soma baadhi ya comment wadau wamekujibu
 
Dini zilizoletwa na mabeberu hawawezi kukwepa mambo yanayoendana na sherehe kama utamaduni wao!
 
Wangeweka msalaba, maana msalaba ni alalama ya ukombozi kwa wanadamu, Yesu alisulubiwa hapo akashushwa akazikwa kaburini na siku ya tatu akafufuka. Sasa hayo mayai ya nini ikiwa tu si alama ya tukio kama hili?
Mayai hutumika kwenye sherehe ipi?
 
Wangeweka msalaba, maana msalaba ni alalama ya ukombozi kwa wanadamu, Yesu alisulubiwa hapo akashushwa akazikwa kaburini na siku ya tatu akafufuka. Sasa hayo mayai ya nini ikiwa tu si alama ya tukio kama hili?
Kwani msalaba si upo tu siku zote sasa utakuwaje alama ya pasaka?
 
Hata unge disign wewe ungekula mkwanja wa maana!

Ova
Hizi taasisi kuna vitengo vya mahusiano pamoja na IT ndo Huwa wanadesign vitu hivo na haina mahusiano na madai ya watu maana nina uzoefu na hivo vitu
 
Serikali inaingia kwenye kuhamasisha udhalilishaji wa kidini.

Kwa mfano watokee wahuni waanze kuihusisha Maulid ya Mtume na alama zisizoendana na dhima ya sherehe itakuwaje?
 
Pasaka ni siku ya kufufuka Yesu. Anything in that theme na sio mayai.
Roho wa Bwana akukomboe kutoka vifungo vya shetani.

Pasaka ni siku ya ukombozi maana Yesu alituamrisha tuishike siku ya Pasaka na alifufuka siku ya Tatu ambapo tumeibadilisha sisi kuwa ndo Pasaka.

Pasaka ipo tangu enzi za Musa alipowatoa Waisrael Misri.

Usiku ule waliochinja mwanakondoo na kumla ndiyo kumbukumbu ambayo Yesu alifanya kwenye karamu ya mwisho na akasema tumkumbuke hivyo.
 
Naomba mstari wa Neno la Mungu kuthibitisha hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…