Salamu za pasaka kutoka katika taasisi za Serikali zinasikitisha

Bila shaka hao graphics designer ni wanawake, c unajua tena wanawake wana mayai yao ndani kwa ndani.
 
Udini umeshika kasi awamu ya sita, mama hapendi kabisa ukristo anatamani usingekuwepo ila haiwezekani.
Wewe ndio mdini and playing victim,hio chuki yake mbona hautuioni au yeye ndio katengeneza hayo mabango ,matangazo ya Easter yapo miaka mingi

victim syndrome
 
Kweli tuna safari ndefu yaani mtu anajadili mayai kwenye picha
 
Udini umeshika kasi awamu ya sita, mama hapendi kabisa ukristo anatamani usingekuwepo ila haiwezekani.
Unataka awafanyie nn hili mjue anawapenda?maana sijaona baya alilofanya kwenu maana mnapendaga kulalamika balaa km watoto yatima hivi nyinyi mngekuwa mnafanyiwa kama waislama wanavyofanyiwaga mngekuwa katika hali gani maana tangu nchi hii ipate Uhuru sijawahi kusikia polisi wameingia kanisani kukamata viongozi wa dini kupiga risasi kiongozi wa dini yenu lakini nyinyi kulalamikaaaa tu
 
Hiyo ni picha ya mayai au hereni?
 
We kiazi Acha Uvivu,nilitaka niandike hapa maana ya Easter Egg or Paschal Egg lkn nimeona itakufanya uwe mvivu zaidi,take ur time hata Google tu itakupa ufafanuzi kamili.
 
Daaaahhh Wakristo kuweni basi waungwana jamani, yaani hata hili la mayai mnataka kumsingizia mama kweli?
Yaani hii nchi kila apoongoza mwislamu inakua ni nongwa atanasibishwa na kila balaa ili aonekane tu ni mdini.
Mbona jiwe alikua anatubagua na alikua ni mdini kwelikweli ila wavaa makobazi tuliamua kunyamaza tu.
Punguzeni nongwa wandugu hii ni nchi yetu sote jamani.
 
Yaani nyie Wakristo kumbe wenyewe mnasheherekea Sikukuu ya kipagani kwa kumuadhimisha mungu east halafu mnataka kumsingizia mama ndie amewaletea mayai.

"Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliewaroga mkaacha kumuabudu MUNGU muumba mbingu na nchi na kuanza kuabudu miungu ya kipagani?
 
Yaani nyie Wakristo kumbe wenyewe mnasheherekea Sikukuu ya kipagani kwa kumuadhimisha mungu east halafu mnataka kumsingizia mama ndie amewaletea mayai.
Hapana mkuu hao graphics designer wanacopy na kupaste vile vile madhehebu mengi hawasomi na kuelewa mambo sio wakristo tuu
 
Hapana mkuu hao graphics designer wanacopy na kupaste vile vile madhehebu mengi hawasomi na kuelewa mambo sio wakristo tuu
Sasa na wewe mbona haueleweki?
Wewe si ndio umetupa historia kamili ya Sikukuu ya Easter na kutujulisha kua ni Sikukuu ya kipagani na huyo mungu east akambadilisha sungura kua kuku ili asidhurike na baridi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…