PerfectAcheni kunyanyasa watanzania walala hoi kwa hizi tozo zenu, badala yake wabaneni matajiri wanaokwepa kodi.
Kimsingi wakwepa kodi ni wengi, si huyu mama kibonge peke yake. Mchezo umeanza!!!!!!
Huu no ushahidi kwamba kodi zetu siyo rafiki!
Na wanaotoboa tunawaita free massons ,Kwa janja janja ya Mama Kibonge lazima uitwe FMbiashara hizi zina mengi sana, ndiyo maana wengine hatutoboi.
Kwa hiyo wanataka kumwaibisha Ka simu?Huo ni ushaihidi bila msaada wa Kassim Majaliwa huu mzigo usingefika hapo.
Ndugu yangu mifumo ipo na wenyewe haohao wanajua jinsi ya kuivuruga, ili kukwepa kodi na kujinufaisha na badala yake mwisho kuturundikia wananchi 'tozo' kibao...... kaazi kwelikweli.Hii inathibitisha kuwa mfumo wa ukaguzi bandarini ni mbovu na hata uandaaji wa nyaraka na upitishaji mizigo mipaka ya nchi jirani ni questionable
CPA Diblo dibala……Hii kihasibu bado tunaipost kama,"MAMA KIBONGE VITENGE TAX UNQUESTIONABLE ACCOUNT" na TRA tunaipost kama "TRA TAX REVENUE PROVISIONAL FOR BAD DEBT" to be transferred to "TRA BAD DEBT WRITTEN OFF ACCOUNT" under support of CPA Diblo Dibala.
Hatari sana 🤣🤣🏃 🏃🏃
Kwamba sijui Kodi zinapunguza faida na mfanyabiashara ana tamaa ya kupata faida kubwa!!?
NimesisimkaNi jimama flani hivi jeupee la kimjini..lina wowowo balaa
Lyamber umesikia? Fikisha pia huu ujumbe kwa wenzako.Ila ndugu zangu TRA kuweni na macho ya kibiashara... watu wanakwepa kodi kwa kuwa sheria
Haizendani na hali halisi ya biashara,
Fine, Penalty and Charges... hapo ndipo kwenye shida zaidi.
Tupiako basi kapicha kake pleaseMama bonge ni Nouma anauza laptops kea bei ya kutupa sana..
Sie Wazee wa mazoezi kkooo anatubust mbaya
Wanadai nikibonge waitiii halafu ana tako balaa. Yani hadi nikasisimuka. Nadhani alimnyima tako kamishna mmoja wa TRA ndo maanaWatu mmeshindwa hata kutupia kapicha jamani
Ova
Huyo hapo.Tupiako basi kapicha kake please
Tumuulize Magufuli na wapiga dili wengine waliosema wanafanya protectionism ya kulinda viwanda vya ndani.Sababu ya Vitenge Tanzania kuwa na kodi kubwa kuliko nchi nyingine East Africa ni nini?