Tafuta Kazi halali usiishi kwa upambe,njoo tukufundishe biashara ya madini uwe milionea nchi imejaa mali KILA sehemu utajirike usitegemee uhalifu kuishi.kama wewe hukuwa na huzuniwacha tulie sisi tuliyekuwa tunampenda wewekamlilieshoga yenu anaye gawa huko ubergiji
Yalimfaidisha yeye binafsi,asante Mungu ametuokoa kutumbukia shimoni.sasa hivi mnamuona shetani angalieni aliyoyafanya kwa muda mfupi halafu piteni kimya hamna haja ya kuropoka kama mmeingiziwa vidole huko nyuma
Upo right snNi ile ile!
Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.
Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.
Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.
Hawa ni wauza ganda wazuriTafuta Kazi halali usiishi kwa upambe,njoo tukufundishe biashara ya madini uwe milionea nchi imejaa mali KILA sehemu utajirike usitegemee uhalifu kuishi.
Tafuta Kazi zingine usife njaa huyo arudi leo wala kesho miaka 6 kwanza ndani akisubiria ushahidi kukamilika,kituo kinachofata bashite musiba.
Nia haipo kwa sasa!! au ndio tayari amesafishwa na yajayo pia iwapo yatajitokeza?Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.
Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.
View attachment 1811801
njaa tu izinakusumbueni na mtakesha mkiombea mabaya hayatatokea mwanaume mzima unakuwa kama lema aliyeolewa kutwa kucha kuombea mabaya wenzie au na wewe umeolewa maana mwanaume akiolewa lazima awe mmbeyaTafuta Kazi halali usiishi kwa upambe,njoo tukufundishe biashara ya madini uwe milionea nchi imejaa mali KILA sehemu utajirike usitegemee uhalifu kuishi.
Tafuta Kazi zingine usife njaa huyo arudi leo wala kesho miaka 6 kwanza ndani akisubiria ushahidi kukamilika,kituo kinachofata bashite musiba.
Mkijua huyo bashite na mama samia wakoje basi mtatulia.Mkurugenzi wa Bandari alikamatwa na pesa nyingi lakini akawagawia kesho yake boss wa Takukuru akaenda hewani kukanusha kuwa hakushikwa na pesa matokeo yake atatumbuliwa sasa yupo tu anasoma magazeti, huu utetezi dhidi ya Bashite makonda ni utetezi haramu na wa kishetani na hii ya kumtetea Bashite itakuja kuwafanyia watu waombe kufanya maandamano ya amani
Wivu tu kama ule wa kusingizia eti freemason.Hawa ni wauza ganda wazuri
SawaWizi tu kama uwe wa kusingizia u freemason.
Njoo tufukue hazina tulizopewa na Mwenyezi Mungu ardhini.Hii nchi ni tajiri sema imekosa viongozi.
Jinai haina ukomo Mama ni mpita njia siku zaja.Siti ya daladala ainaga mwenyeweMkijua huyo bashite na mama samia wakoje basi mtatulia.
Sio njaa Ni laws of nature ajiandae tu kuvunanjaa tu izinakusumbueni na mtakesha mkiombea mabaya hayatatokea mwanaume mzima unakuwa kama lema aliyeolewa kutwa kucha kuombea mabaya wenzie au na wewe umeolewa maana mwanaume akiolewa lazima awe mmbeya
Uko sahihi, lakini Sasa anapoficha maovu kama ya akina Makonda, ya BoT , huwezi kujua from here where will she head to!hapa nakupinga. huyu hatotumia method za jiwe sijui kuteka na kuua watu. she wants her record to be clean.
Maybe she is not aggressive kwenye mambo fulani. but she is not jiwe
mtakaa mkisubiri badala ya kufanya kazi mwenzenu anapeta tu mtakonda sanaSio njaa Ni laws of nature ajiandae tu kuvuna
wewe unaushahidi kuwa hao wanamakosa? hawaoni makosa yao ndiyo maana hawahusishwiUko sahihi, lakini Sasa anapoficha maovu kama ya akina Makonda, ya BoT , huwezi kujua from here where will she head to!
hahahaaa kwahiyo napiga picha siku tobo ndyo kawa mkulu miaka mitano kesi kila siku kukomoa atauwa mpaka sisimiziJinai haina ukomo Mama ni mpita njia siku zaja.Siti ya daladala ainaga mwenyewe
@Etwege ,wewe ni nani? Mbona ni mtetezi mkubwa wa haya majambazi wawili (Sabaya na Makonda)!? Una maslahi nao!?Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.
Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.
View attachment 1811801
Hata kama ana makosa ni kufichiana makosa basi km ni hivo tuna kundi la wahuni wala sio viongozi wanao fuata sheriaSerikali makini haiwezi kujivua nguo kiasi hiki.
Hata huyo Sabaya mwisho wa siku mnaweza kusikia DPP anamfutia hizo kesi.