CHADEMA mmesikia? Utawala wa sheria katika ubora wakeMkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda..
Uko sasaSasa anapoficha maovu kama ya akina Makonda, ya BoT , huwezi kujua from here where will she head to!hapa nakupinga. huyu hatotumia method za jiwe sijui kuteka na kuua watu. she wants her record to be clean.
Maybe she is not aggressive kwenye mambo fulani. but she is not jiwe
The obvious alivamia Clouds na bunduki. Inaelekea wewe utakuwa mnufaika wa Jiwe...mwendazake wafuasi wake utawajua tuwewe unaushahidi kuwa hao wanamakosa? hawaoni makosa yao ndiyo maana hawahusishwi
Dangamya toto mchana kweupe.Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda..
We elewa jinai haina ukomohahahaaa kwahiyo napiga picha siku tobo ndyo kawa mkulu miaka mitano kesi kila siku kukomoa atauwa mpaka sisimizi
kwakweli mimi ni mnufaika wa jpm sana tu watanzania katuoa sehemu dhaifu na katuweka sehemu imara zaidi na kazi bado inaendeleaUko sasaSasa anapoficha maovu kama ya akina Makonda, ya BoT , huwezi kujua from here where will she head to!
The obvious alivamia Clouds na bunduki. Inaelekea wewe utakuwa mnufaika wa Jiwe...mwendazake wafuasi wake utawajua tu
Siku hazigandi hata sabaya zinaganda sasamtakaa mkisubiri badala ya kufanya kazi mwenzenu anapeta tu mtakonda sana
kujibu tuhuma ganibado mnamakesi ya kubambika tu wakati mama hayataki?acheni uchizi wenuKitakachomuokoa Makonda kufungwa jela ni kukimbia nchi au kifo kama alivyokuwa Mwendazake.
Kama Rais SSH atakaa kimya kwa sababu yeyote, ajuwe tu baada ya kipindi chake kuisha hata iwe miaka 10 ijayo, Makonda lazima afikishwe Mahakamani kujibu tuhuma zake.
The current set up of our government is so weak to provoke THE WESTERN ALLIANCE. Mama would wish to the right up, but it seems she must hold for now, or forever. As we are discussing there is a disquiet in Western Tanganyika.This boss of PCCB is so smart. He is fooling this imbecile so that he (imbecile) can be investigated and cornered appropriately.
Kidogo kidogo tutaelewana....! Kazi IendeleeMkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.
Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.
View attachment 1811801
Kisa tu mbowe alitajwa kwenye madawa ya kulevya?Kitakachomuokoa Makonda kufungwa jela ni kukimbia nchi au kifo kama alivyokuwa Mwendazake.
Kama Rais SSH atakaa kimya kwa sababu yeyote, ajuwe tu baada ya kipindi chake kuisha hata iwe miaka 10 ijayo, Makonda lazima afikishwe Mahakamani kujibu tuhuma zake.
Nimecheka haki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sina uovu naishi kwa kufuata sheria na kanuni za kuishi na watu duniani.Pole kama uzijui
Kwani aliyemteka Roma Mkatoliki na MoDewji ni nani? Au humjui aliyekuwa kiongozi wa kundi la WASIOJULIKANA ambao walimtishia bastola Nape Nnauye?kujibu tuhuma ganibado mnamakesi ya kubambika tu wakati mama hayataki?acheni uchizi wenu
Hujui kuwa akinyang'anya magari ya matajiri na kuyatumia kwa namba za RC DSM?Kisa tu mbowe alitajwa kwenye madawa ya kulevya?
huo ndiyo umbeya wa kike we unaushahidi gani kama makonda ndiye alikuwa kiongozi? hiyo ni vita ya wauza dawa za kulevya ndiyoinamchukia maana aliziba biashara hiyo haramu na wewe unaingia kichwa kichwa kama malaya wa kilabuni tena siyo wa bar ana nafuu wa kilabuniKwani aliyemteka Roma Mkatoliki na MoDewji ni nani? Au humjui aliyekuwa kiongozi wa kundi la WASIOJULIKANA ambao walimtishia bastola Nape Nnauye?
Aliyesimamia kikosi kilichomshambulia Tundu Lissu? Ni Paul Makonda kwa jina lake halisi Daudi Bashite.
Aliyewabatiza nyumbu hao jamaa aliona mbali sana, kitu kufikiri kwao hakipo kabisahuo ndiyo umbeya wa kike we unaushahidi gani kama makonda ndiye alikuwa kiongozi? hiyo ni vita ya wauza dawa za kulevya ndiyoinamchukia maana aliziba biashara hiyo haramu na wewe unaingia kichwa kichwa kama malaya wa kilabuni tena siyo wa bar ana nafuu wa kilabuni
Hujui kuwa akinyang'anya magari ya matajiri na kuyatumia kwa namba za RC DSM?
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Mengine umeongezea wapi kasema hawana nia.Huyu anakosekana vipi kwenye tuhuma yeyeto.
Mwizi aliyeiibia serikali kupata ajira kwa vyeti feki