Wewe ni mke wa Ally Hemed?Hiyo Lexus ilikuwa mali ya Ally Hemed mmiliki wa kampuni ya Nas Haulies!alimnyang'anya na baada ya Ally kugoma kumpa kadi akampa kesi ya madawa na kumuweka kituoni. Baada ya mwanae aitwaye Bahman kupeleka kadi ndio akaachiwa!Namba halisi ya hiyo Lexus ni T500 DAR na Benz T666
Makonda, kama kweli unawataja wauza unga hapa mjini kina Diamond na kina Salim Sk mbona bado wako mitaani tu wanadunda?Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.
Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.
View attachment 1811801
Mbona Diamond na Ridhiwani Kikwete bado wapo tu mitaani?Makonda aliwataja mapapa wa unga ndiyo maana unga ukaisha kabisa mtaani.
Wanatumia kodi zetuKaama hukuichagua why unaipangia Cha kufanya?
Mtanena na kwa lugha lakini hamuezi kunyamazisha madai ya HAKI.Makonda aliwataja mapapa wa unga ndiyo maana unga ukaisha kabisa mtaani.
Muda utasemaNilisema hapa mnauziwa matango pori na Kigogo, Makonda ana network ndefu.
Kama umeshasahau alikuwa hapa 17th March, atakuja hivyohivyo.Kwako karma anafika lini!?
Kama umeshasahau alikuwa hapa 17th March, atakuja hivyohivyo.
Madhalimu na mawakala wao ndio huamini hivyo kwa kujiona miungu watu.Kifo ni ahadi ya Mwenyezi Mungu kwa kila mwanadamu.
Labda utuambie kama wewe utaishi milele🙄🙄🙄
Madhalimu na mawakala wao ndio huamini hivyo kwa kujiona miungu watu.
Hata yanayompata Sabaya & coKama wewe unavyoamini kifo ni karma ee
Kaibia vyeti lakin kazi yake n zaid ya wenye vyeti hao wenye vyeti vyao wamefanya nniMengine umeongezea wapi kasema hawana nia.Huyu anakosekana vipi kwenye tuhuma yeyeto.
Mwizi aliyeiibia serikali kupata ajira kwa vyeti feki
Wale waliondolewa kwa shida ya vyeti hawakuwa watendaji.Kipi cha maana kafanya zaidi ya kucheza na camera kukuadaeni nyie wanyongeKaibia vyeti lakin kazi yake n zaid ya wenye vyeti hao wenye vyeti vyao wamefanya nni
Kama sijautenda uovu niko salama amani moyo Sina hatia ya machozi au damu za watuNafsi yako itakusuta sana mpaka kufa kwako