Lakini madawa ya kulevya yaliisha TanzaniaTakukuru, huyu makonda ana mikono michafu inayonuka ile 'kitu ya uzima wa milele'.
Ni mtu ambae ameumiza wengi kwa kisingizio cha madawa ya kulevya au Bereau de change.
Amenyanyasa wengi na kuwaonea watu wasio na hatia, asulubiwe asulubiwe!
dont be stupid, ulienda wew ukaziona hozo pesa nyingi, haya tuambie hizo pesa nyingi sh ngapi maana inaonyesha ulihesabuMkurugenzi wa Bandari alikamatwa na pesa nyingi lakini akawagawia kesho yake boss wa Takukuru akaenda hewani kukanusha kuwa hakushikwa na pesa matokeo yake atatumbuliwa sasa yupo tu anasoma magazeti, huu utetezi dhidi ya Bashite makonda ni utetezi haramu na wa kishetani na hii ya kumtetea Bashite itakuja kuwafanyia watu waombe kufanya maandamano ya amani
Ni mtu muovu according to wauza madawa ya kulevyaHapa ndipo Takukuru watajivunjia heshima endapo wameanza kumtetea Bashite Paul makonda ambaye ni mtu muovu kupata kutokea Nchini Tanzania
Bavicha wameumbuka!Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.
Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.
Sasa hapa hoja ni nini? Ni Takukuru hawajamshikilia Makonda au Makonda ni msafi? Ni hivi Takukuru wakipelekewa tuhuma dhidi ya Makonda, zenye ushahidi unaojitosheleza wanafanya kazi wanayopaswa kufanya. labda takukuru watuambie kwa sasa hakun tuhuma zilizowasilishwa kwao kuhusu MakondaMkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.
Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.
Uvumi unakanushwa, sifa anapewa Makonda za mzalendo safi. Lakini ukweli kwa jamii inayomjua huyo mtu ni kinyume na sifa hizo. Ana ukwasi asio weza utetea, na wanajua chimbuko la ukwasi huo na ndio sababu ya kumnyoshea kidole.Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.
Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.
Huo ni ukweli, ni swala la muda.Serikali makini haiwezi kujivua nguo kiasi hiki.
Hata huyo Sabaya mwisho wa siku mnaweza kusikia DPP anamfutia hizo kesi.
Sio ccm tenaYaani sasahivi chadema wamejipa madaraka yakusema huyu akamatwe
Hio Itakuwa sio serikali makiniHuo ni ukweli, ni swala la muda.
Makonda hajawahi kuendesha vita dhidi ya wauzaji wa madawa ya kulevya. Ila alitumia madawa ya kulevya kujipatia fedha, magari na vitu vingine vyenye thamani ya Mabilioni ya Shillingi.huo ndiyo umbeya wa kike we unaushahidi gani kama makonda ndiye alikuwa kiongozi? hiyo ni vita ya wauza dawa za kulevya ndiyoinamchukia maana aliziba biashara hiyo haramu na wewe unaingia kichwa kichwa kama malaya wa kilabuni tena siyo wa bar ana nafuu wa kilabMakonda
Mama D una la kusema Baby??? mbona vimaelezo kidoogo tena vya kinyonge sema kama zamaniSerikali makini
Makonda alimsifia Mama kwamba anafaa kuwa makamu wa rais na ujumbe ule ukamfikia hayati JPM na akaufanyia kazi.Ni ile ile!
Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.
Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.
Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.
Mama D una la kusema Baby??? mbona vimaelezo kidoogo tena vya kinyonge sema kama zamani
Uliona wakati anagawa ama umehemukwa!!?Mkurugenzi wa Bandari alikamatwa na pesa nyingi lakini akawagawia kesho yake boss wa Takukuru akaenda hewani kukanusha kuwa hakushikwa na pesa matokeo yake atatumbuliwa sasa yupo tu anasoma magazeti, huu utetezi dhidi ya Bashite makonda ni utetezi haramu na wa kishetani na hii ya kumtetea Bashite itakuja kuwafanyia watu waombe kufanya maandamano ya amani
Jamaa jinga sana hilo....Pumbavvvv eti kumuokoa Diamond.
Wa kumshtaki Makonda ni Rais ajaye ambaye hatakuwa sehemu ya JPM.Nilisema hapa mnauziwa matango pori na Kigogo, Makonda ana network ndefu.