Pre GE2025 Samia: Sherehe nyingine za Kitaifa za Wanawake Zitafanyika 2030 wakati naachia ngazi, nitawaaga katika sherehe hizo!

Pre GE2025 Samia: Sherehe nyingine za Kitaifa za Wanawake Zitafanyika 2030 wakati naachia ngazi, nitawaaga katika sherehe hizo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
haha angalau hata angeweka neno Mungu akipenda lkn waislamu hawana hilo neno hata hivyo, hajui mpaka 2030 is a loong time chochote kinaweza kutokea kati ya leo na 2030 …

Kataja Mungu akipenda...
 
She is so sure of herself.

Binadamu hupanga ila Mungu nae ana mipango yake.
Ikimpendeza Mungu anaweza hata asimalize hii March.
Achilia mbali ikawa matakwa ya Mungu, CCM isifanikiwe na wizi wao wa kura akaishia kwenda kizimkazi kutumikia zamu ya uke wenza huku akipika vileja vya wajukuu.
 
She is so sure of herself.

Binadamu hupanga ila Mungu nae ana mipango yake.
Ikimpendeza Mungu anaweza hata asimalize hii March.
Achilia mbali ikawa matakwa ya Mungu, CCM isifanikiwe na wizi wao wa kura akaishia kwenda kizimkazi kutumikia zamu ya uke wenza huku akipika vileja vya wajukuu.
Yeye anazungumza yanayomhusu ila ya Mungu hana uwezo nayo.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa maadhimisho mengine ya Siku ya Wanawake yatafanyika mwaka 2030 wakati atakapoachia ngazi.

View attachment 3263722
View attachment 3263812


My Take
Chadema tafuteni kazi ya kufanya, uchaguzi umekwisha tunasubiria Uapisho tuu hiyo Oktoba.
Anajua hakuna uchaguzi bali kiinimacho, ataiba kura abaki madarakani ila 2030 atakuwa makamu wa rais wa Magufuli huko aliko
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa maadhimisho mengine ya Siku ya Wanawake yatafanyika mwaka 2030 wakati atakapoachia ngazi.

View attachment 3263722
View attachment 3263812


My Take
Chadema tafuteni kazi ya kufanya, uchaguzi umekwisha tunasubiria Uapisho tuu hiyo Oktoba.
Ana mkataba na Mungu??
Hivi hajui hata kesho anaweza asifike?j(japo siombei hilo)ama kweli madaraka hulevya
 
Kuwa loosers na kupoteza pambano ndio akili kubwa?

Mwisho wewe uliwahi msikia mgombea au Timu inaingia uwanjani inasema inaenda kufungwa au kupoteza pambano?
Wewe bado una akili ndogo huwezi kunielewa... Bado mchanga sana..
 
mama yuko sahihi namuunga mkono kwa kweli wanawake wanapaswa kuaminika kwenye ngazi za kiuamuzi kwa hilo niko nae bega kwa bega,binafsi najisikia faraja sna mtoto wakike akipewa nafasi kielimu hatimae kukomboka na kua mkombozi kijamii
 
Huna unalojua siyo lazima wewe unielewe Mkuu.. Hapo hiyo siyo akili yako ila ni njaaa imekupanda kichwani.. Naku sikitikia sanaa... Pole sana.. Mkuu kwanza umekula?
Wewe unajua kipi Cha maana Hadi ulazimishe ueleweke?
 
Wewe unajua kipi Cha maana Hadi ulazimishe ueleweke?
Kale kwanza ushibee.. Usikute nabishana na mbumbumbu mmojaa asiyeijua kesho yake.... Bado unapigania tumbo wewe akili yako finyuu pole... Sanaa... Maskini wa fikra wewe..
 
Back
Top Bottom