barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ndio...na kwenye noti mojawapo wanamchi watafanya petition awepo....Mwigulu amesisitiza makampuni ya simu yaanze kututoza pesa zaidi ili wapate kodi kumbe matumizi ya kodi zetu ndiyo haya kujenga sanamu ya kuchonga.
Nashauri sanamu hilo likijengwa usiende sabasaba maana utaogopaNi mpya ya leo. Kuna watu wajinga, wanafiki na nadhani ni hayawani pia, wameidhinisha sh 420m kujenga sanamu ya mwendazake viwanja vya maonesho ya kimataifa, Sabasaba.
Nchi hii imelaanika. Laana yetu ni pale wajinga na wanafiki walipoachwa kwenye mamlaka ya kuwaamlia wenye akili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lazima watu wapige , bro wangu kapewa tenda ya kusanifu mchoro , amekula mil 30 akanikatia mil 1.5 ..... Nasema hviiii hii sanamu ijengweeeee ma-mae
Ndio hivyo sasa tuipende nchi yetu.! Tuwe wazalendo huku wenye meno wakitafuna nchiMkuu uzalendo wa kula majani huku wengine wakila nyama?
Vikaragosi kwa hela zote hizo? Halafu unakuta sanamu lenyewe linakuwa na sura ya Steveni Wasira halafu unaambiwa eti ni la hayati baba wa Taifa.Tunalo tatizo la elimu nchini, hatuna madawati ya kutosha, hatuna waalimu wa kutosha, hatuna vitendea kazi ikiwemo vitabu then yupo mtu amekaa wizarani huko amesoma sanaa na utamaduni anawaza kuidhinisha M420 kwa ajili ya sanamu kweli...
HahahaaaaNdio hivyo sasa tuipende nchi yetu
Tulipebkodi ili wachache wazitumie kwa manufaa yao binafsi kama hao wanaojijengea masanamu. Wameona mahekalu hayatoshi sasa wameamua kujifanyizia masanamuTuongeze tax base tulipe kodi.....ndio solution sio katiba kwa sasa....Mama upige mwingi sana katiba after 2025....
Sasa ualimu wa watu unaingiaje kwenye sanamu la magufuli??Hivi ajira mnayo taka (kupiga kelele) ni ipi? Maana hapa, atakaye chora hiyo sanamu, atakayefinyanga, kuchomelea, kupiga rangi, - kukarabati kumbi nk. Zote hizo ni ajira! Au nyinyi ajira ni ualimu tu?
Hii itawaua watu wa makengezaNa kwenye hela awekwe bavicha wambebe kabisa.
Ngoja niweke order China tuwatengenezee visanamu vya mwendazake mkapambe sebule zenu, najua hapo Lumumba nikitandaza mzigo lazima niuze wote.Ndio...na kwenye noti mojawapo wanamchi watafanya petition awepo....
Bavicha mna wivu na sanamu sasa, mlianza kuonea wivu maiti...dahWewe ni mjinga.kwani sanamu lina nini cha maana duniani hapa hadi watu walionee wivu.Tumia akili zako.
Kuna mtu kakuwahi tayari anapiga hela. Uko sloo usipoteze pesa...kamalisie mahari..Ngoja niweke order China tuwatengenezee visanamu vya mwendazake mkapambe sebule zenu, najua hapo Lumumba nikitandaza mzigo lazima niuze wote.
Asante kwa ufafanuzi. Ngoja niwatafutie nguvu niwafungukieWanajenga sanamu ya Magufuli kwa gharama ya sh 420m.
Haha washtue mataga wenzako mchangamkie deal hiyo nimewapa.Kuna mtu kakuwahi tayari anapiga hela. Uko sloo usipoteze pesa...kamalisie mahari..