Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba

Hata kina Gaddafi walijenga masanamu yao kwa gharama ila yaliishia kuvunjwa tena kwa fedheha kubwa tu.
Bwashee hiyo milioni 420 ni fedha ya V8 moja tu!

Sasa jiulize selikali ina 420 ngapi zinatembea barabarani?

Hata hivyo hako kahela ni kadogo sana!

Tuacheni wivu. Magufuli kafanya mambo mengi sana zaidi ya hako ka milioni 420.
 
Duu!!!!🙄🙄
 
Sijaelewa bado,Sanamu ya nani inajengwa?inajengwa wapi na nani kasema hayo?
 
Tunatumia milioni 420 kulijenga,billion 40 kulilinda halafu baada ya miaka 10 anaingia Lowassa madarakani anatumia bilioni 1.5 kulibomoa;hii wachumi wanaita hasara plus
 
acha uwaki arifu huyo Gadafi wa propaganda ndio alikua hivyo ila kiuhalisia hajawahi kua hivyo tatizo waarabu weusi mnalishwa Sana propaganda aisee huyu mpuuzi alivuna alichopanda unajua kwanini wa Libya walimsaliti?

Nilikutana na wazee wa Libya wawili nilivyowaambia jamaa alikua shujaa walitamani kunikata makonzi wanasema huyo jamaa alikua mbaguzi Sana hata huko Libya Kuna makabila alikua hawajali
watu wake ndio walienjoy keki
Ikafika kipindi wakaona Bora wakose wote tu

Halafu naona unajisahaulisha pale alipotuma wanajeshi na vifaa vita kumsaidia Idd Amin Dada atutandike vizuri
Hujapata machungu Kama ya ndugu zetu kule Kagera halafu Leo uje unambie alikua shujaa
What the hell!
 
Mimi naishauri Serikali ijenge pia kieneo hapo hapo jirani cha watu wenye wivu na wasiompenda Hayati JPM cha kujinyonga, ili hao machadema wakifika hapo hasira zimewafura, basi wasipate tabu, wanajitundika tu!!
 
si tulikibaliana sisi bado ni watu wa kutawaliwa tena, na soon mabeberu watakuja kututawala..ama nasema uongo ndugu zangu???
 
Lazima watu wapige , bro wangu kapewa tenda ya kusanifu mchoro , amekula mil 30 akanikatia mil 1.5 ..... Nasema hviiii hii sanamu ijengweeeee ma-mae
Mkuu rusha hata vocha, wewe naona umeonja matunda ya uhuru kidogo
 
This is ridiculous 😲😲,kwani Hili limepitishwa wap?tupe source ya habari yako mkuu😬😬
 
Totally hopeless
 
Matumizi mabaya ya fedha ya uma, Hiyo pesa ingelipa vijana wangapi walio kwenye ajira, Tan trade cjuh mmewaza nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…