Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba

Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba

Hii ndio n nchi yangu bana

Wanakijiji cha LIANGWENI songea vijijini hawana hata zahanati toka nchi ipate uhuru na zinahtajika milioni 120 tu kumalizia jengo lao na vifaa mwaka wa tano Sasa hakuna msaada

Lakn sanamu lisilo na tija linajengwa kwa milion 450
Kupanga ni kuchagua...
 
oHoo. Sasa mtatufanya wengine tushindwe kwenda huko 7/7 kwa sababu ya hilo lisanamu
 
Yaani ni kituko.......vijana wa kizazi kinachokuja wanaweza kuingiza mapato kupitia utalii kwenye sanamu hizi.
 
Kwa kweli bado una akili ya kitumwa. Hakuna kiongozi mzalendo kwa Libya kama Gaddafi. Uliza hali ya Libya kabla na baada ya Gaddafi kuuawa bila kusahau kabla ya kuchukua nchi View attachment 1842514

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Utumwa ni kama huo wako wakushabikia mtu badala ya mifumo na sheria za nchi.Hakuna kiongoz mzalendo anayeweza kutaka aongoze yeye tu alafu akatumia kodi vile anavyotaka na hataki mtu mwingine amuulize.aliyoyafanya gadafi libya yanaweza kufanywa na mlibya yoyote kwasababu nchi ilikua na rasilimali.na pamoja na kwamba wametetereka ila libya bado ipo na itakuja kukaa vizuri zaidi uko mbele.wewe endeleza ujinga wakuabudu mtu anayekufa.
 
Upuuzi mtupu. Wanaoongoza kwa kujengewa masanamu ni viojgozi madikteta.

Umapotengeneza sanamu ya kiongozi aliyeua biashara, akawabambikia kesi wafanyabiashara, akatapanya pesa kwa matumizi yasiyofuata sheria, lengo lako ni nini?

Hilo sanamu kuwekwa viwanja vya Sabasaba, maonesho ya biashara yatakuwa tayari yamekwishatiwa umajisi. Watu watakaokuwa wakihudhuria wajiandaa na mabalaa mbalimbali.

Namshukuru Mungu sina bank account NBC. Ningekuwa nayo, ningefunga mara moja. Siwezi kukubali pesa yangu itumike kutengeneza masanamu.
 
Hii ya lini tena jamani
Ni mpya ya leo. Kuna watu wajinga, wanafiki na nadhani ni hayawani pia, wameidhinisha sh 420m kujenga sanamu ya mwendazake viwanja vya maonesho ya kimataifa, Sabasaba.

Nchi hii imelaanika. Laana yetu ni pale wajinga na wanafiki walipoachwa kwenye mamlaka ya kuwaamlia wenye akili.
 
Mkuu kwani kuna nini?
Mm sijakuelewa kabisaa! Naona unalalamika tu. Serikali inajenga sanamu kwa ajili ya nani?

Naomba unijibu ili nianze kutapika nyongo.
Wanajenga sanamu ya Magufuli kwa gharama ya sh 420m.
 
Bajeti iongezwe.....
images (1).jpeg
 
Back
Top Bottom