Sare za traffic wa Uganda ni za ovyo Ukanda huu wa Afrika Mashariki

Kuna uwezekano mkubwa sana uzi huu umeanzishwa na baadhi ya watu wa Wakenya ilikuchafua taswira ya watanzania dhidi ya waganda kuwa tuna tumia mitandao yetu kuwakejeli. Lengo lao kutugombanisha biashara yetu ya bomba la mafuta likwame. Na baadhi ya wenzetu humu nchini wanaunga tera bila kujua uzandiki huu.
 
Ni kweli mkuu ni za ajabu lakini na ubaya unachangia mkuu 🤣 🤣 🤣
 
sijui kwa nini waganda wengi ni weusi tii
Mkuu haujui kama mstari wa IKWETA unapita huko?
eneo unapopita mstari wa IKWETA watu wake kuwa na rangi ya MKAA halikwepeki..
 
Eee Mungu nifundishe kunyamaza[emoji2960][emoji2960][emoji16]
Wakenya hawa wameisha wavuruga watanzania wenzetu kibaya watanzania hao wanajishebedua na kuvurugwa kwao!!!! Wamenikasirisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…