Sasa hivi viongozi WOTE wa juu ni waislamu, Zanzibar iingie OIC- by mzanzibari mkorofi.

Sasa hivi viongozi WOTE wa juu ni waislamu, Zanzibar iingie OIC- by mzanzibari mkorofi.

CHADEMA hawana umaarufu wala kura Zanzibar. Matamko kuhusu Zanzibar na OIC ni mkakati wa CHADEMA KUTAFUTA KUUNGWA MKONO, UMAARUFU NA KURA ZANZIBAR
 
Wazanzibari hawajihesabu kama Watanzania. Pia Zanzibar ni nchi ya Kiislamu. Ukielewa ukweli huo hutashangazwa na alichosema huyo bwana.
 
View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiilamu.

Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje mwislama.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.

Imenishangaza kwa kweli.
Safi sana. Mwana kulitaka.
 
Watu wa bara licha ya kuwa ya tunazo dini, ila kunautofauti mkubwa sana na watu wa Zanzibar

Mwislamu wa bara ameelimika zaidi ya mwislamu wa Zanzibar

Hii ni nini maana yake
Muislam wa Zanzibar hata awe kama mmatumbi anadai yeye ni mwarabu.
 
Naunga mkono hoja. Wakishindwa sasa hivi wasije kulia lia huko mbeleni sijui mfumo Kristo, sijui Rais kafiri anatukandamiza. Mnaye wa kwenu, mshindwe wenyewe tuuu...na mkishindwa msije kutupigia kelele huo mbeleni.
Upo sahihi hata mimi nawaunga mkono. Huu ni wakati wao wafanye fasta maana opportunity never come twice.
 
Wazanzibar wasipofanikisha mambo yao kwa kipindi hiki wasije wakalalamika tena kuwa wanakandamizwa na watanganyika.
'Timing'.

Subiri Samia apate tena nafasi nyingine uone itakavyo kuwa.
 
Masikini ya Mungu!
Mtu kama huyu ukute anashida na ada ya Shule au kaishia darasa la tatu.

Anateuliwa mtu wako unashangilia lkn huna unachofaidi hata ukitaka kuonana naye humpati.
 
Watu wa bara licha ya kuwa ya tunazo dini, ila kunautofauti mkubwa sana na watu wa Zanzibar

Mwislamu wa bara ameelimika zaidi ya mwislamu wa Zanzibar

Hii ni nini maana yake
Wazanzibar kile kitendo Cha kubinyabinya vichwa vya watoto wakiwa wachanga ili vikae mkao wa kuvaa baragashia vinawaathiri sana.
 
View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.

Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.

Imenishangaza kwa kweli.
Angesema mtu wa bara hivi angeuliwa
 
Back
Top Bottom