Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAO SI NI MAKAMANDA WA CHADEMA HAO,AU NIMEKOSEA??
Kobazi kinachowaathiri ni shule, ila Kobazi walioachana na Ilimu akhera wakaenda Shule wako poa sanaWavaa kobazi hawaja wahi kuwa na akili
Safi sana. Mwana kulitaka.View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiilamu.
Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje mwislama.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.
Imenishangaza kwa kweli.
Muislam wa Zanzibar hata awe kama mmatumbi anadai yeye ni mwarabu.Watu wa bara licha ya kuwa ya tunazo dini, ila kunautofauti mkubwa sana na watu wa Zanzibar
Mwislamu wa bara ameelimika zaidi ya mwislamu wa Zanzibar
Hii ni nini maana yake
Upo sahihi hata mimi nawaunga mkono. Huu ni wakati wao wafanye fasta maana opportunity never come twice.Naunga mkono hoja. Wakishindwa sasa hivi wasije kulia lia huko mbeleni sijui mfumo Kristo, sijui Rais kafiri anatukandamiza. Mnaye wa kwenu, mshindwe wenyewe tuuu...na mkishindwa msije kutupigia kelele huo mbeleni.
'Timing'.Wazanzibar wasipofanikisha mambo yao kwa kipindi hiki wasije wakalalamika tena kuwa wanakandamizwa na watanganyika.
Muislam wa Zanzibar hata awe kama mmatumbi anadai yeye ni mwarabu.
Ni sawa tu...inawezekana Uarabu ni zaidi ya rangi ya mtu. Tujaribu kuvumiliana.
Wazanzibar kile kitendo Cha kubinyabinya vichwa vya watoto wakiwa wachanga ili vikae mkao wa kuvaa baragashia vinawaathiri sana.Watu wa bara licha ya kuwa ya tunazo dini, ila kunautofauti mkubwa sana na watu wa Zanzibar
Mwislamu wa bara ameelimika zaidi ya mwislamu wa Zanzibar
Hii ni nini maana yake
Angesema mtu wa bara hivi angeuliwaView attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.
Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.
Imenishangaza kwa kweli.
Mbona wakiristo wapo.ktk Jumuia ya VATICAN?Watu kama hawa wanasababisha waislamu waonekane wapumbavu
Juu wapi?Mohamed Said
Njoo huku Eti wanasema viongozi wote wa juu ni waislamu
HAO SI NDIYO MAKAMANDA WENU CHADEMA??MNALALAMIKA NINI SASAMtu mzima lakini amekosa kabisa hekima na busara ya kujua namna ya kuzungumza mbele ya kadamnasi, huu udini utatufikisha wapi?