Sasa hivi viongozi WOTE wa juu ni waislamu, Zanzibar iingie OIC- by mzanzibari mkorofi.

Sasa hivi viongozi WOTE wa juu ni waislamu, Zanzibar iingie OIC- by mzanzibari mkorofi.

Mbona wakiristo wapo.ktk Jumuia ya VATICAN?

Kwamba hao wakiristo waliojiunga huko Vatican wamejiunga kwa mgongo wa Nchi? Kwamba Tanzania imejiunga na Vatican kama umoja wa nchi za kikristo?
 
Kwamba vipngozi wa serikali wakishakua wa dini yako basi mambo ya dini yako ndio yafanyike. Africa tulinyimwa uwezo wa kufikiri na dini ndio ikatuzika mazima😭😭😭
 
View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.

Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.

Imenishangaza kwa kweli.
Kama vile Malawi eeh, nchi ya "Kiislam kamili". Si ndiyo?
 
Mimi mvaa majuba mzaliwa wa makunduchi Zanzibar nanyamaza maana baba yangu mruguru yarabi salama
 
View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.

Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.

Imenishangaza kwa kweli.
BY CHADEMA- mbona untaka kuwanyima sifa na stahiki yao mkuu
 
View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.

Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.

Imenishangaza kwa kweli.
Makamu wa Rais na Spika wa Bunge si Waislamu, hapo kachapia.
 
ana point. zanziber ikiona oic kuna faida ijiunge tu, chamsingi wasijesababisha iron dromes zikaelekezwa kwetu
 
Haya sio mambo ya kuyachekelea
 
View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.

Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.

Imenishangaza kwa kweli.
Mkuu kwani aliyosema kuhusu safu ya uongozi nchini ni uongo??? Anahaki ya kutoa maoni yake, hajalazimisha mtu!!!
Mimi mvaa majuba mzaliwa wa makunduchi Zanzibar nanyamaza maana baba yangu mruguru yarabi salama
🤣 🤣 🤣
 
View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.

Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.

Imenishangaza kwa kweli.
Mzee yuko sawa kabisa, pengine hapo ndipo Muungano huu usioeleweka tutauvunja rasmi. 😀
 
Back
Top Bottom