King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 1,834
- 3,456
Mimi sina chamaHAO SI NDIYO MAKAMANDA WENU CHADEMA??MNALALAMIKA NINI SASA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sina chamaHAO SI NDIYO MAKAMANDA WENU CHADEMA??MNALALAMIKA NINI SASA
Mbona wakiristo wapo.ktk Jumuia ya VATICAN?
Vatican kwani nchi?Kwamba hao wakiristo waliojiunga huko Vatican wamejiunga kwa mgongo wa Nchi? Kwamba Tanzania imejiunga na Vatican kama umoja wa nchi za kikristo?
Kama vile Malawi eeh, nchi ya "Kiislam kamili". Si ndiyo?View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.
Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.
Imenishangaza kwa kweli.
Vatican kwani nchi?
BY CHADEMA- mbona untaka kuwanyima sifa na stahiki yao mkuuView attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.
Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.
Imenishangaza kwa kweli.
Kwani Chadema ndio imewaweka madarakani hao waislamu?BY CHADEMA- mbona untaka kuwanyima sifa na stahiki yao mkuu
Ndiyo mpango mzima, yaliyokuwa yanaongelewa kwa kificho sasa hadharani.Kama vile Malawi eeh, nchi ya "Kiislam kamili". Si ndiyo?
Hawa CCM ni bure kabisaKwani Chadema ndio imewaweka madarakani hao waislamu?
Makamu wa Rais na Spika wa Bunge si Waislamu, hapo kachapia.View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.
Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.
Imenishangaza kwa kweli.
Waislamu gani kati ya 2.3 biliioni ulimwenguni unao wazungumzia.Watu kama hawa wanasababisha waislamu waonekane wapumbavu
umejuaje?Makamu wa Rais na Spika wa Bunge si Waislamu, hapo kachapia.
Mkuu kwani aliyosema kuhusu safu ya uongozi nchini ni uongo??? Anahaki ya kutoa maoni yake, hajalazimisha mtu!!!View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.
Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.
Imenishangaza kwa kweli.
🤣 🤣 🤣Mimi mvaa majuba mzaliwa wa makunduchi Zanzibar nanyamaza maana baba yangu mruguru yarabi salama
Mzee yuko sawa kabisa, pengine hapo ndipo Muungano huu usioeleweka tutauvunja rasmi. 😀View attachment 3113007
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.
Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje muislamu.
Jamaa anasema tupige hapo kabla hajaingia rais mkristo.
Imenishangaza kwa kweli.