Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Nayajua hayo makanisa. Sometime yanakuwa yamezungushiwa mabati. Wako wachache, lakini wanafosi kutumia spikaWalau umenielewa anko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nayajua hayo makanisa. Sometime yanakuwa yamezungushiwa mabati. Wako wachache, lakini wanafosi kutumia spikaWalau umenielewa anko
Acheni wake za watu vijanaHapana mwambie akuonyeshe chat mi nnazo sijazifuta bado😂😂😂
Dini haibadili tabia ya mtu. Mfano wakati Yakobo ana transfer Grace toka kwake kwenda kwa Joseph, alijua kabisa mwanae ana tatizo la kutotunza siri na yeye hakumshauri kuhusu hilo.Brother wanawake sio wakuwaamini hasa wenye kujifanya wanadini au wanamisismamo
yale maswala ungekuwa bado unayamwaga hapa unadhani hata hili tungelipitia mkuuAsee.
Mitego ni kwangu wewe kwann umuangalie na uruhusu ubongo wako utafsiri Ile ni mitego🤣🤣🤣🤣 bro nakuheshim sito mtafuna ila apunguze mitego
Mbona Unapita mulemule uncle 😃Nayajua hayo makanisa. Sometime yanakuwa yamezungushiwa mabati. Wako wachache, lakini wanafosi kutumia spika
Usiwe serious bn 😂😂mm ni pro KATAA NDOAMchungaji umefeli😀
Misikiti apana hili nakupinga , mifumo yao ni migumu na imebana mno kufanya ushenzi kirahisi.Ni makanisa yoote na misikiti hio dhambi haibagui
Kuna wasabato wao unapewa mpka uwe msabato.Mungu atusaidie tu kwakweli
Ngoja uzeeke uumwe ukae kitandani uone kama kuna kiumbe atakuja kukuhudumia. Pona yako uwe na pesa ili uweze kuajiri nurseUsiwe serious bn 😂😂mm ni pro KATAA NDOA
Kizazi hichi cha kiwingu na p2 unafikiri kuna kuzeeka basi🤔Ngoja uzeeke uumwe ukae kitandani uone kama kuna kiumbe atakuja kukuhudumia. Pona yako uwe na pesa ili uweze kuajiri nurse
Duuuh.. Dunia inaenda Kasi Sana aiseeKuna wasabato wao unapewa mpka uwe msabato.
Usinitishie 🧐🧐nkiugua ntakua seliani paleNgoja uzeeke uumwe ukae kitandani uone kama kuna kiumbe atakuja kukuhudumia. Pona yako uwe na pesa ili uweze kuajiri nurse
Story za madrasa mpaka kulawiti watoto wa kiume hujawahi kusikia???Misikiti apana hili nakupinga , mifumo yao ni migumu na imebana mno kufanya ushenzi kirahisi.
Sio kidogoDuuuh.. Dunia inaenda Kasi Sana aisee
Basi ni hatari pia.Story za madrasa mpaka kulawiti watoto wa kiume hujawahi kusikia???
Wacha tuendelee kuona itakavyokuaSio kidogo
Tz ndio hii hii anko. Yaliyopo mitaani hayatofautiani sana 😅😅😅Mbona Unapita mulemule uncle 😃
Ya nyege madogo yanavumilika,kakutukania mama yako mbele za watoto.Kabisaaa tena mnabisha unapata nyege usiku unanyimwa unaamua kujihudumia mwenyewe alaf asbh unaingia kwenye ibada jaman