Hahahaha kumbe akili unazo bhana unafanyaga kusudi tu..Ili mikipata BAN muwe mnakenua mliko?
Hahah Naona uko ndani ya mjengo mpya mzee.Mkuu wapi aseee.... tukapulize kwanza.. achana na habari za kina ndugai.. tupambanie makombe yetu
kazi na dawa, mwaka huu 2022 ni mineso tu.. mama hana time na wahuni.. 😂😂😂Hahah Naona uko ndani ya mjengo mpya mzee.
Ndio kazi anazosemea mama uokote mafurushi ya makopo kwa kila kilo sh.400! Hizi ndio ajira wanazojisifia nazo kina nanii au zile za kushinda kiwandani kulipwa 5,000. Per day!Wengine sisi NI madereva ukitaka reseni si chini ya laki 1 na nusu ndo upate reseni.
Haya Basi tufungulieni milango tutoke tukatafute hata nchi jirani ukienda kuomba passport maswali kibao Kama upo polisi na bila laki 2 haupati passport.
Sasa mnataka tufanye kazi gani ?
Au ndo ile ya kuokota makopo mtaani ndo anasema kazi kibao?
Acha mikwara mbuzi wewe! Acheni kumsingizia hawezi kusema kitu kama hicho. Haiwezekani!Kwahiyo East Africa Television wamedukua Twitter Account yake Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Mkuu? Acha Bange / Bangi basi sawa?
Nipo serious katika hili na Utani hapa sitaki usije Kunikwaza nikakupa Dozi zangu.
😄😄😄 wahuni tunaona shega tu,tunamkaribisha kitaa aje ajiajiri.kazi Ni nyingi Sana Ni uvivu wao tu.kazi na dawa, mwaka huu 2022 ni mineso tu.. mama hana time na wahuni.. 😂😂😂
Makamu wa rais angelikuwa kassim na hapo hapo kukaimu nafasi ya marehemu na kuwa rais wa JMT ucngethubutu kusema "Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo"
😅😅😅😅😅😅Ndiyo tatizo la wabongo,,,,ukishajiona umesoma unaona aibu kufanya mishe zingine,,,miaka yote iyo unasubiri uvishwe suti na tai+mokaz!!!!! Eti natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda 😁 acheni kuchaguwa kaxi,,,,,hata kusafisha vyoo piga tuu mzehe.
😁😁😁😁 wabongo hatuna uvivu kwenye mitelezo tu.. alafu hii ni nchi huru tusipanganiane 😂😂😄😄😄 wahuni tunaona shega tu,tunamkaribisha kitaa aje ajiajiri.kazi Ni nyingi Sana Ni uvivu wao tu.
Ni rahisi sana kuongea mkuu,,,easy said than done!Kwani akiendesha bodaboda mtaani kwake kuna shida gani.tatizo la vijana was tz ndo hilo .angeanza na boda moja .who knows in 2 yrs time angekuwa na boda 20
Maana ni msomi angestudy hyo industry, akope mahali etc
NomaKuna graduate Ana watoto 3 namfaham, Ana advanced diploma in accounting, Na other course, alipoteza Ajira baada ya kampuni alipokuwa anafanya Kazi kufilisika.
Kapambana Kwa miaka 3 toka 2017, akaniambia brother, mambo magumu, pita pita kumwangalia shemeji yako, natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda.
Kwa kweli laiti angalijua Hakuna fursa bila mahangaiko mengi Sana Na kujali asingethubutu kutukana wadau wanaohangaika!
Tangaza hata kesho kuna kazi ya kupanga perves airport malipo elfu 10 kwa lisaa kazi ya masaa 10 per day.Vijana wenye degree ni highly recommended.Hata wazanzibar piaa wengi ni wavivu wa kazi,,,,inshort waafrika hususani watanzania wengi siyo watu wa kazi,,washazoea kukaa nyumbani
Mama vipi anaupiga mwingi sana eehNchi hii inafikirisha sana.
Rais anapopewa madaraka anakuwa kipofu na haoni tabu za watu wake, anageuka msimangaji.
Ninampa pole jinsi anavyolikoroga kila siku.
Nilitofautiana na jiwe mara nyingi lakini sasa tuko chaka zito na mbele ni giza/kiza totoro.
Na kwa mpalange asiguse kabisa aweke mbali na watoto.ikitiki vaa ndom 3
Mkuu wewe kazi ya buku 2 kwa siku unafanya? Kula kwako nauli kwako...Kwa upande mwingine,,,wabongo wengi wanachaguwa kazi, na wengine co watu wa kazi, ni watu wa kukaa nyumbani na kutegemea wazazi wawahudumie.
Hiyo ni lugha ya kishamba tu, aupige mwingi anuona hata huo wa kupiga?Mama vipi anaupiga mwingi sana eeh
Ndio kazi anazosemea mama uokote mafurushi ya makopo kwa kila kilo sh.400! Hizi ndio ajira wanazojisifia nazo kina nanii au zile za kushinda kiwandani kulipwa 5,000. Per day!