Sasa nimeamini kuwa akutukanae hakuchagulii Tusi, Asante sana Rais Samia....!!!

Bahati nzuri ...tukija kwenye uhalisia..

Na yeye ni wa huko huko pamoja na huyu mwenzie...

Yaani wote ni wa huku huku ..mrima..

Sasa sijui ndio mtajua Kama hamjui au ndio hamjui Kama hamjui ..au mnajua Kama hamjui...

Mwisho wa maji ni tope wakuu...

Uvumilivu na subra ni muhimu kwa sasa..

Maana jiwe mlimwona shetani ..sasa huyu mnaanza kumuona ni Jini ...wakati ndio Kwanza kaja ki roboti roboti....

Rimoti ipo huku bara...

Hangaya sio schwaziniga..lkn ananesa Kama Jeti-lii...
 
Ndio kazi anazosemea mama uokote mafurushi ya makopo kwa kila kilo sh.400! Hizi ndio ajira wanazojisifia nazo kina nanii au zile za kushinda kiwandani kulipwa 5,000. Per day!
 
Kwahiyo East Africa Television wamedukua Twitter Account yake Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Mkuu? Acha Bange / Bangi basi sawa?

Nipo serious katika hili na Utani hapa sitaki usije Kunikwaza nikakupa Dozi zangu.
Acha mikwara mbuzi wewe! Acheni kumsingizia hawezi kusema kitu kama hicho. Haiwezekani!
 
Inshort uchaguzi urudiwe tu watu waingie kupiga kura maisha yaendelee.
Makamu wa rais angelikuwa kassim na hapo hapo kukaimu nafasi ya marehemu na kuwa rais wa JMT ucngethubutu kusema "Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo"
 
😅😅😅😅😅😅
 
Noma
Kweli
 
Hata wazanzibar piaa wengi ni wavivu wa kazi,,,,inshort waafrika hususani watanzania wengi siyo watu wa kazi,,washazoea kukaa nyumbani
Tangaza hata kesho kuna kazi ya kupanga perves airport malipo elfu 10 kwa lisaa kazi ya masaa 10 per day.Vijana wenye degree ni highly recommended.

Uone nyomi la majobless itakayokuzungukia hapo halafu useme vijana ni wavivu kwenye kazi.
 
Mama vipi anaupiga mwingi sana eeh
 
Kwa upande mwingine,,,wabongo wengi wanachaguwa kazi, na wengine co watu wa kazi, ni watu wa kukaa nyumbani na kutegemea wazazi wawahudumie.
Mkuu wewe kazi ya buku 2 kwa siku unafanya? Kula kwako nauli kwako...

Tusiongee tu kama watu ambao hatuna akili! Kuna familia na watoto wa kulisha na kusomesha hayo utayafanya kwa buku 3 per day?
 
Kazungumzia chawa kwani we chawa wa mwanasiasa yeyeto,kama siyo chawa hayakuhusu
 
Kitambulisho Cha uraia na kupigia kura BURE.
Ila reseni na passport "HELA"
Ndio kazi anazosemea mama uokote mafurushi ya makopo kwa kila kilo sh.400! Hizi ndio ajira wanazojisifia nazo kina nanii au zile za kushinda kiwandani kulipwa 5,000. Per day!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…