SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Ng'ombe mwenyewe akikoswa koswa kuchinjwa anachizika
 
..sativa hatukani mtu au watu ovyo, kama hupendi au una allegy ya kusemwa au kutukanwa, t s simple ondoka kwenye nafasi inayokuletea kutukanwa!
mchochee na kumpandisha mori na mihemko huyo muungwana, na umwambie aongeze bidii zaidi ya kuyaporomosha yale mazito mazito zaid, tena kwa mpangilio maalumu kama makombora ya Al-qas, ikiwa yanamsaidia kuongeza kipato chake..

akumbuke tu kuporomosha matusi sio ujasiri, ni ujinga 🐒
 
aisee na huku upo! basi naomba kuthibitisha kuwa Lukas mshamba ni chawa mkuu aliyefikiwa level ya utekaji! Mtafuteni huyu mshamba ale kichapo haraka!
 
..hatuishi kwa sababu ya kipato, ndio maana umekubali kuwa mpumbavu sababu ya kipato? hakuna anayemchochea, amefanya hayo mara kwa mara, tunashangaa wewe kuumizwa na matusi badala ya kuumizwa kwanza na waliomfanyia hicho kinachomfanya atukane!
 
Alichokifanya dogo Sativa sio kizuri kimaadili yetu sema wewe hauko fair.
Watu wanatekwa na kuuliwa hujawai kuandika andiko refu kukemea kama hili. Punguzeni uchawa vijana fanyeni kazi kwa maendeleo yenu ili musiwe wanafiki.
Kama unaona kuna jambo sijaandika.basi na wewe waweza kuandika ili nasi tusome na kutoa maoni yetu.
 
Ninyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
Ameshawataja waliosababisha aathirike kisaikolojia lkn bado mnajitoa ufahamu. Ataendelea kutema nyongo hadi pale mtakapowakamata na kuwafikisha mbele ya sheria wabaya/watesi wake.
 
Halafu wajinga jinga wanaunga mkono matusi haya.namshangaa Robert mtibeli anaunga mkono ujinga huu
Hakuna anaeunga mkono matusi , ila siku kijana alipo tekwa na kuumizwa ambalo ni jambo baya zaidi ya matusi, haukuonyesha ishara yoyote ya kukemea , ndio maana waungwana wanaona kama kuna chembechembe za unafki 😅
 
Unalizaje swali wakati unakiri kuwa hujasoma? Ndio akili yako inakutuma kufanya hivyo? Ndio mijadala inavyofanyika hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…