SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Hajitambui kabisa yule jamaa.ndio maana anajiropokea tu chochote kile kinachomjia Mdomoni mwake
Na nyie ma CCM ndo wapumbavu. Huyo sativa kulikuwa hakuna haja ya kuhangaika nàe hadi kàtavi, mngemfukia pale mto ruvu, leo añgeshasahaulika. Sasa mmemwaçhia anatukana wazazi wake.
 
Pia mshawahi ata kujiuliza iyo SATIVA ina maana gani?
Mimi binafsi sishangai angejiita INDICA apo ninge doubt kwa anayoyafanya,
Niseme tu watekaji mliingia kwenye 18 za mtoto wa kona mbaya acha awanyooshe na msijaribu kufanya ujinga tena maana mtazidi kupoteza trust yenu kwa wananchi.
Kijana hana power yoyote ya kuwadhibiti watesi wake acha basi awavuruge matumbo akili ziwakae sawa.
Wewe nae mtoa mada punguza mihemuko hayo matusi ya SATIVA hatukani kwenye DM yako kama hupendezwi nayo acha kufuatilia nyendo zake na wanaomsapoti hutoyaona tena hayo matusi ..

Nawasilisha✍🏾
 
Mbaga jr.,haya yanayotokea huenda ni kuelekea ama kwenye hatua ya kukata tamaa ama tayari hatua ya shida ya akili,tukubali au hata kama tukikataa yapo mambo mengi ya kuvunja moyo,yakuhuzunisha ,yajukasirisha na yakuchosha yanafanywa kwa makusudi na kimfumo haya yasiwe tu sababu ya kupoteza udhibiti wa amani yetu siku moja.Hali hii ikiachwa kuendelea tusishange mnaosema wanakosa adabu wakaenea kama moto wa nyikani.
 
Huyo kijana ni mtu mzima.Usihusishe wazazi wake wala malezi.Mtu mkamilifu akichukizwa au kuumizwa aachwe alie au atoe sumu mwilini mwake.Wewe kachome mbalagha ule Luca!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…