SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Anakwambia yeye alishakufa Katavi, hakuna anachokiogopa tena.

Kila mtu ana uhuru wa kufanya anachojiskia hasa pale nafsi inapofika kikomo cha uvumilivu.
 
Tukiweza kuwathibiti watekaji haya yote hatutayasikia!!


Unaacha mlango wazi ili akiingia mwizi umdhibiti!!? Pumbavu
 
Wanaharibiwa na kina Mbowe.
 
Kutukana ni kosa la jinai. Kukosolewa sio kutukanwa. Hata katiba haijawahi toa uhuru wa kutukana. Hao mnaowapa vichwa ndo kila mara wanajikuta matatizoni huku nyie mkiwa mmetulia na familia zenu.
 
muerevu umejaa mihemko na ghadhabu tu 🀣

tukana kwa maneno, ukijibiwa matusi yako kwa vitendo, huna haya ya kutia huruma na kusumbua wadau.

hayo ni matokeo ya utovu wa nidhamu πŸ’
 
Kutukana ni kosa la jinai. Kukosolewa sio kutukanwa. Hata katiba haijawahi toa uhuru wa kutukana. Hao mnaowapa vichwa ndo kila mara wanajikuta matatizoni huku nyie mkiwa mmetulia na familia zenu.
Kutukana kunatokea baada ya jinai inayotokana na kukosolewa..tena jinai ya kuteka na kuua sabab amekosoa serikali, serikali gn haikosolewi..? waliomo ndani ya serikali ni malaika? Watekaji na wauaji wametajwa kwa majina lkn hata kuhojiwa tu hakuna, kwa hiyo kuna watu wako juu ya sheria? Yupo Mch. Mbeya analalamika mwanae kuuawa na Said masoro former DG wa tiss lkn serikali inajifanya haisikii..kwa hali ya namna hiya unataka mtu afanye nini, wewe unaona jinai anavyotukana lkn huona jinai zilizosababisha atoe matusi..!
 
muerevu umejaa mihemko na ghadhabu tu 🀣

tukana kwa maneno, ukijibiwa matusi yako kwa vitendo, huna haya ya kutia huruma na kusumbua wadau.

hayo ni matokeo ya utovu wa nidhamu πŸ’
Punda wewe..ambia wanao hayo maneno sababu unawalisha! achana na mambo ya watu..when the day comes God takes care not you! endelea kula hayo makombo unayotupiwa na hao unawatetea, no one will remain in this world!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…