Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #261
NdioWakiitwa wenye akili timamu na wewe unaenda? Seriously!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioWakiitwa wenye akili timamu na wewe unaenda? Seriously!!
Umemaliza kila kituNi weweseke na nini sasa? Kati ya mimi na wewe nani anaweweseka? Wewe ambaye ukimuona raisi tu machozi yanakububujika. Kuna kuweweseka zaidi ya huko.
Wewe siyo IGP wala siyo chochote ni CHAWA MPUMBAVU TU uliyekomaa na kukosa AKILI unawezaje kulipangia cha kufanya jeshi la polisi?
Punguza upumbavu
Kuweka matusi yake ni sawa na kueneza matusi yake.Sasa Luka ndio umeshindwa hata kuweka kapicha.akitukana huko mtandaoni kaka.
Umepatikana....Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sikushangai mana hata msukuma nae anajitapa kuwa ana akili kuliko waliosoma. Na ma Prof. Nao wanaokotwa majalalaniNdio
Jinga kabisa unafurahia ndugu zetu kuishi kwenye umasikini wa kutupwa huku wachache wakiiba mali za umma na kuishi maisha ya anasa sisi tushangili. Shetani usiye na mkiaWewe ndiye umelaaniwa
Asubiri waitwe wenye laana atoke huyu ibilisiWakiitwa wenye akili timamu na wewe unaenda? Seriously!!
Umaskini wako utaondolewa kwa juhudi za mikono yako kwa kuchapa kazi kwa bidii, juhudi,maarifa na kujituma sana.na siyo kupiga umbeya wako hapa na kwenye vibaraza vya majirani.Jinga kabisa unafurahia ndugu zetu kuishi kwenye umasikini wa kutupwa huku wachache wakiiba mali za umma na kuishi maisha ya anasa sisi tushangili. Shetani usiye na mkia
Ati naye ni mpiga mbinja wa ccm. Kazi ipo ndo mana wanatumia polisi kukamata wapinzani tena wakati wa kampeni.Umemaliza kila kitu
We ni mwendawazimu, tunalipa kodi matokeo yake zinatafunwa na wachache matumizi makubwa na ya anasa, huwezi kujadili sababu unalaana ya milele unawaza uteuzi ili uibe mali za umma upate utajiri wa haraka. Shame on you wewe shetaniUmaskini wako utaondolewa kwa juhudi za mikono yako kwa kuchapa kazi kwa bidii, juhudi,maarifa na kujituma sana.na siyo kupiga umbeya wako hapa na kwenye vibaraza vya majirani.
Huyu shetani ni PS wa UWT Wilaya ya Chunya anajionaga mjanja kumbe ni kobe fulani.Ati naye ni mpiga mbinja wa ccm. Kazi ipo ndo mana wanatumia polisi kukamata wapinzani tena wakati wa kampeni.
Wapumbavu hawa
Mwambie akifika mjinia akatembelee mbweni A akitoka hapo aende BUNJU A kisha aje hapa abweke. Kama hao watu wawili wanafanana makazi yao. Na je wote wanaishi nchi moja????Jinga kabisa unafurahia ndugu zetu kuishi kwenye umasikini wa kutupwa huku wachache wakiiba mali za umma na kuishi maisha ya anasa sisi tushangili. Shetani usiye na mkia
Pale ambapo dhuluma au udhalimu unapokuwa mkubwa, haki kukosekana au uonevu unapovuka mipaka, basi wale Watu wanaodhulumiwa huwa wanajihisi kwamba hawana cha kupoteza na hatimaye huamua kujitoa mhanga ili kupinga dhuluma wanazofanyiwa. Inapofikia hatua hii, Basi hakuna tena mtu katika jamii husika ambaye yuko salama, hatari inakuwa ipo kwa Watu wote na mahali popote pale.Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyu shetani hata nauli ya kufika dar anayo? labda aombe lift kwenye lori la viaziMwambie akifika mjinia akatembelee mbweni A akitoka hapo aende BUNJU A kisha aje hapa abweke. Kama hao watu wawili wanafanana makazi yao. Na je wote wanaishi nchi moja????
Kumbe mtu mwenyewe PS kutoka magogoni hapo!!!Huyu shetani ni PS wa UWT Wilaya ya Chunya anajionaga mjanja kumbe ni kobe fulani.
Wewe ndo udhibitiwe kwa uchawa wako mbwa weweNdugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hahaha kumbe anaishi huko majoring ndo mana akili ndogo hiviHuyu shetani hata nauli ya kufika dar anayo? labda aombe lift kwenye lori la viazi
Sasa kuweka.uzi hapa hauoni kuwa umehamasisha sisi tukayasome matusi yake?. Kwanini usingeripoti kimya kimya kwenye vyombo husika kuliko kuuleta uzi hapa.Kuweka matusi yake ni sawa na kueneza matusi yake.
Azijibu kwa akili zipi? Huyo bwege ameachiwa akili kiduuuuchu tu za kusifia ujinga na kwendea chooni tu si zaidi ya hapo.izo hoja mbona huzijibu?