Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
ccm watakuacha ulie mwisho wa siku watakupa handkerchief ujifute machozi na kamasi!Hivi hakuna sehemu tupange siku tukutane iwe ni kulia tu.....tulieeee tupoe. Yani ukifika hilo eneo ni kuanza kulia tu kwa makelele
Hawana hofu tena!