Saudi Arabia yapiga marufuku adhana, Watoto kuswali misikitini pamoja na sauti za juu

Saudi Arabia yapiga marufuku adhana, Watoto kuswali misikitini pamoja na sauti za juu

Anhaa! Kumbe unaweza utenganisha uislam na Saudia Arabia, sawa nimekuelewa.

Tuachane na historia ya uislam maana nitakupeleka mbali sana.

Tuanzie hapa.

Nguzo kuu tano za uislam ni zipi ?
🤣🤣🤣

1.shahada ( kukubali Mungu ni mmoja)

2.kusimamisha swala.
3.kutoa zakaa
4.kufunga mwezi wa Ramadhani.

5.kwenda kuhiji makka ( kwa aliye na uwezo)
 
Nauliza tena lile lile swali. Je, unaweza utenganisha uislam na Saudia Arabia ?

Nasubiri jibu lako.
Ridhika na Mimi ntakupa maswali ukijibu naslimu hapa maana maaskofu wako dunia nzima wameshindwa kujibu.
 
🤣🤣🤣

1.shahada ( kukubali Mungu ni mmoja)

2.kusimamisha swala.
3.kutoa zakaa
4.kufunga mwezi wa Ramadhani.

5.kwenda kuhiji makka ( kwa aliye na uwezo)
Kipi kilicho kuchekesha kabla hatuja fika mbali sana ?
 
HAPANA.
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza.

Sichukii uislam kama akili yako inavyokutuma, naishi na kufanya kazi na waislam na hata msikitini naingia kuswali na kwa taarifa yako mimi sipelekwi na mapokeo aliki yangu ilishafunguka kutokana na hizi dini, mwisho nipo makini sana.

Hiyo ndiyo taarifa ya kweli kutoka Saudia siyo Tanganyika wala Zanzibar wewe upo huko kilitonganya village unaumia ukidhani sheria hiyo itatumika hadi huko kijijini kwenu.
Kasome post #54
 
Haya wenye dini yao washabadili sheria tuwaskilize hawa wafia dini za kuletewa wataweza kuacha kutusumbua asubuhi na maneno yao mara shuka lako litakua sanda yako manina wananikera kipindi badi mdogo nilikua na manati yangu wakianza ujinga wao wa saa kumi na moja nalenga paa mpka siku moja akasema kwenye kipaza huyo mshenzi namsomea dua wee nikaona msala nikaacha ila ni kero
 
Mbona barua ya huyo waziri haijapiga marufuku ADHANA?
Wapi wamesema wanapiga ban ya ADHANA?
Hata kusema sauti ya juu ya Adhana mbona taarifa imesema kuhusu misikiti midogo midogo tu. Taarifa imeeleza wazi WITH EXCEPTIONAL OF MECCA and MADINA au nini maana ya kuleta taarifa hii?
 
Saudia hawajui dini sisi wamatumbi ndio tunafahamu kuran, saudia imetekwa na marekani alisikika mvaa kobaz mmoja baada ya kushiba kiporo.
Geti linafungwa asubuhi wakati farasi kishatoka tangu Alfajiri …Allah Kareem
 
Fika huko mbali maana swali lako nishalijua unataka kuuliza nguzo ya kuhij ili urelate na Saudi Arabia. Uliza chochote !
Huwa sipendi mtu anaye jichekesha kama mpumbavu katika mazungumzo yaliyo serious huwa ana ondoa dhana nzima ya userious wa hayo mazungumzo.
 
Huwa sipendi mtu anaye jichekesha kama mpumbavu katika mazungumzo yaliyo serious huwa ana ondoa dhana nzima ya userious wa hayo mazungumzo.
Defensive mechanism achana na kuchekesha maana sio cha maana unauliza maswali ya kitoto..ungekuwa unajielewa usingeuliza maswali ya kitoto
 
Viongozi wako maana najua wewe kichwa hamna kitu ukijibu naslimu hapa...Maana mokiti kakimbia yule masai
Jitahidi kuficha ujinga wako, ni bora unge uliza hata dini au imani ya mtu unaye jadiliana naye kuliko kutoa hilo hitimisho la mimi kuwa chini ya uongozi wa maaskofu.

Uwezo wako wa kifikra hudhani kila anaye kuuliza maswali tatanishi kuhusu imani yako basi ni mkristo dunia imekwisha hama kwenye huo ujinga jitahidi nawe uhame.
 
Wengi hata hamjui kuwa Saudia Arabia inaoongozwa taratibu za kifalme na kwamba Kuna baadhi ya sheria za kiislam TU ndio hutumika...
Kweli ?.....Saudia ni taifa la kiislamu, hata huo ufalme hutawala kwa sheria za kiislamu
 
Defensive mechanism achana na kuchekesha maana sio cha maana unauliza maswali ya kitoto..ungekuwa unajielewa usingeuliza maswali ya kitoto
Kwako kucheka katika mazungumzo hakuna maana yoyote lakini kwangu ni tafsiri ya dharau.

Katika hayo maswali niliyo kuuliza unaona kuna mahali nime jichekesha kama punguani ?
 
Jitahidi kuficha ujinga wako, ni bora unge uliza hata dini au imani ya mtu unaye jadiliana naye kuliko kutoa hilo hitimisho la mimi kuwa chini ya uongozi wa maaskofu.

Uwezo wako wa kifikra hudhani kila anaye kuuliza maswali tatanishi kuhusu imani yako basi ni mkristo dunia imekwisha hama kwenye huo ujinga jitahidi nawe uhame.
Na wewe nae unasapot ujinga.

Hauna jipya ulizani uislamu ndo umeubeba kichwani mwako?

Kaa pembeni umejibiwa nikakuuliza unaleta maneno mengi pita kushoto!
 
Kwako kucheka katika mazungumzo hakuna maana yoyote lakini kwangu ni tafsiri ya dharau.

Katika hayo maswali niliyo kuuliza unaona kuna mahali nime jichekesha kama punguani ?
Nimekudharau ndio !! Unauliza vip maswali ya kitoto?
 
Back
Top Bottom