Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Wewe nae!!!Kwani 2pac na Big naniwakwanza kusepeshwa?2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.
Kama mpwa aliuwawa inawezekana nia ni kumziba mdomo asije akaongeaYeye anadai siye aliyefyatua risasi Bali alimpa mpwa yake bunduki ndiye aliyepurua risasi,mpwa wake aliuawa miaka miwili baada ya kumua Tupac
Umeona bichwa la hii habari limesemaje?Yeye anadai siye aliyefyatua risasi Bali alimpa mpwa yake bunduki ndiye aliyepurua risasi,mpwa wake aliuawa miaka miwili baada ya kumua Tupac
2pac ndo alianza kupigwa risasi, ndo akafata BIG2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.
Netanyahu anawabong’olesha wavaa ushungi 🤣🤣Mbona amekataa hapo mwisho anasema "it wasn't me".
Unadhan muuaji wa kuaminika atauwawa kinyemela tena na shalobalo tu kama Didy? Kumbuka baada ya mauaji muuaji alikua chini ya uangalizi wa Askari miaka yote angemuulia wapi kama si9 kutaka kuumbuka kabla ya muda.P. Didy nae hana akili, kwanini asinge muua huyo jamaa baada ya kumaliza dili?
Hapo ndipo alipo bugi.
Hivi huyu kaka aliwahi bahatika kuwa na mtoto.
Huu ni mpango wa kuwamaliza blacks wote marekani kutoka kwenye umaarufu...
No more Whitney...
No more Michael...
No more R Kelly...
Soon Diddy is gonna be no more..
No more will come and come for blacks..
Ubaguzi wa rangi ni mkubwa Sanaa.....
Shtukenii.
SanaP didy mshenzi sana
HakikaDamu ya mtu haiendi bure....atalipa hapa hapa
Alitangulia kufa 2pac inamaana alifufuka kuja kumuua Big? Ujuaji mwingi kwa usilolijua2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.