Hilo gari anatakiwa alipitishe kwenye madimbwi muda huu wa mvua ili kuona je halitapiga shotYeye mwenyewe utakuta anasukuma range
huyo kiongozi ni mpuuzi tu, afadhali masoud kipanya amethubutu kuunda hilo gari ila yeye yupo huko juu hata ubunifu wa njiti za meno hana
Nakwambia hiviiMaana gari lazima ipitie stage nyingi kabla haijaanza uzwa.
Kigezo cha mtu kununua gari ya umeme ni designe bora, utumiaji nishati bora, huwezi nunua gari ambayo kimuonekano ni mbaaaaya.
Gari inatembea km 60 tu, tena imewekewa battery kubwa sana, wakati kuna pikipiki zinatembea hadi km 120 zinauzwa 1mil KKOO
Wabongo roho mbaya mnoo.Wivu tu aisee
Weee hatadhubutu π si umeona kwenye hio clip anaendesha tena akiwa ndani ya jengoHilo gari anatakiwa alipitishe kwenye madimbwi muda huu wa mvua ili kuona je halitapiga shot
Anatakiwa aliendeshe angalau hadi Mwanza au Kigoma akiwa na watafiti ili wagundue shida ikoje.
Tesla imepitia stages nyingi na kila siku wanafanya updates
Nyie woote ni kama huyo afisa aliyekuwa anamponda Kipanya Yaani inasikitisha watanzania tumejaa fikra za kurudishana nyuma.Badala ya kumbeza toa maoni ya ku improve zaidi. Eti ile ndege ya yule mvumbuzi wa Mbeya ni ya kukaa walevi wakiwa wanakunywa!! Mmejaa kejeli badala ya ku appreciate uvumbuzi na kuja na hoja za improvement. Kweli inauma saanaa.Watz acheni roho mbayaMambo mengine inabidi ucheke mkuu hakuna namna ujanja ujanja mwingi alafu mambo yasio na muendelezo. Sawa kaunga gari basi kuwe na tija kwemye hilo jambo unakuta mtu anavimba tu kaunda gari ila hakuna faida yoyote anayoileta kwa nchi
Yap hili ni wazo zuriJamaa ni mbunifu ila maswala ya magari aachie wengine bora angekuwa na design nzuri kimuonekano
Ikiuma chomoa. Maskini mnapenda kudanganywa danganywa tuNyie woote ni kama huyo afisa aliyekuwa anamponda Kipanya Yaani inasikitisha watanzania tumejaa fikra za kurudishana nyuma.Badala ya kumbeza toa maoni ya ku improve zaidi. Eti ile ndege ya yule mvumbuzi wa Mbeya ni ya kukaa walevi wakiwa wanakunywa!! Mmejaa kejeli badala ya ku appreciate uvumbuzi na kuja na hoja za improvement. Kweli inauma saanaa.Watz acheni roho mbaya
Ngoja huyo boss alione lile walilotengeneza udsm [emoji1]Yap hili ni wazo zuri
Yeye kama mchoraji angejikita huko napo sio rahisi kihivyo
Mwambie amchore huyo kiongozi katunizSauti kutoka Kikao kilichohusisha wawakilishi kutoka wizara ya Uwekezaji, Viwanda na biashara na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kikijadili mustakabali na maendeleo ya Tanzania ya Viwanda.
Hivi kama watu wenye mawazo ya aini hii ndio wamepewa mamlaka ya kusimamia masuala ya ukuzaji uzalishaji wa vitu nchini kuna mahali tutaenda kweli?
Aisee yani muhuni kashiba zake wali kaamua afanye assembling... Na anajiita kagundua...Hiyo karakana yake ya kutengenezea gari umeiona lakn bruh π haina hata mtambo mmoja mafundi wana spana tu
Body marcopolo BrszilSauti kutoka Kikao kilichohusisha wawakilishi kutoka wizara ya Uwekezaji, Viwanda na biashara na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kikijadili mustakabali na maendeleo ya Tanzania ya Viwanda.
Hivi kama watu wenye mawazo ya aini hii ndio wamepewa mamlaka ya kusimamia masuala ya ukuzaji uzalishaji wa vitu nchini kuna mahali tutaenda kweli?
wanashindwa kuziita tu locally ungainly ungainly assembling items Magari na hizo wanang'ang'ania kuwa wavumbuziUkiona ndugu yako anaunganisha unganisha madude na kusema kagundua yafuatayo.
β Katapila.
β Helicopter.
β Kituo Cha kurushwa matangazo ya redio.
β Gari.
Kaa naye mbali zimeshalipuka tayari.