Sehemu za kazi ni sehemu hatari sana ingawa tunapokea chochote kitu

Sehemu za kazi ni sehemu hatari sana ingawa tunapokea chochote kitu

Tatizo lenu ni kutaka undugu na watu mliojuana nao ukubwani.
Story kibao, sijui kwenye sherehe zao umo hata kama hamjuani vizuri, kwenye majanga yao umo, unajikua msosho sana.

Ni ngumu kutenganisha usosho na umbea, umbea na unafiki, unafiki na na chuki.
Naamini umenipata vema mkuu. Wkt mwingine unakuwa sehemu mzinga lazima nyuki wakufikie
 
Kwenye taasisi yetu Nilikuwa best performing staff of the year_ 2023. Kwa Sasa Nimetengwa na watu wote na nafanyiwa vimbwanga vya Kila namna Hadi ofisi imekuwa chungu kwangu Hadi natamani niache kazi.

Ajabu wao ndiyo walinipigia kura za kupewa hiyo nafasi
Walikupigia wakijua hutapata au hustahili,Sasa uliwashangaza kupata
Rizki au mafanikio ni mwanzo wa chuki.
Usiache kazi,piga kazi,Ila kuwa mwangalifu wasikujue kiundani,ishi nao kwa akili.
 
Waungwana,

Maeneo tunayojidai ni maeneo ya kazi au shughuli zetu tunazotenda kila siku ni sehemu ambazo zina michakato kiutendaji na fani na maudhui mbalimbali katika maisha yetu ya kila siku.

Ni sehemu tunamoonesha utendaji kazi ili kiuweza kumshawishi boss akupe bonus kama ni kiwandani na kadhalika lakini kama ni hospitalini boss hakai hapo, kama ni shuleni boss hakai hapo sana sana hapo wamejaa machawa na watu ambao wanaumbea asikuambie mtu.

Ni sehemu za kutendea haki, tuishi lakini ni sehemu za kuogopa sana, bianadam unaofanya nao kazi waogope sana. Usiwadharau wala usijipendekeze kwao, kikubwa ni kaa mbali sana viumbe anayeitwa mfanyakazi mwenzio!
Pole sana Mama Edina
Umepatwa?
 
Kosa kubwa nililofanya ni kwenye story zangu niliwaeleza background ya maisha yangu. Naona wanatumia taarifa hizo kunikosesha amani
Pole mkuu.
Ila usirudie tena hilo kosa ikiwa utaenda kufanya kazi sehemu nyingine na stop kuendelea kutoa taarifa zako tena
Moja ya kosa kubwa maeneo ya kazi ni watu kukujua undani wako.
Always keep your life private na ikibidi kutoa taarifa toa ambazo hazitakuwa na madhara.
INFORMATION IS POWER SO KEEP IT.!
 
Kwenye taasisi yetu Nilikuwa best performing staff of the year_ 2023. Kwa Sasa Nimetengwa na watu wote na nafanyiwa vimbwanga vya Kila namna Hadi ofisi imekuwa chungu kwangu Hadi natamani niache kazi.

Ajabu wao ndiyo walinipigia kura za kupewa hiyo nafasi
Mimi kuna bossi wangu, tena nimemzidi hadi umri.
Kuna fursa ilijitokeza akaniambia niombe, kumbe na yeye aliomba. Kakosa yeye nimechaguliwa mimi! Ananipangia kazi si mchezo, hadi tarehe yakupaa pipa amenipangia kazi.
nafaa kukumbusha kumbusha kila saa.
Ulaya kuzuri 😜
 
Naamini umenipata vema mkuu. Wkt mwingine unakuwa sehemu mzinga lazima nyuki wakufikie
Ukiwa normal, no one will judge you, ila wengi wetu hutaka kua above all.

Kupendeza sana awe yeye, mzuri awe yeye, mfanyakazi bora awe yeye, apendwae na bosi awe yeye. Hapo lazima uchukiwe tu, coz kuna vitu utafanya ili uprove wenzio sio bora kama wewe, na hapo ndo chuki, husda na ubinafsi hutokea.
Na ukitaka moja ya hayo juu lazima ukubali kuchukiwa tu.
 
Waungwana,

Maeneo tunayojidai ni maeneo ya kazi au shughuli zetu tunazotenda kila siku ni sehemu ambazo zina michakato kiutendaji na fani na maudhui mbalimbali katika maisha yetu ya kila siku.

Ni sehemu tunamoonesha utendaji kazi ili kiuweza kumshawishi boss akupe bonus kama ni kiwandani na kadhalika lakini kama ni hospitalini boss hakai hapo, kama ni shuleni boss hakai hapo sana sana hapo wamejaa machawa na watu ambao wanaumbea asikuambie mtu.

Ni sehemu za kutendea haki, tuishi lakini ni sehemu za kuogopa sana, bianadam unaofanya nao kazi waogope sana. Usiwadharau wala usijipendekeze kwao, kikubwa ni kaa mbali sana viumbe anayeitwa mfanyakazi mwenzio!
Mm kweny kituo changu cha kazi

Naona watu wote wanafanana
Machawa
 
Hujanielewa
Yan
Wanazitumiaj hzo background info zako kama fimbo.
Ya kukuadhibu ww
Moja ya mambo niliwaeleza Niliwaambia wazazi wote walifariki nilisomeshwa na wasamaria wema na nikafanikiwa kuwa kwenye top 10 of form four students kwa mwaka wetu. Sasa hiyo story imekuwa ikijirudia hadi nakwazika yaani
 
Back
Top Bottom