lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Wachaga ni watu poa sana kuifanya nao kazi Sina ukabila ilani kwl.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini umenipata vema mkuu. Wkt mwingine unakuwa sehemu mzinga lazima nyuki wakufikieTatizo lenu ni kutaka undugu na watu mliojuana nao ukubwani.
Story kibao, sijui kwenye sherehe zao umo hata kama hamjuani vizuri, kwenye majanga yao umo, unajikua msosho sana.
Ni ngumu kutenganisha usosho na umbea, umbea na unafiki, unafiki na na chuki.
Walikupigia wakijua hutapata au hustahili,Sasa uliwashangaza kupataKwenye taasisi yetu Nilikuwa best performing staff of the year_ 2023. Kwa Sasa Nimetengwa na watu wote na nafanyiwa vimbwanga vya Kila namna Hadi ofisi imekuwa chungu kwangu Hadi natamani niache kazi.
Ajabu wao ndiyo walinipigia kura za kupewa hiyo nafasi
Pole sana Mama EdinaWaungwana,
Maeneo tunayojidai ni maeneo ya kazi au shughuli zetu tunazotenda kila siku ni sehemu ambazo zina michakato kiutendaji na fani na maudhui mbalimbali katika maisha yetu ya kila siku.
Ni sehemu tunamoonesha utendaji kazi ili kiuweza kumshawishi boss akupe bonus kama ni kiwandani na kadhalika lakini kama ni hospitalini boss hakai hapo, kama ni shuleni boss hakai hapo sana sana hapo wamejaa machawa na watu ambao wanaumbea asikuambie mtu.
Ni sehemu za kutendea haki, tuishi lakini ni sehemu za kuogopa sana, bianadam unaofanya nao kazi waogope sana. Usiwadharau wala usijipendekeze kwao, kikubwa ni kaa mbali sana viumbe anayeitwa mfanyakazi mwenzio!
Pole mkuu.Kosa kubwa nililofanya ni kwenye story zangu niliwaeleza background ya maisha yangu. Naona wanatumia taarifa hizo kunikosesha amani
Mimi kuna bossi wangu, tena nimemzidi hadi umri.Kwenye taasisi yetu Nilikuwa best performing staff of the year_ 2023. Kwa Sasa Nimetengwa na watu wote na nafanyiwa vimbwanga vya Kila namna Hadi ofisi imekuwa chungu kwangu Hadi natamani niache kazi.
Ajabu wao ndiyo walinipigia kura za kupewa hiyo nafasi
Hebu..elezea hili kidogoKosa kubwa nililofanya ni kwenye story zangu niliwaeleza background ya maisha yangu. Naona wanatumia taarifa hizo kunikosesha amani
Weka ushuhuda wa wakurya!!Usiombe ufanye kazi na wahaya,wajita,wakurya.hawajamaa hawapendi kusikia mafanikio yako wanapenda kusikia umekwama.
Ko unataka nirudie kosa?🙄Hebu..elezea hili kidogo
Nahisi..kuna kitu...nahitaji kujifunza hapa
Uliowataja hapo umewaonea,sio hao tuko wengi sana wa namna hiyo,Kuna muda unatamani kama Kila mfanyakazi angekuwa na ofisi yakeUsiombe ufanye kazi na wahaya,wajita,wakurya.hawajamaa hawapendi kusikia mafanikio yako wanapenda kusikia umekwama.
Ukiwa normal, no one will judge you, ila wengi wetu hutaka kua above all.Naamini umenipata vema mkuu. Wkt mwingine unakuwa sehemu mzinga lazima nyuki wakufikie
HujanielewaKo unataka nirudie kosa?[emoji849]
Mm kweny kituo changu cha kaziWaungwana,
Maeneo tunayojidai ni maeneo ya kazi au shughuli zetu tunazotenda kila siku ni sehemu ambazo zina michakato kiutendaji na fani na maudhui mbalimbali katika maisha yetu ya kila siku.
Ni sehemu tunamoonesha utendaji kazi ili kiuweza kumshawishi boss akupe bonus kama ni kiwandani na kadhalika lakini kama ni hospitalini boss hakai hapo, kama ni shuleni boss hakai hapo sana sana hapo wamejaa machawa na watu ambao wanaumbea asikuambie mtu.
Ni sehemu za kutendea haki, tuishi lakini ni sehemu za kuogopa sana, bianadam unaofanya nao kazi waogope sana. Usiwadharau wala usijipendekeze kwao, kikubwa ni kaa mbali sana viumbe anayeitwa mfanyakazi mwenzio!
Moja ya mambo niliwaeleza Niliwaambia wazazi wote walifariki nilisomeshwa na wasamaria wema na nikafanikiwa kuwa kwenye top 10 of form four students kwa mwaka wetu. Sasa hiyo story imekuwa ikijirudia hadi nakwazika yaaniHujanielewa
Yan
Wanazitumiaj hzo background info zako kama fimbo.
Ya kukuadhibu ww