Sehemu za kazi ni sehemu hatari sana ingawa tunapokea chochote kitu

Sehemu za kazi ni sehemu hatari sana ingawa tunapokea chochote kitu

Kwenye taasisi yetu Nilikuwa best performing staff of the year_ 2023. Kwa Sasa Nimetengwa na watu wote na nafanyiwa vimbwanga vya Kila namna Hadi ofisi imekuwa chungu kwangu Hadi natamani niache kazi.

Ajabu wao ndiyo walinipigia kura za kupewa hiyo certificate of award. Kwa ufupi napitia mambo mazito.
Hongera. Ndio maana ofisi kwetu hamna hayo mambo ya best performer maana tunaamini katika team work. Any accomplishment inakuwa regarded as team achievement.
 
Mimi kuna bossi wangu, tena nimemzidi hadi umri.
Kuna fursa ilijitokeza akaniambia niombe, kumbe na yeye aliomba. Kakosa yeye nimechaguliwa mimi! Ananipangia kazi si mchezo, hadi tarehe yakupaa pipa amenipangia kazi.
nafaa kukumbusha kumbusha kila saa.
Ulaya kuzuri [emoji12]
Mambele kutamu sana mkuu haswa ukiwa unaenda na kurudi!
 
Kwenye taasisi yetu Nilikuwa best performing staff of the year_ 2023. Kwa Sasa Nimetengwa na watu wote na nafanyiwa vimbwanga vya Kila namna Hadi ofisi imekuwa chungu kwangu Hadi natamani niache kazi.

Ajabu wao ndiyo walinipigia kura za kupewa hiyo certificate of award. Kwa ufupi napitia mambo mazito.
Nilijua ni Mimi tu
 
Sure.....
Kuna ka-position flan nilikua nako kwa muda wa miezi kadhaa ,kukawa na tufitna na majungu ya hapa na pale .....

Nikaomba kupumzika ,nikakubaliwa na Boss nikae pembeni kutokana na changamoto flan flan binafsi........

Vita ya BAADA ya kuwa out of hako ka-position imekua kubwa kuliko kabla ya kuwa na wakati nikiwa ............🤣🤣🤣🙌

Naunga mkono hoja kwa 100%. Achana nao binadamu achana nao kabisa naomba sana Mwenyezi Mungu niwe na kifua mambo yangu nisiropoke ropoke 🤲 maana najua wapi nilikosea.
 
Sure.....
Kuna ka-position flan nilikua nako kwa muda wa miezi kadhaa ,kukawa na tufitna na majungu ya hapa na pale .....

Nikaomba kupumzika ,nikakubaliwa na Boss nikae pembeni kutokana na changamoto flan flan binafsi........

Vita ya BAADA ya kuwa out of hako ka-position imekua kubwa kuliko kabla ya kuwa na wakati nikiwa ............🤣🤣🤣🙌

Naunga mkono hoja kwa 100%. Achana nao binadamu achana nao kabisa naomba sana Mwenyezi Mungu niwe na kifua mambo yangu nisiropoke ropoke 🤲 maana najua wapi nilikosea.
Daaah, pole mkuu. This life
 
Back
Top Bottom