Theironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 16, 2024
- 336
- 903
Wanakuonea husda,so wanatumia karata ya uyatima na kusomeshwa na wasamaria wema,kukuumiza kisaikologia.Moja ya mambo niliwaeleza Niliwaambia wazazi wote walifariki nilisomeshwa na wasamaria wema na nikafanikiwa kuwa kwenye top 10 of form four students kwa mwaka wetu. Sasa hiyo story imekuwa ikijirudia hadi nakwazika yaani
Kua uyaoneSio maeneo yote
ya kazi ni hatari.
We ni juha hujui chochote kaa kimyaKua uyaone
Yani mambo mvurugano tupu!
Kwenye hiyo 300M ya Consultant kulikuwa na ugali wa watu ndio maana uliona hayo majunguUkiogopa majungu na husda huwezi kuajiriwa labda uache kazi ukajiajiri kwenye biashara zako n.k
Kuna Ofisi niliwahi kufanya kazi miaka fulani ya nyuma
Kutokana na fani yangu, niliwahi kulazimika kuandika Dokezo la Siku 48 hivi na Timu yangu kwenda kufanya kazi Fulani hivi ambayo kama tungemwajiri Consultancy basi Taasisi yetu ingetumia more than 300M kumlipa.
Basi yalipigwa majungu pale kuanzia Wahudumu hadi Maafisa wengine wa idara nyingine
Kwa hali ile niliyoiona, nilipambana baada ya Mwaka mmoja niliomba kuhama ile Taasisi.
Majungu/Husda ni sehemu ya Maisha ya kuajiriwa
Kiufupi sana, kazini hakuna rafikiWaungwana,
Maeneo tunayojidai ni maeneo ya kazi au shughuli zetu tunazotenda kila siku ni sehemu ambazo zina michakato kiutendaji na fani na maudhui mbalimbali katika maisha yetu ya kila siku.
Ni sehemu tunamoonesha utendaji kazi ili kiuweza kumshawishi boss akupe bonus kama ni kiwandani na kadhalika lakini kama ni hospitalini boss hakai hapo, kama ni shuleni boss hakai hapo sana sana hapo wamejaa machawa na watu ambao wanaumbea asikuambie mtu.
Ni sehemu za kutendea haki, tuishi lakini ni sehemu za kuogopa sana, bianadam unaofanya nao kazi waogope sana. Usiwadharau wala usijipendekeze kwao, kikubwa ni kaa mbali sana viumbe anayeitwa mfanyakazi mwenzio!
Mkuu mm siwez kufanya Kaz chini ya micro-manage. Mana tulikuwa tunafanya connect na watu tofauti.. na njia ya mawasiliano ni simu. Unampigia sim mtu siku nzima haipatikan siku ya pili unaandika report ya uliowasilian nao wote. Wengine hawapatikan, kesho anapigiwa anapatikana unaonekana hujamtafuta na inaibua mzozo.Mkuu nimesoma mara nyingi ila sijaelewa. Naomba fafanua kwanini umeacha kazi?
Wanaume wengi wa Maofisini wana pigo za kike kikeMkuu mm siwez kufanya Kaz chini ya micro-manage. Mana tulikuwa tunafanya connect na watu tofauti.. na njia ya mawasiliano ni simu. Unampigia sim mtu siku nzima haipatikan siku ya pili unaandika report ya uliowasilian nao wote. Wengine hawapatikan, kesho anapigiwa anapatikana unaonekana hujamtafuta na inaibua mzozo.
Kuna watu maofisn kama madem tu. Kuna kijamaa ndo kikawa kinaleta maneno maneno mara ohh mkataba wako utaisha tu. Mm mkuu nafanya kazi masaa ya kazi tu, hata kama workload ya siku haijaisha muda ukiisha nasepa. Habari za kwa nn yondoke na kazi za Jan hujamaliza usiniulize. Nimewaashia popo na nikasepa bila kuwadai hata mia
Hahaha.........sasa naelewa, huenda ilikuwa hivyoKwenye hiyo 300M ya Consultant kulikuwa na ugali wa watu ndio maana uliona hayo majungu
Fear of tomorrow.... Mnaambizana kuwa mitaani kugumu! Usiache kazi kabla hujapata Kaz mana sijui kufanyaje... Kupata kazi nzuri ukiwa katika Kaz mbaya ni ngumu mana inakubana muda wako. Kama una ka mtaj ka kuzugia unajilipua tuWakati mwingine huwa tunashindwa kuthubutu kufanya maamuzi kama hayo
Wahaya ndo wanaongoza kwa tz hii.wakifuatiwa wajaluo....kwny list Yako no doubtUsiombe ufanye kazi na wahaya,wajita,wakurya.hawajamaa hawapendi kusikia mafanikio yako wanapenda kusikia umekwama.
Ww kwel unawajuaUsiombe ufanye kazi na wahaya,wajita,wakurya.hawajamaa hawapendi kusikia mafanikio yako wanapenda kusikia umekwama.
Nilipitia hayo hadi leo sitaki kuajiriwa tenaWaungwana,
Maeneo tunayojidai ni maeneo ya kazi au shughuli zetu tunazotenda kila siku ni sehemu ambazo zina michakato kiutendaji na fani na maudhui mbalimbali katika maisha yetu ya kila siku.
Ni sehemu tunamoonesha utendaji kazi ili kiuweza kumshawishi boss akupe bonus kama ni kiwandani na kadhalika lakini kama ni hospitalini boss hakai hapo, kama ni shuleni boss hakai hapo sana sana hapo wamejaa machawa na watu ambao wanaumbea asikuambie mtu.
Ni sehemu za kutendea haki, tuishi lakini ni sehemu za kuogopa sana, bianadam unaofanya nao kazi waogope sana. Usiwadharau wala usijipendekeze kwao, kikubwa ni kaa mbali sana viumbe anayeitwa mfanyakazi mwenzio!
KabisaBinaadamu yeyote unayekutana naye kwenye maisha yako ni lazima ujue jinsi ya kuishi nae kwa mipaka. Hautopata usumbufu
MulemuleWahaya ndo wanaongoza kwa tz hii.wakifuatiwa wajaluo....kwny list Yako no doubt
Wahaya ni watu hatari mno maeneo ya kazi.Wahaya ndo wanaongoza kwa tz hii.wakifuatiwa wajaluo....kwny list Yako no doubt
Chuki
Umesahau uchawi, ulozi na ushirikinaWivu
Fitna
Majungu
vyote vinapatikana, kwa bei ya jumla na reja reja