Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Hongera. Ndio maana ofisi kwetu hamna hayo mambo ya best performer maana tunaamini katika team work. Any accomplishment inakuwa regarded as team achievement.Kwenye taasisi yetu Nilikuwa best performing staff of the year_ 2023. Kwa Sasa Nimetengwa na watu wote na nafanyiwa vimbwanga vya Kila namna Hadi ofisi imekuwa chungu kwangu Hadi natamani niache kazi.
Ajabu wao ndiyo walinipigia kura za kupewa hiyo certificate of award. Kwa ufupi napitia mambo mazito.
Yaani hapa ofisini kwetu hakuna mwenye time na mtu, fanya kazi rudi home, hakuna muda wa umbea hapa.Chuki
Wivu
Fitna
Majungu
vyote vinapatikana, kwa bei ya jumla na reja reja
📌🔨Hongera. Ndio maana ofisi kwetu hamna hayo mambo ya best performer maana tunaamini katika team work. Any accomplishment inakuwa regarded as team achievement.
Walikupandisha ili wakuchukie😄😄😄😄Ajabu wao ndiyo walinipigia kura za kupewa hiyo certificate of award. Kwa ufupi napitia mambo mazito.
Ni swala la ajabu sanaWalikupandisha ili wakuchukie😄😄😄😄
Mambele kutamu sana mkuu haswa ukiwa unaenda na kurudi!Mimi kuna bossi wangu, tena nimemzidi hadi umri.
Kuna fursa ilijitokeza akaniambia niombe, kumbe na yeye aliomba. Kakosa yeye nimechaguliwa mimi! Ananipangia kazi si mchezo, hadi tarehe yakupaa pipa amenipangia kazi.
nafaa kukumbusha kumbusha kila saa.
Ulaya kuzuri [emoji12]
Nilijua ni Mimi tuKwenye taasisi yetu Nilikuwa best performing staff of the year_ 2023. Kwa Sasa Nimetengwa na watu wote na nafanyiwa vimbwanga vya Kila namna Hadi ofisi imekuwa chungu kwangu Hadi natamani niache kazi.
Ajabu wao ndiyo walinipigia kura za kupewa hiyo certificate of award. Kwa ufupi napitia mambo mazito.
Hii safii Sana!!Hongera. Ndio maana ofisi kwetu hamna hayo mambo ya best performer maana tunaamini katika team work. Any accomplishment inakuwa regarded as team achievement.
ndio niniOfisi yenu hapo ground flow Left wing nilidhani inaendeshwa kimataifa bwana
kwangu wanaongea kiswahili ila sasa ukiwa mchaga akufavor kuliko wengineHii ilinikuta miaka hiyoo bandarini kwenye mambo ya clearing watu wanaongea kiRombo ofisini....aah nilikonda....
Wakurya, kama kuna ka ukweli.....ngoja niendelee ku observe. Maama hawa hawa watatu sitowatumia kuhitimisha.Usiombe ufanye kazi na wahaya,wajita,wakurya.hawajamaa hawapendi kusikia mafanikio yako wanapenda kusikia umekwama.
Leo mchana.Piga kazi kiasi usijitese usijifanye mjinga kuwa busy na mambo yako
hasa wakipata taarifa zako sahihi na kukufahamu kiundaniWanadamu ni viumbe hatari sana, wanaweza wakakuangamiza bila sababu yoyote ile.
Bora angekausha tu [emoji28][emoji28][emoji1]sijapata point hapa
Sahihi KabisaMulemule
Daaah, pole mkuu. This lifeSure.....
Kuna ka-position flan nilikua nako kwa muda wa miezi kadhaa ,kukawa na tufitna na majungu ya hapa na pale .....
Nikaomba kupumzika ,nikakubaliwa na Boss nikae pembeni kutokana na changamoto flan flan binafsi........
Vita ya BAADA ya kuwa out of hako ka-position imekua kubwa kuliko kabla ya kuwa na wakati nikiwa ............🤣🤣🤣🙌
Naunga mkono hoja kwa 100%. Achana nao binadamu achana nao kabisa naomba sana Mwenyezi Mungu niwe na kifua mambo yangu nisiropoke ropoke 🤲 maana najua wapi nilikosea.
Ongezea na wakina Mwa.Usiombe ufanye kazi na wahaya,wajita,wakurya.hawajamaa hawapendi kusikia mafanikio yako wanapenda kusikia umekwama.