Washatengeneza Mazuzu Dunia Nzima Hasa Wanawake. Kwahiyo Hamna ShidaEeh sijaelewa naangalia hii event hapa hivi ile ndio iphone 14 au wanatania [emoji15]
Ndiyo nini please. Tupe mrejesho wa functionality ulizozisema
Elikitironiki simu kadieSim ndo nini kwanza tupe elimu mkuu.
Ila samsung wapo vizuri sana mzee. Sema iPhone wamelenga kama kundi flani hivi la wadauHapana haina 8k bali ina 4k ila Samsung ndio wana 8k.
Hizi zitahongwa kama njugu 🤠🤠Hapana ni kutokana na mauzo ya devices zilizopita kuwa madogo. Imagine iphone 14 inaenda kwa 700$
Ni kweli mkuu kuna watu 128GB hawataki hata kuzisikia ni 256GB kwenda mbele14 pro Max ni $1099 hiyo 1300 Labda yenye storage kubwa zaidi km 256gb au zaidi
Kuna watu wana matumizi makubwa ya simuNi kweli mkuu kuna watu 128GB hawataki hata kuzisikia ni 256GB kwenda mbele
Zipo aina mbili mbili, huenda ndio ikawa sababuInawezekanaje 14 Plus iwe na 6.7 inch, huku 14 Pro ina 6.1 inch?😡
Usd 700 umezitolea wapi mkuu?, ninachojua ni kwanzia usd 999-1099, kwa Pro na Pro maxHapana ni kutokana na mauzo ya devices zilizopita kuwa madogo. Imagine iphone 14 inaenda kwa 700$
Natumia s20 ultra
Nikaiweka hapo n watu wachache sana wanaoweza itambua
Hizo a10 na hao uliowataja wana tofaut gani na infinix?
Refurbish hizo hasa za kule stendi ya karibu na kitengo,OG inaanzaje kulipuka kwa mfano!Hizi sim sindio zile zinalipuka mfukoni