Mbona umepewa ushauri mzuri Mkuu!.. kalime uuze buku jero acha kupanicWe ni mjinga sana nimeona ukiongea huu ujinga kwenye nyuzi nyingi nimeona nikujibu sio kila mtu lazima awe mkulima hizo kazi nyingine zitafanywa na nani unajua maana ya division of labour and specialization
Kwa kukusidia a modern agriculture inafanywa na watu wchache sana sababu ni machine extensive hiko kilimo Cha kufanywa na watu wengi kama wewe unavyo advocate ni Cha kizamani
Sasa kila mtu akilima nani atamuuzia mwenziwe?Mbona umepewa ushauri mzuri Mkuu!.. kalime uuze buku jero acha kupanic
Uzuri ni kwamba watakao kiona cha moto ni ukoo wako ambao ni masikini wa kutupwaKwani mimi nataka Samia afanyaje sasa [emoji38][emoji38]..
Hayo mapovu kamtolee bibi yako Ili akutumie maharage na mahindi..
Mtanyooka ngoja ifike wa 12 kuelekea wa 2 mtanunua elfu 5 tuone mtakachofanya fala wewe..
Mumevimba matumbo kama kitimoto kwa jasho la wakulima,this time mtajua hamjui..
Kuzuia export ya mazao ya kilimo kama njia ya kutatua tatizo la mfumko wa bei, ni njia primitive ya kutatua tatizo. Ni njia zinazotumika na watu waliokosa maarifa.. Zinatakiwa kutafutwa njia ambazo ni sustainable.Wafunge mipaka na iundwe sheria ngumu atakayekamatwa akisafirisha nafaka nje apigwe kesi ya uhujumu uchumi
Aliyeweka hiyo ban amekosa maarifa. Hiyo ban itasababisha kutopata ongezeko sustainable la uzalishaji mazao ya kilimo.Wameshaweka ban ya kuuza mazao nje ya nchi na hapo unasemaje
Unatakiwa ufanye kazi unayoona inakulipa. Hakuna anayekulazimisha ufanye kiwandani, kwenye utalii au serikalini. Unakoona wewe kutakulipa vizuri, nenda kafanye huko.Sio kila mtu lazima awe mkulima Kuna viwanda vinahitaji wafanyakazi, serekalin wanahitaji wafanyakazi, utalii unahitaji wafanyakazi ukitaka kila mtu hiko kitu hakitakaa kitokee na inaonyesha ulivyokua na upeo mdogo
Hata bidhaa za viwandan vina Bei elekezi sio tu kwenye kilimo ni karibia sekta zote Wana Bei elekezi
Kwasababu huna uhakika wa Kula kesho.Sijui ni makuzi tu.
Katika kukua kwangu, sijawai ona home vyakula vikinunuliwa kwa kilo, stoo ilikua inakua na kila kitu,mahindi,mpunga,maharage ,alizeti n.k ,nje mifugo na bustani za mboga . hii tabia nimeibeba mpaka kwenye familia yangu, sinunui vitu reja reja, nalima au kununua kwa wingi nafunga mwaka.
Sijisifii, ila nunue vitu in bulk kipindi cha mavuno
.
Kama ban unaamini kuwa ndiyo suluhisho, suburia uuziwe mchele kwa sh 500, na wala usilalamike ten. Ban ya uuzaji mazao ya kilimo nje kama njia ya kudhibiti mfumko wa bei, ni uwendawazimu, na mbinu kama hizo zinafanywa na viongozi waliokosa maarifa.Ban imeshawekwa tayari kama ulikua hujui
Kila mtu ashinde mechi zake kilimo ni Biashara wakulima pia hawatoi huduma wanafanya biashara kama wengine tuuWe ni mjinga sana nimeona ukiongea huu ujinga kwenye nyuzi nyingi nimeona nikujibu sio kila mtu lazima awe mkulima hizo kazi nyingine zitafanywa na nani unajua maana ya division of labour and specialization
Kwa kukusidia a modern agriculture inafanywa na watu wchache sana sababu ni machine extensive hiko kilimo Cha kufanywa na watu wengi kama wewe unavyo advocate ni Cha kizamani
Unaokoteza maneno ya hapa na pale.Watu kila mtu awe mkulima hizo kazi nyingine watafanya nani tunashida sana kwenye kufikiri
Mfano developed countries watu wanaojihusisha na kilimo hawafiki hata asilimia 3 lakin ni nadra sana kusikia Kuna njaa, Ila Tanzania na nchi nyingi za afrika majority watu almost 30% ya watu wanashiriki kwenye kilimo lakin ni kawaida kusikia Kuna njaa
Mtu unalima heka mbili au moja alafu unajiweka kwenye kundi la wakulima si vichekesho alafu unataka ufanikiwe kupitia kilimo watu waache utani
Kalime wewe uwauzie wengine. Kwani wewe umelazimishwa usilime. Kafanye unachokiona kina tija.Sasa kila mtu akilima nani atamuuzia mwenziwe?
Tuache majibu yasiyo na tija..
Yaani ni sawa na wale wanaosema kuikosoa serikali ni kulalamika, kwamba tuache kulalamika tutafute hela au tuhame nchi.
Hii si sawa.
Hatuwezi kuwa wote wakulima au wafanyabiashara! Tunategemeana
Siee tunalima wenyewe tunaanzaje kukiona? Zibeni mipaka hata hiki mnachopata sasa mtanunua kilo 10,000Uzuri ni kwamba watakao kiona cha moto ni ukoo wako ambao ni masikini wa kutupwa
Shida ya watanzania wengi wanaangalia leo tu wanachoamini maisha ni kula tu chakula kinavyopanda bei wao hawaoni kama ni fursa ya kuzalisha zaidi wanabaki wakilalama tu. Kitu kingine watu wapo siriazi Sana na kilimo wanawekeza mitaji yao shambani halafu anatokea mwanasiasa mmoja anampangia mkulima mahali pakuuza mazaoTafuteni pesa wazee, hata kilo 1 ya mchele ikiuzwa elfu 10 kama pesa unazo wala uwezi lalamika.
Kwahiyo bei zipande tu ili watu waone fursa? Kwanini zisipande kwenye mazao ya biashara? Umeshiba wewe hukumbuki hali halisi ya watu maskini na yanayowazunguka.Shida ya watanzania wengi wanaangalia leo tu wanachoamini maisha ni kula tu chakula kinavyopanda bei wao hawaoni kama ni fursa ya kuzalisha zaidi wanabaki wakilalama tu. Kitu kingine watu wapo siriazi Sana na kilimo wanawekeza mitaji yao shambani halafu anatokea mwanasiasa mmoja anampangia mkulima mahali pakuuza mazao