Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

Wapuuzi nyie,kodi hamlipi mnashindana kupeleka pesa kwa manabii matapeli,na mafungu ya kumi huko makanisani kutajirisha wwavivu wa kazi hao

Tofautisha Kodi ya serikali ambayo ni lazima kisheria na fungu la kumi ambalo ni hiari. Ni Kama mtu anamaliza laki nzima bar hiyo ni hiari yake. Ndio maana TRA ipo kwaajili hiyo.
 
Umenikumbusha 17 March siku ya sherehe kuu baada ya lile shetani lenu la Chato kutwaliwa na Muumba
 
VC akiwa kama mchumi mbobevu alilazimika kwenda huko majuu kwa kazi maalum kwa siku zaidi ya 30 huku ukimya ukiwa umetamalaki.
 
Mwafa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…