Serikali iache kunyanyasa watumishi, Mfumo wa PEPMIS hauna uhusiano na mshahara wa Mtumishi alioufanyia kazi mwezi mzima

Serikali iache kunyanyasa watumishi, Mfumo wa PEPMIS hauna uhusiano na mshahara wa Mtumishi alioufanyia kazi mwezi mzima

Mtumishi kafanya majukumu yapi ya Afisa utumishi?

Kwahyo mtumishi huyo hana Smartphone?
Pilot ya Mfumo imefanyika Kupitia mifumo mingi kabla ya hiyo na kupitia GPS za eMap kipindi wanafanya kuweka Raman za kielectronic za ukaguzi wa Shule na Vituo vya kutolea huduma ya Afya..

Hakuna sehemu yenyew changamoto wa kimfumo iliyoonekana..

Watumishi wamekuwa wakitumia FFARS (Ambao upo ndani ndani mpaka kwa watendaji wa vijiji), PlanRep ,DHIS2, mfumo wa taarifa za shule "SIS", ..Gothomis, Na mifumo mingine mingi..

Kabla ya mfumo wa PEPMIS kuingizwa kwenye watumishi portal ess..

Watumishi Portal.ilikuwa hewani kuanzia mwezi April mwaka jana 2023 na ulionekana kutumia Cache report na Ip adress na Ping Report kuwepo kila kijiji na kila kata mpaka kufikia mwaka 2023 mwezi November Asilimia 94 ya watumishi walikuwa wamejiunga..

Sasa sijui malalamiko yako ni yapi..
Ungeniambia ili.nipate kuyajua
Unacho changanya wewe na usicho kijua au unakijua ila umejitia upovu ni kwamba ,unaongelea mfumo wa ffars mfumo ambao kwa 90% watumiaji ni wafawidhi na wakuu wa shule au wasimamizi wa vituo ambalo ni kundi dogo sana na ambalo kila wanapo fanya malipo au wanapo taka kutumia huo mfumo husogea mjini kwenye mtandao mzuri na hufanyia kazi hizo kwenye stationery na Internet cafes na sijui kama hilo umelifuatilia na unalijua, ila ndivyo ilivyo sasa.

Mfumo huu unataka kila siku utume taarifa lakin usisahau kuwa viongozi wengi wamepewa tablets je kwa watumishi wa chini wamepewa? Au unaongea ukiwa mtumba hapo unazungusha kitambi kwenye kiyoyozi?jifunzeni kuyajua maisha na mazingira halisi ya watumishi wenu, msiishi kama mnasimuliwa kwenye hadithi.

Inamaana kwa sasa watumishi wote wawe wanakumbilia mijini kwenye mtandao wenye kasi kutuma taarifa? Hizo kazi zitafanyika sangapi ikiwa mda wote watumishi wanapambana kutuma taarifa , kwa hili nasema utafiki na akili ya kina havikutumika.
 
Unacho changanya wewe na usicho kijua au unakijua ila umejitia upovu ni kwamba ,unaongelea mfumo wa ffars mfumo ambao kwa 90% watumiaji ni wafawidhi na wakuu wa shule au wasimamizi wa vituo ambalo ni kundi dogo sana na ambalo kila wanapo fanya malipo au wanapo taka kutumia huo mfumo husogea mjini kwenye mtandao mzuri na hufanyia kazi hizo kwenye stationery na Internet cafes na sijui kama hilo umelifuatilia na unalijua, ila ndivyo ilivyo sasa.

Mfumo huu unataka kila siku utume taarifa lakin usisahau kuwa viongozi wengi wamepewa tablets je kwa watumishi wa chini wamepewa? Au unaongea ukiwa mtumba hapo unazungusha kitambi kwenye kiyoyozi?jifunzeni kuyajua maisha na mazingira halisi ya watumishi wenu, msiishi kama mnasimuliwa kwenye hadithi.

Inamaana kwa sasa watumishi wote wawe wanakumbilia mijini kwenye mtandao wenye kasi kutuma taarifa? Hizo kazi zitafanyika sangapi ikiwa mda wote watumishi wanapambana kutuma taarifa , kwa hili nasema utafiki na akili ya kina havikutumika.
Soma comments #100
 
Mkuu!
utafiti umefanyika Na kabla ya kupubllish Mfumo ni kimoja ya Vitu vilivyotiliwa mkazo sana..
Kabla ya kuuweka Mfumo ilifanyika mifumo mingine kama pilot na ilifanikuwa wa 97% Mpaka vijijini nimetoka kidogo Ufafanuzi wake soma Comment no #92...

Hakuna Utafiti umeanza kufanywa kwa muda mrefu kama Huu wa watumishi Portal watumishi Portal Kabla ilianza kutumika Miaka ya nyuma sana Tangu kipindi cha Magufuli..

Baadae mwaka 2019 mwishoni Ukaenda kurekebishwa na baadae Wizara ukaona kuuboresha mfumo huu kwa kufanya Tafiti na mwaka 2020 mlitangaziwa (Kama utakuwa na kumbukumbu) kwamba Mifumo ya Uhamiaji na Oprass Itawekwa Online..

Mwaka 2022 ikafanyiwa pilot kwa baadhi ya maeneo ikiwemo mkoa wa Tanga,Lindi ,Mwanza na Simiyu na Pilot ilionyesha ufaulu kwa 98%..

Baadae mwaka 2023 mwezi wa April kuliachiwa Module kadhaa ikiwemo module ya uhamisho (Tansfer), lengo lilikuwa ni kufanya Ping Location kutoka maeneo mbalimbali Na nakuhakikishia walimu wengi hao unaowataja walionekana kutoka pande zote kwa 84% Ya maeneo mengi ya Tanzania..

Ndo ikaongezwa Module nyingine ya Salary slip,eLoan nazo pia Kwenye eLoan ilionekana Imesajili location kwa 97.7% za Tanzania nzima..

Na Baadae Ikawa lunched Program nyingine kwa ajili ya kuangalia ufanisi wa network nayo pia kwa asilimia kadhaa ikaonyesha iko sawa...

Hiyo yote kabla ya kuwekwa kwa PEPMIS...
Hakuna mtumishi alilalamika kuwa kuna tatizo la mtandao na blah blah nyingi na walikuwa wakitumia vizuri tu mfumo..
Na hata Walipowekewa baadhi yao huo mfumo bado cookie zilisoma kuwa bado asilimia hazijashuka..

Ila tu walipoambiwa Waweke mipango kazi na Kazi zao na viongozi wao wawapime kwa kazi zao kila siku na Hakutakuwa na OPRAS ndo malalamiko yameanza..

Nataka nikuhakikishie kwamba majaribio ya Mfumo huu yalianza mwaka 2018 kipindi haiitwi Ess ilikuwa inaitwa watumishi Portal na ilikuwa inaandikwa Watumishiportal.utumishi.go.tz....
Muongo mkubwa sana wewe jamaa kwa hili huwezi nidanganya popote maana nahisi una mambo meng bado hujayajua huenda
usilete siasa hapa ndio maana nchi hii mambo mengi yanakwama sababu ya watu wa aina yako kuwa mashahidi wa uongo.
 
Muongo mkubwa sana wewe jamaa kwa hili huwezi nidanganya popote maana nahisi una mambo meng bado hujayajua huenda
usilete siasa hapa ndio maana nchi hii mambo mengi yanakwama sababu ya watu wa aina yako kuwa mashahidi wa uongo.
Sehemu Gani nimedanganya Mkuu..
Niko Tayar kuomba Msamaha kwa mahali nilipodanganya!
 
Sehemu Gani nimedanganya Mkuu..
Niko Tayar kuomba Msamaha kwa mahali nilipodanganya!
Na itakuwa vyema uka taja category zilizo tumika kwenye huo utafiti na kama utaweza unawez ukatoa statistical analysis ya matumizi ya mfumo huo wa watumishi portal unao sema maana naujua pia na nilifatilia pia idadi ya members walio kuwa active kwenye mfumo huo unao usema
 
Na itakuwa vyema uka taja category zilizo tumika kwenye huo utafiti na kama utaweza unawez ukatoa statistical analysis ya matumizi ya mfumo huo wa watumishi portal unao sema maana naujua pia na nilifatilia pia idadi ya members walio kuwa active kwenye mfumo huo unao usema
Sasa mkuu!
Umeuliza kama utafiti umefanyika nimekujibu kwa Summery bado unataka Nikupe Kablasha la utafiti wote wa Mfumo 🤣🤣..

Nikikupa bado utaniambia Mbona kijiji Fulani hamkufika na mbona kata Fulani hamkuigusa
 
Kila mnapozungumzia watumishi mnawatolea mifano walimu,kanakwamba wao hawana akili hiyo sio sawa, harafu dhana potofu kuwa walimu ndio wanaolipwa mishara midogo ondoeni nyie wapuuzi mnawasema walimu Kila kikicha mbona aslimia ndogo tu ya watumishi ndio wanaolipwa mishahara mikubwa, wengi wao ni kama walimu tu.
 
Kila mnapozungumzia watumishi mnawatolea mifano walimu,kanakwamba wao hawana akili hiyo sio sawa, harafu dhana potofu kuwa walimu ndio wanaolipwa mishara midogo ondoeni nyie wapuuzi mnawasema walimu Kila kikicha mbona aslimia ndogo tu ya watumishi ndio wanaolipwa mishahara mikubwa, wengi wao ni kama walimu tu.
Ulikuwa sehemu ya utafiti au umeambiwa ulifanyika utafiti? maana mimi niko pangani sijawah kusikia hicho unacho kisema, labda uniambie mlifanyia halimashauri na watumishi wa pale kwa mkurugenzi
 
Unampa mwalimu kishikwambi ili hali alipo hata umeme hakuna, mtandao hakuna. Labda hamjatembea nchi hii kuna sehemu ukienda mitandao ya simu kati ya voda, airtell, tigo na halotel, unapatikana mmoja tena kwa mbaaaaaali. tena utumie simu kiswaswadu, haya masmart phone hayashiki network.
Wacha wakome, juzi wamechanga fedha ajili ya form ya Rais
 
Ulikuwa sehemu ya utafiti au umeambiwa ulifanyika utafiti? maana mimi niko pangani sijawah kusikia hicho unacho kisema, labda uniambie mlifanyia halimashauri na watumishi wa pale kwa mkurugenzi
Kama ni Pangani na Kilindi.. umeajiriwa Lini na Ni mwalimu au? maana Pangani tulifanya Kwa walimu watendaji wa shule kadhaa, Na baadhi ya Watumishi wa Afya

Ilifanyika Kigurusimba,Ubangaa,Tungamaa (Maeneo ya meka na Langoni),Kata ya Kimang'a na Tarafa ya madanga kwa Ujumla..

Kilindi ilifanyika Jaila, bokwa ,Negero,Pagwi, Kisangasa,Lwande na kwekivu..

Haya Mkuu swali zaidi
 
Kama ni Pangani na Kilindi.. umeajiriwa Lini na Ni mwalimu au? maana Pangani tulifanya Kwa walimu watendaji wa shule kadhaa, Na baadhi ya Watumishi wa Afya

Ilifanyika Kigurusimba,Ubangaa,Tungamaa (Maeneo ya meka na Langoni),Kata ya Kimang'a na Tarafa ya madanga kwa Ujumla..

Kilindi ilifanyika Jaila, bokwa ,Negero,Pagwi, Kisangasa,Lwande na kwekivu..

Haya Mkuu swali zaidi
 
Kama ni Pangani na Kilindi.. umeajiriwa Lini na Ni mwalimu au? maana Pangani tulifanya Kwa walimu watendaji wa shule kadhaa, Na baadhi ya Watumishi wa Afya

Ilifanyika Kigurusimba,Ubangaa,Tungamaa (Maeneo ya meka na Langoni),Kata ya Kimang'a na Tarafa ya madanga kwa Ujumla..

Kilindi ilifanyika Jaila, bokwa ,Negero,Pagwi, Kisangasa,Lwande na kwekivu..

Haya Mkuu swali zaidi
Nipo pangani hicho unacho kisema sijawahi kukisikia zaidi ya kusikia wito wa semina ya masaa machache sana yenye mambo mengi ambayo 95% walitoka na hawakuelewa. Hicho unacho kisema ndio nakisikia sahizi hapa kwako na hamkuzingatia kabisa swala la network coverage jambo ambalo mlifeli kabisa kwenye utafiti wenu wa kuanzisha huu mfumo ambao ni mzuri sana lakini si rafiki
 
Mimi nasema siku ambayo tz itafaulu zoezi la kuwapeleka wanafunzi wa drs la sita wote kujiunga na sekondari ndo ntajua imepiga hatua. Kwa % kubwa hata huo mfumo mpya wa kubeba wahitimu hao wote kwenda sec utabakia kwenye makaratsi tu otherwise utakuwa inefficiency.

Sasa km tu huu wa PEPMIS/PIPMIS umeshindikana vipi huo wa mtaala mpya unaohitaj rasilimali watu na fedha na miundombinu kwa kiwango cha juu kabisa, je itawezekana vipi.
 
Nipo pangani hicho unacho kisema sijawahi kukisikia zaidi ya kusikia wito wa semina ya masaa machache sana yenye mambo mengi ambayo 95% walitoka na hawakuelewa. Hicho unacho kisema ndio nakisikia sahizi hapa kwako na hamkuzingatia kabisa swala la network coverage jambo ambalo mlifeli kabisa kwenye utafiti wenu wa kuanzisha huu mfumo ambao ni mzuri sana lakini si rafiki
Vipi ushapata mshahara?
 
Back
Top Bottom