DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ila dingi ni kama ana tatizo la akili la kukasirika hovyo😂 nasikia wakati wake alikuwa jambazi
 
Hili walifahamu watu wote, na wasilichukulie poa. Mahita mtu mpole ila hatari sana, enzi zake za utumishi hata sasa.
 
Mahita ni mfano wa kuigwa morogoro, ndio ujumbe umefika kama amefanya tendo hilo, hata wahusika watakua wamempigia simu tayari.
Kingine i don't entertain politics kwenye comment yangu, siasa kaa nazo.
Nasijaongelea mm nyie washamba wa umasaini, nimesema morogoro haswa eneo analopaki yy gari yake.
Unaleta maswala ya masai hapa, nimetaja masai mm hapa.
 
😂😂
 
Ulisema mtu yeyote ni lazma..... Pia umesahau Jf haisomwi hapo moro tu.
Kama huyo mwamba ni mtu wa kuigwa Je, itakuwaje kama kila mwenye bastola hapo kwenu Moro akawa hivyo patakalika? au unataka kuniambia kwamba ili umudu kuishi hapo Moro ni lazima uwe mbabe?
nI sehemu gani kwenye komenti yangu kunaonesha Siasa?
 
Soma tena , Mbwa wewe soma nilichoandika nimeandika morogoro, ukiona mtu yyte haina maana hadi ww uliyepo uliposoma huko, accha siasa mzee. Hujui ku think, hujui.
 
Miaka ya nyuma kidogo tulikuwa na mgonjwa pale hospital ya Taifa wakati tupo Tunasubiria muda ufike kuona wagonjwa kuna gari aina ya Prado ilifika na kupark eneo fulani akatoka mama mmoja wa makamo anaharaka kidogo akaondoka baada ya muda wakaja vijana wamevaa vile vizibao wakaja na minyororo wakafunga mwenzangu akauliza mbona mnafungia hii gari Katazo kipo wapi na mbona gari nyingine zipo hapa muda mrefu tangu asubuhi hamjazifunga wakajibu hili sio eneo la gari mwenye gari aje ofisini tukacheka na mwenzangu tukabaki Tunasubiria muda ufike ..
Baada ya dakika 30, mama yule akaja kuona gari yake imefungwa alichofanya ni kuchukua mkoba wake akatoa simu na kubonyeza namba fulani tukaona anaongea na simu kisha akakata simu akatoa simu nyingine akapiga tena .. baada ya dakika 10 zilikuja Gari 3 kwa speed kubwa sana . Gari 2 walishuka jamaa 4 waliopanda hewani wamevalia mavazi ya kijeshi na kijana mmoja ameshikilia zile mikasi mikubwa ya kukata makufuri/ minyororo

Wakakata kisha yule mama hakupanda ile gari akapanda gari nyingine ilioletwa ile aliokuja nayo akapanda mwingine zikaondoka..

Wale vijana waliofunga minyororo walipoona lile tukio walivua vizibao hawakusogelea lile eneo kwa Woga 😁

Vijana muwe makini katika kazi zenu mnaweza potezwa hivi hivi kwa kutengeneza mazingira ya rushwa na eneo lisilosahihi ao mnaowafungia ndio maboss wa. Maboss zenu


.. WEKA KATAZO ENEO LINALOONEKANA WEKA KAMBA ENEO LINALOKATAZWA Kujiepusha na aibu na kupoteza kazi . Hata huyo Boss wako atakukana kuwa na Lugha za kistaarabu unapomuelezea mtu kosa lake maana hujui unazungumza na nani ..
 
Jamaa amevurugwa
Nadhani sijavurugwa ila huyu analeta siasa.
Huwezi judge mtu kwa tendo la mara moja au mbili hiyo ni biasness. Unampaje mtu tabia ya hovyo.
Abood ana ubaya gani moro? Hana. Ila annaweza kuwa na matendo yasiyofaa yanayojulikana na mtu mmoja moja. We can't conclude his nature kwa hayo matendo.
 
M
Mkome kufungafunga magari ya watu, mimi natembea na ule mkasi mkubwa kwenye buti, nikiukiza wewe uliyefunga umefunga kwa mamlaka gani haujibu, nioneshe kitambulisho hauna, basi nakata loki yako natupa huko.
MZee ukizikata hizo lock usiwe unazitupa, weka kwenye buti zikifika kilo tano nitafute mkuu, nitaenda kuuza nitakupatia posho kidogo ya maji ya kunywa.
 
Kuna watu wanahitaji kutiwa adabu waheshimu wastaafu acha awape doscipline
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…