Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Ila dingi ni kama ana tatizo la akili la kukasirika hovyo😂 nasikia wakati wake alikuwa jambazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili walifahamu watu wote, na wasilichukulie poa. Mahita mtu mpole ila hatari sana, enzi zake za utumishi hata sasa.Inaonekana kijana aliwaaminisha wenzake ngoja kwa niifunge gari ya mahita ... Nyie sini mnamuogopa.😁 Arafu kijana mwenyewe ni huyu huyu muanzisha mada hii..
Halafu makosa mengi kama hayo ya kufunga gari unakuta hata vile vibango vya Katazo havipo au kukiwepo kimeanzishwa makusudi ili usikione au kimewekwa mazingira ambayo si rahisi kukiona
Sababu wanajua kabisa watakosa hela..
Labda kwa taarifa kijana ambazo hazijui Omar mahita ni mtu hatari sana na aina ya wafu wenye misimamo mikali sana enzi zake za utumishi
Kaja kutoa taarifa huku anything ikihappen kwake tujue ni hasira za mahitaBila shaka Amekutoa jasho, ukakimbilia huku moja kwa moja
Mahita ni mfano wa kuigwa morogoro, ndio ujumbe umefika kama amefanya tendo hilo, hata wahusika watakua wamempigia simu tayari.Nanukuu: "Mtu yyte lazma uijue gari ya huyu bwana, else wise ni dharau. Na hiyo ndio kazi ya bastola."
Mkuu, Hiyo gari yake ina utambulisho(Identity) gani wa kipekee kiasi kwamba mtu yeyote ni lazma aijue? Mbona ss huku umasaini ndani ndani huku hatuijui au sisi sio watu?
Je, kazi ya bastola ni kufungua lock za magari? Tafakari.
Huyo mwamba mstaafu inabidi ajitambue(Kama bado akili iko vizuri) kwamba ni muda wake sasa wa kupumzika na kuyafurahia mema ya nchi na sio kuendeleza ubabe. Wahenga walitanabahisha "Dunia huwatiisha watu".
1. Hiyo gari yaweza kutofanya kazi muda wowote e.g. kuharibika au vinginevyo;
2. Hiyo bastola sio mali yake - amedhaminiwa tuu i.e. anaweza kutakiwa kisheria airudishe kwa waliompa.
3. Kadri umri wake unavyosogea, anaweza kufikia umri ambapo asiweze tena kuvitumia hivyo vitu hata kama bado atakuwa navyo.
Ushauri: IGP (Inspector General Police) Mstaafu, kwa heshima alokuwa nayo (kabla na baada ya kustaafu) ndani ya Jamii ingependeza zaidi akawa ni mfano wa kuigwa na sio kuwa ni mtu wa vitisho na kuonesha umwamba.
Nasikia alikuwa anampanga mkapa sana😂 kamlisha matango pori mnoKing himself huyu mzee akiwa IGP rais ambae alikuwa boss wake alikuwa akimhanya..
😂😂Baada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.
Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.
Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!
Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.
Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?
Badilika.
Ni full undava wakikuzoea wanakushukuru Kawambwa.🤣🤣 eehe mzee kashaona hapa ukijifanya mpole watu wanakuzoea kama Shukuru Kawambwa !! Sasa karirini plate number jamani chagueni ugali dagaa
Ulisema mtu yeyote ni lazma..... Pia umesahau Jf haisomwi hapo moro tu.Mahita ni mfano wa kuigwa morogoro, ndio ujumbe umefika kama amefanya tendo hilo, hata wahusika watakua wamempigia simu tayari.
Kingine i don't entertain politics kwenye comment yangu, siasa kaa nazo.
Nasijaongelea mm nyie washamba wa umasaini, nimesema morogoro haswa eneo analopaki yy gari yake.
Unaleta maswala ya masai hapa, nimetaja masai mm hapa.
Saba sita kafanyaje tena😂Huku mahita, huku saba sita. hali ya zombe ikoje nayo?
Kwani Chiko alikuwa na tatizo gani?!Anaongea mwenyewe sasa hivi huku anatembea,nadhani soon ataanza kuokota makopo.
Chiko yeye alishakufa long time
Soma tena , Mbwa wewe soma nilichoandika nimeandika morogoro, ukiona mtu yyte haina maana hadi ww uliyepo uliposoma huko, accha siasa mzee. Hujui ku think, hujui.Ulisema mtu yeyote ni lazma..... Pia umesahau Jf haisomwi hapo moro tu.
Kama huyo mwamba ni mtu wa kuigwa Je, itakuwaje kama kila mwenye bastola hapo kwenu Moro akawa hivyo patakalika? au unataka kuniambia kwamba ili umudu kuishi hapo Moro ni lazima uwe mbabe?
Sio kweli!Lipumba ni Kataa Ndoa ujue
Nadhani sijavurugwa ila huyu analeta siasa.Jamaa amevurugwa
MZee ukizikata hizo lock usiwe unazitupa, weka kwenye buti zikifika kilo tano nitafute mkuu, nitaenda kuuza nitakupatia posho kidogo ya maji ya kunywa.Mkome kufungafunga magari ya watu, mimi natembea na ule mkasi mkubwa kwenye buti, nikiukiza wewe uliyefunga umefunga kwa mamlaka gani haujibu, nioneshe kitambulisho hauna, basi nakata loki yako natupa huko.
Sio kweliLipumba ni Kataa Ndoa ujue
Mangu alikuwa miyeyusho pia. Hapo ni Said Mwema tu. Mangu alipenda usnittc na unduguma-igp smart walikuwa walau mangu na mwema
Kuna watu wanahitaji kutiwa adabu waheshimu wastaafu acha awape dosciplineBaada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.
Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.
Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!
Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.
Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?
Badilika.