Mkuu hasira humuumiza anayeihifadhi.Hilo kubwa jinga lina majigambo tangu miaka hiyo naona linazeeka na ujinga wake wakati wenzie wameandika memoir na kuomba radhi kwa waliyofanya ndivyo sivyo.
Hiyo inatupa picha watu gani CCM inawapenda ili iendelee kuwepo madarakani.
Liliwahi kusema CUF waliiingiza kontena la machete ili kuleta machafuko 2005.
Mwanae kaingizwa PoliCCM alikuwemo kama askari mpelelezi kwenye kesi ya ugaidi ya kubumba ya Freeman Mbowe.View attachment 3025638
Kuna mahali nimesema "nitatoboa" miaka 40?Mkuu hasira humuumiza anayeihifadhi.
Mahita na ugaidi wake anafikia 75 wewe unaweza usitoboe 40 sababu magonjwa ya moyo na hasira za kijinga.
Itifaki za polisi huyu ni mkubwa kuliko wamburaππ.Huyu jamaa bado anadhani bado ni IGP.hata wakati yupo madarakani alikuwa na tabia ya hovyo sana na hakupaswa kumilikishwa silaha.hii nchi ya hovyo sana ni kama vile hatuna serikali na wakati jpm alikuwa mpole sana ila sasa wanachezea sana mama
Sasa hubiri faida za kuonekana timamu mbele za watu,maana huyu dingi kakuzidi kila kitu japo unamwona mwehu.Kuna mahali nimesema "nitatoboa" miaka 40?
Umri wangu unaujua?
" Kutoboa" miaka 40 au 75 kuna uhusiano gani na maoni yangu.?
Kumbuka hata wajinga na washenzi huzeeka.
Nina mwaka 1 hata shule sijaanza una swali lingine?Sasa hubiri faida za kuonekana timamu mbele za watu,maana huyu dingi kakuzidi kila kitu japo unamwona mwehu.
Sijuo una umri gani but unasound 19yrsπ
Wakati wa Magufuli Kuna traffic alikamata gari ya mke wa waziri wa mambo ya nje na east Africa akapandishwa cheo. Ila kwa sasa serikali ya mama lazima wenye vyeo vyao wawanyanyase wenye vyeo vidogo na wasiokuwa na vyeo.JK mbali sana. akakamate gari hata ya Tibaijuka tu
Mkuu, sasa hapo habari za askofu mstaafu ziningiaje?IGP mstaafu sio askofu mstaafu msichanganye mambo.
Watu wamelika akili zimechoka kwa ajili ya usalam wa nchi miaka kibao,anakuja mtu ambaye hata hajui gharama za hayo anasababishia mzee huyu usumbufu,
Haikuwa kazi ya mfunga lock kujua gari ni ya nani,ila nina imani sasa anaifahamu na atafahamisha wengine.
USA wana salamu kwa wanajeshi"thank you for you're service"kuonyesha wanakubali mchango wao.haighalimu chochote kukubali mchango wa mtu wa aina yake,kwa kumpa favour sehemu yoyote ukimkuta,sio unyonge ni ukomavu wa fikra.unaona kijana alipotea kabisa sababu alijua kabisa bila kujua kafanya jambo la hovyo.
All animals are equal, but some animals are more equal than others.Baada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.
Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.
Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!
Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.
Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?
Badilika.
Huu muda wote kwa IGP mstaafu unatoka wapi??Mkuu, sasa hapo habari za askofu mstaafu ziningiaje?
Ni kweli huduma aliyyokuwa akitoa ni kutukuka lakini inawezekana huyo kijana hakujua hilo. Yy alitekeleza kadri ya maagizo ya boss wake. Kwani huyo mkubwa mstaafu angejitambulisha kwake angelinyimwa hiyo favour? Kama alikuwa ameiacha garihiyo na mlinzi halafu mlinzi akamjulisha kwamba gari hiyo ni ya fulani halafu kijana akakaza shingo, basi huyo mkubwa angelichukua hatua nyingine ya kistaarabu zaidi e.g. kumwita na kujitambulisha kwake wakayamaliza kiungwana zaidi kuliko kutumia silaha.
Matumizi ya silaha haikuwa vizuri. Kijana angeliweza bado kumjulisha bosi wake ili apate maelekezo.
Huyo dogo kazingua sana, kwa status ya utumishi aliyofikia Mahita katika taratibu za utumishi wa umma anakuwa immuned na priviledged to some regulations kama hizo.Ni yupi kati ya hao wawili atakuwa hana adabu kabisa- Aliyepaki gari mahali pasipostahili na bila hata kutoa taarifa ya kuomba exemption? au huyo kijana aliyetimiza wajibu wake kwa kuzingatia Taratibu alizopewa na boss wake?
Wewe umetoa maoni ya kipumbavu sana. Nasema hivi kwa sababu USA hata uwe ex-president, na ukavunja sheria unashughulikiwa. Mahita kama ali-pack gari lake bila kufuata sheria ni kosa. Kama ana kibali cha kupaki bure alitakiwa akionyeshe baada ya kukuta gari limefungwa, as simple as that. Au kama anaruhusiwa kupaki lakini hatembei na kibali basi alitakiwa amwambie kiungwana yeye ni nani! Kuna tatizo gani kusema kuwa mimi ni fulani na naruhusiwa kupaki bila malipo? Hawezi kutumia silaha kwa mazingira kama haya. Ana bahati sana ingekuwa ni wakati wa Magufuli angekiona. Unakumbuka yule mke wa marehemu mahiga alimletea traffic police za kuleta Magufuli alichofanya? Eti ''amelika'' akili! Mawee! Haya manyang'au yaliyoharibu nchi ndiyo unasema yalilika akili? Alikuwa anafanya kazi ya kujitolea? Haya ni mawazo mgando sana.IGP mstaafu sio askofu mstaafu msichanganye mambo.
Watu wamelika akili zimechoka kwa ajili ya usalam wa nchi miaka kibao,anakuja mtu ambaye hata hajui gharama za hayo anasababishia mzee huyu usumbufu,
Haikuwa kazi ya mfunga lock kujua gari ni ya nani,ila nina imani sasa anaifahamu na atafahamisha wengine.
USA wana salamu kwa wanajeshi"thank you for you're service"kuonyesha wanakubali mchango wao.haighalimu chochote kukubali mchango wa mtu wa aina yake,kwa kumpa favour sehemu yoyote ukimkuta,sio unyonge ni ukomavu wa fikra.unaona kijana alipotea kabisa sababu alijua kabisa bila kujua kafanya jambo la hovyo.
Amejiwekea kingaKaja kutoa taarifa huku anything ikihappen kwake tujue ni hasira za mahita
πHa
haaaa
Wewe umetoa maoni ya kipumbavu sana. Nasema hivi kwa sababu USA hata uwe ex-president, na ukavunja sheria unashughulikiwa. Mahita kama ali-pack gari lake bila kufuata sheria ni kosa. Kama ana kibali cha kupaki bure alitakiwa akionyeshe baada ya kukuta gari limefungwa, as simple as that. Au kama anaruhusiwa kupaki lakini hatembei na kibali basi alitakiwa amwambie kiungwana yeye ni nani! Kuna tatizo gani kusema kuwa mimi ni fulani na naruhusiwa kupaki bila malipo? Hawezi kutumia silaha kwa mazingira kama haya. Ana bahati sana ingekuwa ni wakati wa Magufuli angekiona. Unakumbuka yule mke wa marehemu mahiga alimletea traffic police za kuleta Magufuli alichofanya? Eti ''amelika'' akili! Mawee! Haya manyang'au yaliyoharibu nchi ndiyo unasema yalilika akili? Alikuwa anafanya kazi ya kujitolea? Haya ni mawazo mgando sana.
πππ kweli kabisa, umenichekeshaπ€£π€£ eehe mzee kashaona hapa ukijifanya mpole watu wanakuzoea kama Shukuru Kawambwa !! Sasa karirini plate number jamani chagueni ugali dagaa
Narudia, hayo ni maombi ya kipumbavu. Huwezi kushabikia ex police officer kuvunja sheria kisa eti aliitumikia nchi. Hii siyo karne ya mawe. Aliyepaki gari ndiye mwenye makosa na huyo mkusanya ushuru alikuwa anatekeleza wajibu wake. Kama ana kibali cha free parking basi huwa vinawekwa ndani ya gari kwa mbele kwenye dashboard ili akija mkusanya ushuru akione. Kama anacho na hakuweka ni kosa lake. Kama hana basi anatakiwa kulipa kama raia wengine kwa sababu analipwa fedha nyingi sana kuliko raia wengi wanaolipa. Kilichonifanya niseme ni maoni ya kipumbavu ni wewe kusema eti mkusanya ushuru ana kosa kwa sababu alitakiwa ajue (sijui angeota) kuwa hilo ni gari la Mahita na aliache.Mkuu hii sukari kuipandisha hovyo sio salama kwa afya yako.maoni ni maoni tu hata uyaone ni ya kipumbavu yatabaki kuwa maoni tu.
Anyway dogo wa parking likuwa wapi mpaka mzee akatoa pistol??au unadhani alitaka kufunguliwa akagoma kisha akavunja kufuli??