Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

Huwezi kulinganisha ufaulu wa Kagera na Mtwara au Lindi na Mbeya au Katavi na Kilimanjaro.
Huwezi kuweka mizani sawa hata siku moja. Kata ya Umasaini iwe sawa na kata ya Dsm! Nooo!!

Mimi si mmoja wao. Ni fikra zangu zinanifikirisha hivyo
Wamezingatia EQUITY !!!
 
Mkuu umetoa ushuhuda na ushauri mujarab! 👍👏🙏
 
Mtoto aliepata B ya akisoma kayumba
Uwezi mfananisha na mtoto aliepata A akisoma Private school

Ni watoto wawili wenye uwezo tofauti ukizingatia vema mazingira ya usomaji

Kingine, Watoto wengi toka private wanaochaguliwa shule teule, hawaendi

Wanaenda zao feza, Marian, n.k

Nadhan serikali pia imezingatia hilo
 
Acha wa kwangu wabaki huko nje kuliko nije kuilamu sirekali hii ya ccm ukiongeza na wale wenyeviti chupukizi naamini hakuna mwenye huruma na hii nchi uzalendo haupo asikwambie mtu hilo!

Kinachoniudhi ni watoto wao wala hawasomi hizo za kata na wala hawahangaiki na ajira mitaani yaani kama vile kuna mkataba wa kikundi flani tu kuitawala Tanzania wengine hawawezi kuongoza!
 
Mkuu unapaswa kuzingatia pia mazingira ya usomaji Kati ya private na kayumba
 
Mazingira ya kujifunzia kwa maana ya walimu, vitabu n.k

Serikali inatambua kuwa shule zake zina mazingira mabovu.
Kwa hiyo ndio maana serikali inaamua KUBORESHA mazingira ya shule zake kwa kufanya upendeleo kwenye selection?
 
Kuna mdau aliandika humu, hakuna kitu hata kimoja ambacho serikali inafanya kwa ufasaha na usahihi. Ni kuunga unga tu mradi pakuche
Halafu matokeo yake hawahawa wenye uwezo mdogo ndio wanaokuwa watumishi wa serekali, hii ndio inapekelekea mambo ya serekali kuendeshwa kwa maguvu na akili kidogo, huku kukiwa na ufanisi duni.

Na wengi wa hao vilaza hutokea kuwa makada wa ccm, Hadi uzee wao unakuta wanategemea Hila tu maana wamelelewa kwa njia ya mbeleko. Wengi wa watu wenye akili huru ni adui waccm, ndio sababu ya huo upendeleo kwa vilaza.
 
Inawakatisha sana tamaa, Tunazalisha wakandarasi wanaojenga kituo cha mwendokasi katika ya Jangwani na wanaona sawa maana walibebwa na hawajui kitu.
 
Hao wenye D shule za Kata Form four wanapiga division 4 wanaingie ile chuo kikuu kipo Moshi kina wakurya wengi sijui kinaitwa sisipii .
 
 
MarksGrade
00 - 10F
11 - 20D
21 - 30C
31 - 40B
41 - 50A
nimewaza labda wanaangalia wastani;

mwenye 50,50,50,40,40(atachukuliwa ana A tatu, B mbili) ana wastani mkubwa kuliko mwenye 41,41,41,41,41(atachukuliwa ana A tano)

ni mfano tu, ila inaonesha inawezekana.
 
CCM inahofia uwekezaji makini kwenye elimu kwamba watakuja kuanguka kwenye chaguzi.

Wanaogopa sana jamii iliyoelimika na kujitambua ndo maana kila mara inacheza na mitaala ya elimu ambapo tunaishia kupata wasomi wanaokariri bila kutumia ubongo wao vyema
 
Kwa hiyo unataka kusema nini kuhusu selection inayofanywa na serikali ya CCM?
Selection ipo Sawa

Nakupa mfano

John kapata math 41 "A" English 42 " A" wastan hapo ni 42

ISSA kapata Math 48 "A" English 38 "B" wastan hapo ni "43"

Hapo John na ISSA nan kamzid mwenzake ufaulu?
 
Mkuu umekasirika sana...
Umeandika mambo mengi in a very summarized form..

Kuujadili mfumo wa Elimu wa nchi hii, inabidi kwanza uwe huna kazi ya kufanya, alafu ulipwe pesa nyingi sana.

Though.. it's all said in JKs Nyerere Vision. Elimu Ya Kujitegemea. Education For Self Reliance.
 
Uko sahihi lakini lazima serikali ifanye juhudi za kuboresha shule za umma ili kiwango cha ufaulu kilingine na wale wa private kwani kwa sasa tofauti ni kubwa mno.Waone private wanafanya investment gani mpaka wanafaulu kwa rate kama ile

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…