Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

Waliopata A Shule binafsi ni wengi tu hawawezi kuenea wote kwenye hizo shule teule lazima waende baadhi tu.

Na lazima uchukue na wengine baadhi kutoka shule za umma waliofanya vyema nao waende hizo shule teule.

Huwezi kupeleka kundi moja tu shule teule.
Kwahiyo ndo unamuacha wa A kwenda shule maalumu unampeleka wa C kisa katoka kayumba ya serikali? Hao baadhi wanaokwenda huko, kwanini wasiwe wa A bila kujali anatoka private au kayumba?
 
Serikali imejenga shule nyingi, lakini watu hawaziamini wanapeleka watoto shule private. Sasa wanachofanya serikali .shule zoote private zinazopokea ada ya chini ya milioni ukipeleka mtoto wako umeliwa mana zinaminywa makusudi kuanzia ufauru nk.

Labda umpeleke private ya kuanzia milioni 3 kwenda juu kwa levo ya og hadi advance. Na mtu anaeweza kumudu ada ya hivyo anaweza pia kumudu hadi galama za chuo kwa kulipia bila ya mkopo. Hivyo watu wachini tuwe makini juu ya hili.a
 
Opinions za watu wote hawa kama hujapata kitu kwenye hizi selections basi ww ni 'mbishi kufa'
Wewe umeelewa nini? Hebu weka hapa ili twende sawa. Inaonekana hata wewe hujapata kitu. Mimi ninachofahamu ni kwamba selection is and should be based on MERIT and nothing else. Kufanya vinginevyo, huo ni UBAGUZI. Wewe unataka nikubaliane na ushauri wa watu wanaoshabikia ubaguzi wa waziwazi? Mimi sio kilaza wa kiwango hicho.
 
Utafiti hukosolewa kwa utafiti. Kama unaona utafiti haujakamilika, basi wewe nenda kafanye utafiti wako makini utuletee majibu hapa mkuu. Vinginevyo ukae kimya. Huna hoja,
Mkuu utafiti wako hautoshelezi.

Kwanza- Mbele ya yote, huna uwezo wa kuninyamazisha, na hiyo ukae ukijua. Huna.

Pili, Hoja yangu ipo wazi kabisa.
  • huna weledi
  • huna elimu ya kufanya utafiti wa aina hiyo(correct me if i'm wrong)
  • huna ushahidi wowote ule, halali au hoja yeyote ile ya kuunga mkono madai yako kwamba serikali inawabagua wanafunzi wa shule za private.

Siwezi kukaa kimya kamwe kama kuna watu kama wewe mpo hapa kuulaghai Umma wa Watanzania.

Hatahivyo ukweli utabakia pale pale....kwamba...

Huu si utafiti. Ni kasfha..
 
Mkuu utafiti wako hautoshelezi.

Kwanza- Mbele ya yote, huna uwezo wa kuninyamazisha, na hiyo ukae ukijua. Huna.

Pili, Hoja yangu ipo wazi kabisa.
  • huna weledi
  • huna elimu ya kufanya utafiti wa aina hiyo(correct me if i'm wrong)
  • huna ushahidi wowote ule, halali au hoja yeyote ile ya kuunga mkono madai yako kwamba serikali inawabagua wanafunzi wa shule za private.

Siwezi kukaa kimya kamwe kama kuna watu kama wewe mpo hapa kuulaghai Umma wa Watanzania.

Hatahivyo ukweli utabakia pale pale....kwamba...

Huu si utafiti. Ni kasfha..
No research, no right to speak. Mimi nimefanya utafiti wangu nime analyse matokeo ya utafiti na kutoa conclusion.

Sasa wewe kama unaona kuwa utafiti wangu haujitoshelezi, usipinge kwa maneno matupu bali pinga kwa kufanya utafiti mpya utakaotoa majibu kinzani kisha wanajukwaa wenyewe watafanya comparative analysis na kuchuja ukweli.

Usidhani kila mtu ni mjinga umuambie maneno matupu akuelewe wakati ukweli wote nimeuanika hapa. Utasubiri sana.
 
Somesha mtoto huko acha lialia kwani serikali ndoilimwaga ikakaza tako na vidole vyamiguu?? msituchoshee bhana aah!!
Nawe acha bangi zako mkuu. Changia mawazo kulingana na uzi, matusi sio mchango bali yatasababisha upigwe ban na mods.
 
Serikali hii ya CCM ina mambo ya ajabu sana. Ni aibu kwa serikali inayojinasibu kuzingatia usawa kufanya uhuni wa kiwango hiki. Sijawahi kuona serikali yenye ubaguzi mkubwa kwa wananchi wake hapa ulimwenguni kama serikali ya CCM.

Katika uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza mwaka 2024, serikali imeonyesha ubaguzi wa waziwazi kati ya wanafunzi wa shule za kata na shule binafsi. Hii tabia ya kibaguzi haifai hata kidogo. Tukumbuke kwamba kuna wazazi wa watoto wanaosoma shule binafsi ambao wangependa watoto wao waendelee na masomo katika shule za umma. Inasikitisha serikali imeamua kukatisha ndoto hizo kwa makusudi.

Nitatoa mifano hai ili kuthibitisha hili ninalosema hapa. Nimechukua sampuli ya shule mbili kutoka kata moja (moja ya serikali na nyingine ya binafsi) ili kuuonyesha umma wa watanzania jinsi serikali ya CCM ilivyojaa ubaguzi wa kipuuzi uliopindukia. Lengo la kuchukua shule kutoka kata moja ni la kitafiti zaidi…..kwamba wanafunzi wote wanatoka eneo moja lenye mazingira yanayofanana; hivyo hakuna sababu ya kuwabagua.

Tazama matokeo ya shule hii binafsi jinsi wanafunzi wake walivyofanya vizuri: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206131.htm
View attachment 2848392

Linganisha matokeo hayo na haya ya shule ya kata: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206125.htm
View attachment 2848390
Utaona idadi ya A kwenye shule binafsi ni 58 huku shule ya kata wakiambulia 9 tu!

Sasa njoo kwenyye uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kwenda shule za sekondari mwaka 2024. Serikali imechagua wanafunzi 2 waliopata A tu kutoka shule binafsi kwenda shule teule. Wengine wote waliosalia wamerundikwa kwenye shule za kata za kutwa kama mnavyoona.

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Na pia wamechaguliwa wanafunzi 2 tu kutoka shule ya serikali iliyofanya vibaya na wanafunzi hao wamepata B mbili katika masomo yao. Haki iko wapi?

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Kama serikali ingekuwa inafuata haki, wanafunzi wote 58 kutoka shule binafsi wangechaguliwa kwenda shule teule. Lakini kwa kuwa ubinafsi na upendeleo umetawala ndani ya roho zao za kutu, wameamua kuchagua wanafunzi 2 tu ili kufunika kombe mwanaharamu apite. Serikali hii ina mambo ya kijinga sijapata kuona.
Ukifuatilia haya mambo unaweza kulia kabisa, mtoto wangu alimaliza 2022, shule binafsi iko tabata- bonyokwa wanafunzi 93....ktk 93 waliokuwa na wastani wa B walikuwa watatu tu, lkn wanafunzi wote walipangwa Bonyokwa sekondari na mvuti sekondari shule za kata
 
Ukifuatilia haya mambo unaweza kulia kabisa, mtoto wangu alimaliza 2022, shule binafsi iko tabata- bonyokwa wanafunzi 93....ktk 93 waliokuwa na wastani wa B walikuwa watatu tu, lkn wanafunzi wote walipangwa Bonyokwa sekondari na mvuti sekondari shule za kata
Serikali ina mambo ya kipumbavu huwezi kuamini mkuu. Inauma sana.
 
Majibu
1. Ndio. Mpaka sasa kipimo kinachotumiwa ni ufaulu wa masomo kwenye mitihani. Wee unayelazimisha kipimo kingine kitumike nje yya ufaulu (UPENDELEO) unachekesha sana. Hki ndicho ninachokataa na ndicho ninachokemea kwenye hoja yangu.

2. Uchauzi wa wanafunzi haupaswi kuangalia kigezo kingine zaidi ya ufaulu. Kwenda nje ya ufaulu ndio ubaguzi wenyewe ninaoongelea hapa. Kumbe wewe umeishanielewa.

3. Kinachoangaliwa kwenye selection sio matokeo ya baada ya uchaguzi. Hata wanafunzi kutoka kayumba wanachaguliwa wakiwa na A zote lakini wakienda sekondari wanatoka na sifuri. Kigezo cha ufaulu baada ya kuingia sekondari, hakijawahi na wala hakitakaa kitumike kwenye selection.Kama kikitumika, huo utakuwa ubaguzi uliopindukia.

4. Michezo gani? Kama una ushahidi weka hapa. Vinginevyo, hoja hii ipeleke kwenye kijiwe cha kahawa; hapa JF sio mahali pake.

5. Mtihani wa NECTA ni mmoja tu na ndio unatumika kufanya selection. Huo mtihani wako unaopendekeza sio rasmi na wala haueleweki.
Siasa nyingi sana,,,mitihani inanunuliwa sana ,,,unakumbuka ile shule imefutiwa matokeo kwa wanafunzi wote katika shule za halimashauri ya chemba ,mwanza jiji pia shule ya tumaini na little flower huu ndo uthibitisho wangu huko private hakuna lolote ni upupu tu bisha na hapa pia
 
Nilishangaa mwaka jana mwanangu kwenye mtihani wa drs la saba alipata alama A katika masomo yote,lakini cha ajabu alipangiwa shule ya kata tena ya kijijini ya kutwa!
Ulitaka aende wapi wakati huyo popoma tu,,,saizi huko sekondari ana A ngap?
 
Habari zenu jamani,Naomba kuuliza kuna dogo jirani yangu kamaliza mwaka jana darasa la 7 matokeo yake ana wastani wa D,Majibu ya kuchaguliwa kwenda sekondari jina lake halipo sijajua iyo D ni amefeli ama vipi,na kama amefeli kwa wastani wa D je chaguo la pili anaweza kupangiwa shule ya sekondari,uyo mtoto wazazi wake hawana kabisa uwezo wa kumpeleka shule ya private,
 
Sasa miaka hii kupata A si kawaida unataka mtoto apelekwe wapi wakati ana A nyepesi za 41 wenzie wana 50
Lete ushahidi, otherwise ukae kimya milele. Darasa zima la wanafunzi 98 wote wamepata A za 41? You must be lunatic!
 
Serikali hii ya CCM ina mambo ya ajabu sana. Ni aibu kwa serikali inayojinasibu kuzingatia usawa kufanya uhuni wa kiwango hiki. Sijawahi kuona serikali yenye ubaguzi mkubwa kwa wananchi wake hapa ulimwenguni kama serikali ya CCM.

Katika uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza mwaka 2024, serikali imeonyesha ubaguzi wa waziwazi kati ya wanafunzi wa shule za kata na shule binafsi. Hii tabia ya kibaguzi haifai hata kidogo. Tukumbuke kwamba kuna wazazi wa watoto wanaosoma shule binafsi ambao wangependa watoto wao waendelee na masomo katika shule za umma. Inasikitisha serikali imeamua kukatisha ndoto hizo kwa makusudi.

Nitatoa mifano hai ili kuthibitisha hili ninalosema hapa. Nimechukua sampuli ya shule mbili kutoka kata moja (moja ya serikali na nyingine ya binafsi) ili kuuonyesha umma wa watanzania jinsi serikali ya CCM ilivyojaa ubaguzi wa kipuuzi uliopindukia. Lengo la kuchukua shule kutoka kata moja ni la kitafiti zaidi…..kwamba wanafunzi wote wanatoka eneo moja lenye mazingira yanayofanana; hivyo hakuna sababu ya kuwabagua.

Tazama matokeo ya shule hii binafsi jinsi wanafunzi wake walivyofanya vizuri: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206131.htm
View attachment 2848392

Linganisha matokeo hayo na haya ya shule ya kata: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206125.htm
View attachment 2848390
Utaona idadi ya A kwenye shule binafsi ni 58 huku shule ya kata wakiambulia 9 tu!

Sasa njoo kwenyye uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kwenda shule za sekondari mwaka 2024. Serikali imechagua wanafunzi 2 waliopata A tu kutoka shule binafsi kwenda shule teule. Wengine wote waliosalia wamerundikwa kwenye shule za kata za kutwa kama mnavyoona.

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Na pia wamechaguliwa wanafunzi 2 tu kutoka shule ya serikali iliyofanya vibaya na wanafunzi hao wamepata B mbili katika masomo yao. Haki iko wapi?

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Kama serikali ingekuwa inafuata haki, wanafunzi wote 58 kutoka shule binafsi wangechaguliwa kwenda shule teule. Lakini kwa kuwa ubinafsi na upendeleo umetawala ndani ya roho zao za kutu, wameamua kuchagua wanafunzi 2 tu ili kufunika kombe mwanaharamu apite. Serikali hii ina mambo ya kijinga sijapata kuona.
Napenda utaratibu wa Kenya,wao wanaweka Marks sio huu utaratibu wa Grade,hiki wanachofanya baraza ni kuua ushindani madhara yake hayana tofauti na madhara ya ujamaa
Kenya inajulikana kabisa mwanafunzi mwenye marks fulani basi yeye atapangiwa Alliance
 
Napenda utaratibu wa Kenya,wao wanaweka Marks sio huu utaratibu wa Grade,hiki wanachofanya baraza ni kuua ushindani madhara yake hayana tofauti na madhara ya ujamaa
Kenya inajulikana kabisa mwanafunzi mwenye marks fulani basi yeye atapangiwa Alliance
Kweli kabisa mkuu. Zamani NECTA hawakuwa na grading system ya ovyo kama hii wanayofanya sasa hivi. Utaratibu huu wa MamaSamia2025 na chawa wake chawa wa mama umechangia mno kudidimiza elimu yetu; umepunguza morali ya kufundisha na kujisomea. Nchi ya kiqumer sana hii.
 
Back
Top Bottom